Ras wakambo
Member
- Nov 22, 2011
- 71
- 6
Sasa kama CDM wameshamvuruga afanyeje?
Aende nccr au sau
Aende nccr au sau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si yeye kajivuruga....?si mara kibao humu tulikuwa tukiwaambia kuwa dogo ni psychopathic.
Si alisema ana mwito na uzalendo sana, CDM wameuondoa, si alisema anazo sifa zote za kuwa Amir Jeshi mkuu wa hii nchi?Si alisema ataua hadi panya watu wakiingia ktk njia zake......
Tunasubiri next funny move.....sijui km ya Makamba ?
ndo maana yake...nawashauri hata kina lisu,mnyika,msigwa,lema,nasra,sugu,mdee waachane na ubunge,wasubiri kuja kuwa mawaziri,japo tena ccm ikishinda itakuwa imekula kwao.Zito anaona mbali, mawaziri hawatakuwa wabunge, so anajipanga.
Indirectly anamsapoti kijana mwenzie ili akiingia tu, naye anashika wizara.
Ninawasikitikia sana vijana wenzangu wa nchi hii, kwakweli ni aina ya vijana ambao hawaamini kuwa hawaamini wanachokiamini,
Mtu yeyote anaweza kuwageuza akili zao vyovyote apendavyo,
Namshukuru sana kamanda mwenzangu Ben Saanane kwa kusimamia nakuiishi imani yake bila kutetereka,
Niliwahi kuandika na ninatembea nakuishi katika imani hii kuwa Zitto Kabwe Naibu Katibu wangu wa Chadema ni "Mnafiki" namba moja kati ya wanafiki wote nchini wanaoishi kwa siasa!
Haya hapa chini yataishi na kutembea kichwani na moyoni mwangu daima!
Ninawasikitikia sana vijana wenzangu wa nchi hii, kwakweli ni aina ya vijana ambao hawaamini kuwa hawaamini wanachokiamini,
Mtu yeyote anaweza kuwageuza akili zao vyovyote apendavyo,
Namshukuru sana kamanda mwenzangu Ben Saanane kwa kusimamia nakuiishi imani yake bila kutetereka,
Niliwahi kuandika na ninatembea nakuishi katika imani hii kuwa Zitto Kabwe Naibu Katibu wangu wa Chadema ni "Mnafiki" namba moja kati ya wanafiki wote nchini wanaoishi kwa siasa!
Haya hapa chini yataishi na kutembea kichwani na moyoni mwangu daima!
Nilishasema usiniite kwenye thread za kipuuzi.
ben in public?public ya wapi,?huyo ben tunamjua humu jf tu..Always mimi nimekuwa nikimuonea sana huruma Zitto km wasanii wa Bongo fleva wanaouuza unga wa wakubwa sana basi hupigiwa upatu sana....Zitto aliingia ghafla ktk siasa wakati CDM walikuwa na wabunge wachache na hivyo kumtumia ktk majukumu mengi....kilichoniudhi ni huyu kijana hakutaka jielewa uwezo wake na wapi chama kilikuw akikimbeba ili aongeze jitihada sana kufunika mapungufu yake.Hata wacheza mpira professionals huwa na namna nyingi sana ya kuziba mapungufu yao.
Ben Saanane in big time more smarter than Zitto, badala ya Zitto kulijua hilo na kumaliza mapungufu yake kwa kushirikiana na wengine ili wampe ushirikiano wa kumjenga alikuwa Busy kumchafua Ben, just because alidhani kuwa Popolarity alijipatia kwa CDM na Magamba ingeweza msaidia kummaliza Ben in Public.
Namsikitikia sana na nawasikitikia watakaokwenda fundishwa na Zitto, kwa jinsi alivyo biased, kwa jinsi alivyo na personality problem, kwa jinsi alivyo logwa na mitizamo ya Haroub Othman, mitizamo ya Lipumba.Tutaona replica nyingine ya Lipumba na Haroub Othman, tutaona product nyingine mbovu kutoka vyuo vyenye wasomi wanaoshikiliwa na vyeti na siasa za makundi fulani nyuma yao.
Mwanasiasa mzuri siku zote anatakiwa kuwa na malengo ya mbali na kuyatekeleza
Hii tabia ya kuwa opportunist ni mbaya sana na ndicho kinachowagharimu Zitto,Jussa na January Makamba
Wapo tayari kwa lolote ilimradi wanapata umaarufu
zito angetulia vizuri na chadema angefika mbali.akina Tundu Lissu wameibuka na kasi yao ya kujenga chama inatisha.January ni mnafiki ila yuko makini hata siku moja hawezi kukihujumu chama chake na ndiyo maana hata ile petition ya bungeni kumng'oa waziri mkuu hakusaini.
hapa anafuatilia weeee halafu kesho utamsikia anatoa press statement
duh GT wa cku hizi bana......mkuu wewe ni mmoja wa failure wa mwaka jana? au akili zimezidi mno?
Zitto ameamua kukaa pembeni na siasa, hayo maswali unauliza kama Zitto umemtengeneza wewe na unamwamulia maisha, what a shame!!
