Graduating thieves and murderous! Amejaa dhana ya Unyani. Mh Mtikila nakukumbuka sana kwa zile Vol zako 14 juu ya dhana ya unyani, tunazipataje hivi sasa?Lecturer Zitto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Graduating thieves and murderous! Amejaa dhana ya Unyani. Mh Mtikila nakukumbuka sana kwa zile Vol zako 14 juu ya dhana ya unyani, tunazipataje hivi sasa?Lecturer Zitto
Ni kweli Zitto ni jembe ila haaminikiHuyu zitto ni jembe sana bado tunahitaji chalenge zake sana maana bado kijana na mawazo ya kujenga sio kama wale wafanya vurugu
Huyu bwana anaweza kuwa Professor muongo maana wakati anatuhumiwa na chadema alisema anaonewa kwa sb ya dini yake,kabila lakini kwa mdomo wake amekuja kukiri kuwa alianzisha chama chake hicho akiwa bado kiongozi chadema.Hivyo kwa pointi hiyo tu huyu ni kiongozi asiyeaminika,muongo,mwenye kupenda kugawa watu badala ya kuwaunganisha,mwenye kutaka kuonewa huruma.Hivyo hawezi kujibu hoja kuwa ni mtu anayetumika kuharibu mageuzi hapa Tanzania kwa vipande vya fedha.ana GPA ya 3.8?
Alisema atarudi kufundisha,sasa hatujui kabobea kwenye nini?.prof.kitila anajua uenda atajibukwani ni mwalimu aliyebobea
Alisema atarudi kufundisha,sasa hatujui kabobea kwenye nini?.prof.kitila anajua uenda atajibu
hahaaaaa amebobea kwenye usaliti