Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Huyu Nicholas nibonge la mdini na mtu mwenye chuki na imani za watu. Zitto kuweka ringtones za quruani inahusianaje na uongozi. Haina haja kubishana na wewe kwakuwa wewe ni -------- uliejaa udini. Mashambulizi yote hayo sio kwamba hufahamu mchango wa Zito bali kwakuwa unachuki na imani yake.

Hivi hujui kulegeza akili yako kiasi hiki unakuwa huna tofauti na mnyama mjinga...?Nilichoongea hata Mbatia lisema bungeni.Zitto ni Mbunge, ni makamu mwenyekiti na nafsi nyingine kumpigia simu na kupokelewa na mambo ya dini kwako ni kawaida kwa vile akili yako ndio imelegea kw akiasi cha kushindwa na mnyama mjinga kabisa.Sasa km hili limekushinda si ungeachana na kulilia kila kitu kuw aunaweza?

Hujasoma ulichokitolea haya maneno?Umeacha ku quote ili ujinga wako usionekane?Nilieleza kabisa kosa lake km kiongozi wa watu wa dini zote kutumia miito ya dini?

Wabongo wengi mmezidisha upumbavu sijui ni sembe limezidi, na misosi inayodumaza mbongo.Umekimbilia udini ..mdini mkubwa wewe.Km ni udini undahani ningeogopa andika hapa?
 
Ni sawa na Pasco. Yeye bila Lowassa ni sawa na bure!
Ni kweli!.
Sometimes huwa najaribu kuwafikiria wana jf wenzetu ndani ya vichwa vyao mna nini?.
Humu ndani tuna watu ni vichwa kweli, ila pia vichwa maji, vichwa nazi, vichwa tope, vichwa madudu pia vipo!.

Pia size ya kichwa ina matter, kuna watu wana vichwa kama kitenesi, nazi, mpira, kama boga, kama tikiti, na wengine kama fenesi!
Kwa vile hatujuani, mtu unabaki kuimagine tuu kwa kadri mtu anavyopost!

Mkuu Mzito K, nimeisha kuimagine! naomba nikuhifadhi kundi lako na size yako, just kaa ukijua, nilijua!. Ukiizidi nitalitaja!.
P.
 
Mwezi Septemba mwaka 2006, Zitto Zuberi Kabwe alitangaza nia yake ya kutogombea Ubunge mwaka 2010 na ilipofika Novemba 2009 mwaka moja kabla ya Uchaguzi Mkuu akasisitiza tena hiyo nia yake kama ifuatavyo;
Zitto said:
Mpango wangu ni kutogombea tena ubunge ili niweze kusoma na kupata Phd na niweze kuwa mhadhiri wa chuo kikuu. Ninapenda zaidi kufundisha kuliko siasa, kuna shinikizo kubwa kuwa nigombee tena, lakini nafsi yangu ni nzito sana kurudi Bungeni. Niliweka nia yangu hii toka Septemba mwaka 2006, lakini watu hawataki kabisa kuelewa hili. Nadhani sitagombea.
Aligombea na alipata Ubunge kupitia Chadema!

Septemba mwaka 2012, Zitto Zuberi Kabwe alitangaza nia yake ya kutogombea Ubunge mwaka 2015 na badala yake atagombea Uraisi kupitia Chadema;
Zitto said:
Kama Mungu ataniweka mpaka mwaka 2015, sitagombea ubunge tena kwa sababu kazi niliyofanya inatosha. Natangaza rasmi kuwa nitagombea urais kupitia chama changu cha Chadema, bila kusababisha msuguano wowote na sitaki kuingia katika historia ya kurudisha nyuma harakati za upinzani kushika dola. Kwanza nataka niwahakikishia watu wa Kigoma msiwe wanyonge…mna uwezo wa kutoa rais wa nchi hii
Mmmh! ...Juzi juzi mwaka huu wa 2013, Zitto Zuberi Kabwe kaibuka tena na kutangaza nia yake ya kutogombea Ubunge wala Uraisi mwaka 2015 na safari hii kasema hivi;
Zitto said:
Ninachokifanya ndugu zangu ninaomba mjiandae kisaikolojia katika hili, ninatamka wazi kuwa mwaka 2015 sitagombea ubunge tena katika jimbo letu hili la Kigoma Kaskazini na lengo la kufanya hivi ni kutoa fursa kwa watu wengine kutoka ndani ya CHADEMA nao waonyeshe uwezo wao wa kuwahudumia wananchi.
Safari hii mimi sitatia neno!
 
