Vijana wengi wa kitanzania ni wajinga, naona wimbi la vijana hapa JF wakidhihirisha ujinga. Zitto mwenyewe kama kasema kuwa hatagombea urais basi nae namweka kwenye kundi la wajinga.
Sielewi. Kwani Zitto hata akiutaka urais hawezi kugombea 2015 katiba haimruhusu, na pia hata km katiba haimruhusu kabla yaa kutoa dhamira atambue ktk chama kuna mchakato wa kumpata mgombe urais (wapo wengi chadema).
Ukiona mtu anaimba hii chorus ya Zito kusema hatagombea urais ni alama ya ujinga. Ni sawa na Juliana shonza, au mtela aseme nimeahirisha 2015 sitagombea urais. Alafu wewe unaanza kujenga hoja kuhusu hiyo kauli na unasikitika while in a real sense hata wangetaka wasinge weza sababu ya umri.
Zitto amegundua katiba mpya haitamfavor na pia amepoteza ile catch aliyokuwa nayo, siyo vibaya akapumzika labda (aje kuwa waziri km katiba itaruhusu ndicho anachowaza maana rasimu inaonesha mawazir hawatatokana na wabunge).
Zitto hana tofaut na JK. Anapenda kufanya movement within institution in the end apate reward yeye mwenyewe, na aonekane yeye ndio don. Kama jambo halimpi sifa yeye binafsi hawezi kulifanya (ubinafsi na sifa)
Ana tabia ya usaliti. Sasa hapa ni tabia ya watu wa kigoma (wild kaborou, nsanzugwanko, david kafulila)..hata tafuta mtu wa kigoma hapo ulipo wana asili ya kutait.
Pia sio msaada ndani ya cdm..ikumbukwe 2010 wakati wanamnadi Slaa yeye anajinadi kuwa atagombea urais, wakati wenzake wanapambana na wizi wa kura yeye anapigiana simu na Jaki zhoka, wakati wenzake wanalounch M4C yeye yupo na akina Ben sanane,akina juliana shonza wanajenga mikakati ya kumpindua mbowe, wakati wenzao wanaamsha maandamano yeye yupo na cloudsfm anaongea dili na ruge kuanzisha kampuni ya PERA ringtones.
In short Zitto ndani ya chadema hana lolote watu ambao wanakijenga chama wanajulikana. Zitto nadhan anajua kucheza na akili za watanzania wajinga ila sio mimi.