Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Urais achaguliwe na nani? Labda akawe rais wa leka dutigite
 
huyu bwana mdogo mnavyomjadili ndio kichwa chazidi mvimba.
 
Simchukii Zito.Makamba Wala.Mnyika,uhalali Wa Hizo Kura Unatia Shaka.Wasomi Na Akili Zao Wanataka Tuamini Kuwa Kuwa Sifa Kuu Ya Urais Ni Ujana Na Umaarufu Wa Kujipitishapitisha.Siku Hizi Ni Rahisi Kuhonga 'wasomi' Ili Wakukubali.Poleni Sana
 
Zito uwezo wa kuongoza anao ila ni mpenda madaraka sana tena sana.

Anajibaraguza tu,Pia hio ni njia ya kuendelea kusikika na kuonekana kwenye page za mbele za magazeti.

WANASIASA HAWAKOSI LAKUSEMA.
 
Ukishindwa kuwa bold kwenye maneno na maamuzi wewe ni hatari sana hufai, huaminiki, huna msimamo, ni kama upepo. Ukizisikia kauli za Zito Kabwe kuanzia 2010 huwezi kumwelewa na huwezi kusimama upande wake kama una akili timamu kwani Hugeuka kila anapoletewa kamera usoni.
 
Mara nyingi huyu Ndg.Zitto alikuwa anasema ataacha siasa na kwenda kufundisha je mtani wangu umefikia wapi?.Mbona naona kama ndoto yako hiyo imeyoyoma?.Mimi bado nakushauri kuwa heri rudi kafundishe/ka shike chaki.Siasa hizi za kiswahili na waswahili si size yako.Nasikia umeanzisha chama chako cha wahaa.Sasa wewe sijui yaani unakaribia kufika mwisho wa safari halafu unaamua kurudi karibu na ulipoanzia safari hauoni hilo kama hasara.Je mvua,ugonjwa,wanyama wakali wakifanya ushindwe kufika si utajilaumu kuwa tayari ningeshafika lakini hapa nimeingia choo cha kike.

Pale chadema ulikuwa mtu mzito,mheshimiwa.Yaani ulikuwa na kama miaka 3 tu hakika ungekuwa mtu mkubwa sana pale chadema lakini wewe inaonyesha haujui kula na baba.Badala ya kujipendekeza upewe minofu wewe unashindana na baba wakati yeye mifupa yake migumu,meno magumu,tumbo kubwa.Ona sasa atafaidi minofu na wewe umetemwa out.

Siasa inatakiwa uvumilivu,wewe ungekuwa mgombea bora wa Urais 2020.Lakini kwa sasa utapotea maana unatumia pesa zako kuendesha chama na hapo utapoteza tu.
 
ana GPA ya 3.8?
Huyu bwana anaweza kuwa Professor muongo maana wakati anatuhumiwa na chadema alisema anaonewa kwa sb ya dini yake,kabila lakini kwa mdomo wake amekuja kukiri kuwa alianzisha chama chake hicho akiwa bado kiongozi chadema.Hivyo kwa pointi hiyo tu huyu ni kiongozi asiyeaminika,muongo,mwenye kupenda kugawa watu badala ya kuwaunganisha,mwenye kutaka kuonewa huruma.Hivyo hawezi kujibu hoja kuwa ni mtu anayetumika kuharibu mageuzi hapa Tanzania kwa vipande vya fedha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…