Mwezi Septemba mwaka 2006, Zitto Zuberi Kabwe alitangaza nia yake ya kutogombea Ubunge mwaka 2010 na ilipofika Novemba 2009 mwaka moja kabla ya Uchaguzi Mkuu akasisitiza tena hiyo nia yake kama ifuatavyo;

Aligombea na alipata Ubunge kupitia Chadema!

Septemba mwaka 2012, Zitto Zuberi Kabwe alitangaza nia yake ya kutogombea Ubunge mwaka 2015 na badala yake atagombea Uraisi kupitia Chadema;

Mmmh! ...Juzi juzi mwaka huu wa 2013, Zitto Zuberi Kabwe kaibuka tena na kutangaza nia yake ya kutogombea Ubunge wala Uraisi mwaka 2015 na safari hii kasema hivi;

Safari hii mimi sitatia neno!

nilichojifunza ni kuwa Zitto ni mnafiq
 
Last edited by a moderator:
Mdogo wangu Zitto mara nyingine simuelewi kabisa. Wakati wa kipibdi chake cha kwanza cha Ubunge, aliwahi kusema kuwa hatagombea tena Ubunge mwaka 2010 lkn muda ulipofika akagombea!

Labda hiyo ndio silika ya wanasiasa wa Tanzania; kuwa na ndimi mbili mbili.

Ushauri wangu kwako mdogo wangu; ikiwa kweli unazo ndoto za kuja kuwa Rais wa nchi hii siku moja, basi mwaka 2015 ndio muhimu zaidi kwako. Kwanza, gombea tena Ubunge na hakikisha unashinda kwa kuwa ukishinda unaweza kuwa ni Mbunge pekee aliyedumu kwenye Ubunge kwa kipindi kirefu zaidi baada ya Vyama vingi, pili; itathibitisha nguvu yako kisiasa ambayo itakusaidia kufikia maono yako ya kugombea Urais na sifa utakuwa nazo- ukongwe kwenye siasa, nguvu kubwa kwente siasa za Tanzania, na umri sahihi kikatiba kugombea uraisi, na pengine utakuja kuwa Rais pekee kijana zaidi aliyechaguliwa kidemokrasia katika Afrika.
 
Mwezi Septemba mwaka 2006, Zitto Zuberi Kabwe alitangaza nia yake ya kutogombea Ubunge mwaka 2010 na ilipofika Novemba 2009 mwaka moja kabla ya Uchaguzi Mkuu akasisitiza tena hiyo nia yake kama ifuatavyo;

Aligombea na alipata Ubunge kupitia Chadema!

Septemba mwaka 2012, Zitto Zuberi Kabwe alitangaza nia yake ya kutogombea Ubunge mwaka 2015 na badala yake atagombea Uraisi kupitia Chadema;

Mmmh! ...Juzi juzi mwaka huu wa 2013, Zitto Zuberi Kabwe kaibuka tena na kutangaza nia yake ya kutogombea Ubunge wala Uraisi mwaka 2015 na safari hii kasema hivi;

Safari hii mimi sitatia neno!

Mmmmh...ngoja niisave hii thread.
 