Hitimisho lako ni zito sana, una ushahidi wowote kwamba hivi ndivyo alivyo, au ndio mtindo huohuo wa hisia kuzibadilisha kuwa kweli? Wazungu wanasema: 'we suspect in others what we feel in ourselves'. Yaani wakati mwingine binadamu huwa tunawaza kitu fulani akilini mwetu na kujiona sisi tulivyo na kudhani na kujiaminisha kwamba hivi ndivyo walivyo watu wengine. Angalia ndugu yangu usije ukawa hivyo ulivyo ukadhani na wengine ndivyo walivyo!!
Always mimi nimekuwa nikimuonea sana huruma Zitto km wasanii wa Bongo fleva wanaouuza unga wa wakubwa sana basi hupigiwa upatu sana....Zitto aliingia ghafla ktk siasa wakati CDM walikuwa na wabunge wachache na hivyo kumtumia ktk majukumu mengi....kilichoniudhi ni huyu kijana hakutaka jielewa uwezo wake na wapi chama kilikuw akikimbeba ili aongeze jitihada sana kufunika mapungufu yake.Hata wacheza mpira professionals huwa na namna nyingi sana ya kuziba mapungufu yao.
Ben Saanane in big time more smarter than Zitto, badala ya Zitto kulijua hilo na kumaliza mapungufu yake kwa kushirikiana na wengine ili wampe ushirikiano wa kumjenga alikuwa Busy kumchafua Ben, just because alidhani kuwa Popolarity alijipatia kwa CDM na Magamba ingeweza msaidia kummaliza Ben in Public.
Namsikitikia sana na nawasikitikia watakaokwenda fundishwa na Zitto, kwa jinsi alivyo biased, kwa jinsi alivyo na personality problem, kwa jinsi alivyo logwa na mitizamo ya Haroub Othman, mitizamo ya Lipumba.Tutaona replica nyingine ya Lipumba na Haroub Othman, tutaona product nyingine mbovu kutoka vyuo vyenye wasomi wanaoshikiliwa na vyeti na siasa za makundi fulani nyuma yao.
ben in public?public ya wapi,?huyo ben tunamjua humu jf tu..
Naona Chadema Kaskazini saizi ni furaha tu, habari njema kwao.
Vile vile Zitto, kutokuwepo kwenye wagombea ubunge ni pigo kubwa kwa Chadema ataondoka na kura zake.
Zitto, alikuwa ana balance chama kutokuwepo kwake ndiyo safari ya Chadema kupotea kwenye medani ya siasa.
Chadema sasa kitabaki kuwa chama cha Kaskazini, ndoto za kina Nassari zimetimia.
Always mimi nimekuwa nikimuonea sana huruma Zitto km wasanii wa Bongo fleva wanaouuza unga wa wakubwa sana basi hupigiwa upatu sana....Zitto aliingia ghafla ktk siasa wakati CDM walikuwa na wabunge wachache na hivyo kumtumia ktk majukumu mengi....kilichoniudhi ni huyu kijana hakutaka jielewa uwezo wake na wapi chama kilikuw akikimbeba ili aongeze jitihada sana kufunika mapungufu yake.Hata wacheza mpira professionals huwa na namna nyingi sana ya kuziba mapungufu yao.
Ben Saanane in big time more smarter than Zitto, badala ya Zitto kulijua hilo na kumaliza mapungufu yake kwa kushirikiana na wengine ili wampe ushirikiano wa kumjenga alikuwa Busy kumchafua Ben, just because alidhani kuwa Popolarity alijipatia kwa CDM na Magamba ingeweza msaidia kummaliza Ben in Public.
Namsikitikia sana na nawasikitikia watakaokwenda fundishwa na Zitto, kwa jinsi alivyo biased, kwa jinsi alivyo na personality problem, kwa jinsi alivyo logwa na mitizamo ya Haroub Othman, mitizamo ya Lipumba.Tutaona replica nyingine ya Lipumba na Haroub Othman, tutaona product nyingine mbovu kutoka vyuo vyenye wasomi wanaoshikiliwa na vyeti na siasa za makundi fulani nyuma yao.
Si alisema hataongelea tena suala urais hapa?https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...adala-kuhusu-yeye-kugombea-urais-5-print.html
Leo imeakuaje ameongelea?
'Nicolas kwa nini Zito tu awe biased na si wewe? Nadhani jichunguze nawe. Nadhani tatizo kubwa kwetu ni kuwaona wenzetu ni tatizo pasipokujiangalia kwa kina endapo nasi hatuko sehemu ya hilo tatizo.
"Looking in the wall street journal for your face but its always absent.."
Upambe na njaa zitakuua bwana mdogo,thread za kipuuz kwamba vipi unawadharau hawa wote wanaochangia na kusoma huu uzi kuwa ni wapuuzi??
Mods walioamua kuuacha huu uzi ili watu waje kujadili na kukosoana ni wapuuzi??
I think mpuuz utakuwa ni wewe unaedhani kwa kuwa kimbelembele na kuwa mpambe,usie na mbele wala nyuma basi unaweza kujenga status na strong identity,pole sana
Unajua nini wewe mchumia tumbo,"YOU WILL BE KILLED NOT FOR YOUR HUNGER,BUT YOU WILL BE KILLED BY YOUR HUNGER"
Must be so so crazy,stupid & dumb,you cant move even your own block..!
Who the hell are you?