Kiongozi we mbaya yani umepoteza kabisa huyo mlamba miguu ya watu (Benn saanane) huyo mwengine hajielewi wala simshangai (yericko) she is nothing kabisa.hawa vijana kweli ndio chanzo kikubwa cha mimi kuichukia CDM kwasababu inawalea vijana wapenda majungu na kufitinisha, hutumia majina ya watu kupata attention
Benn Saanane hataki kusikia kabisa kijana mwenzake anauwezo zaidi yake,anajihisi he is very smart sababu masters ya INDIA.
Saanane fanya yako acha kua mtumwa wa kufatilia maisha ya watu. free yourself kijana


Kasoma chuo cha kata India anatamba nayeye ni msomi,watu wana CV zao humu wamepiga zao kimya tuh,

Sijui angekuwa msomi wa sheria kutoka vyuo vya maana kama HAVARD sijui kama tungelala,Mtu mwenye Njaa daima hakosi majivuno na majisifu hasa hasa hizi njaa zinazowaingia hadi vichwani,
 
Mwezi Septemba mwaka 2006, Zitto Zuberi Kabwe alitangaza nia yake ya kutogombea Ubunge mwaka 2010 na ilipofika Novemba 2009 mwaka moja kabla ya Uchaguzi Mkuu akasisitiza tena hiyo nia yake kama ifuatavyo;

Aligombea na alipata Ubunge kupitia Chadema!

Septemba mwaka 2012, Zitto Zuberi Kabwe alitangaza nia yake ya kutogombea Ubunge mwaka 2015 na badala yake atagombea Uraisi kupitia Chadema;

Mmmh! ...Juzi juzi mwaka huu wa 2013, Zitto Zuberi Kabwe kaibuka tena na kutangaza nia yake ya kutogombea Ubunge wala Uraisi mwaka 2015 na safari hii kasema hivi;

Safari hii mimi sitatia neno!

Kitendo cha Zitto kuchunia hii thread inanitia wasiwasi.........................!!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli!.
Sometimes huwa najaribu kuwafikiria wana jf wenzetu ndani ya vichwa vyao mna nini?.
Humu ndani tuna watu ni vichwa kweli, ila pia vichwa maji, vichwa nazi, vichwa tope, vichwa madudu pia vipo!.

Pia size ya kichwa ina matter, kuna watu wana vichwa kama kitenesi, nazi, mpira, kama boga, kama tikiti, na wengine kama fenesi!
Kwa vile hatujuani, mtu unabaki kuimagine tuu kwa kadri mtu anavyopost!

Mkuu Mzito K, nimeisha kuimagine! naomba nikuhifadhi kundi lako na size yako, just kaa ukijua, nilijua!. Ukiizidi nitalitaja!.
P.

Hahahaaaaaa
 
Sasa Ben Saanane na Yericko ndiyo waliomtuma zitto kufanya mawasiliano haya na Rostam Aziz na Jack Zoka waliochakachua uchaguzi mkuu uliopita huku Zitto mwenyewe akihusishwa kuhujumu baadhi ya wanasiasa vijana?Kwa maelezo haya haya hapa chini Zitto alikua akifanya yake?

''ZITTO Kabwe, naibu katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amekuwa na mawasiliano ya karibu na na mfanyabiashara na mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, imefahamika.
Kufichuka kwa taarifa za mawasiliano kati ya Zitto na Rostam kumekuja wiki moja baada ya gazeti hili kuchapisha mawasiliano kati ya Zitto na Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa nchini (TISS), Jack Zoka.
Aidha, kufichuka kwa mawasiliano kati ya Zitto na Rostam kumekuja siku mbili baada ya mama mzazi wa Zitto, Shida Salum kunukuliwa akisema, "Mwanangu ni mkorofi."
Mama Zitto alikieleza kikao cha Kamati Kuu (CC) ya chama chake kilichofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, "Namfahamu mwanangu. Ni mkorofi. Si msikivu."
Kwa mujibu wa rekodi ya mwingiliano wa simu za mdomo na maandishi (sms) kutoka kwa Zitto kwenda kwa baadhi ya vigogo wa ngazi ya juu serikalini, TISS na Rostam, watu hao wawili wamekuwa wakijadiliana mambo kadhaa.
Miongoni mwa mambo ambayo yamekuwa yakijadiliwa na viongozi hao, yanahusu CHADEMA, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na taifa kwa ujumla.
Rostam ambaye CHADEMA imekuwa ikimtuhumu kuhusika katika kashfa mbalimbali za ufisadi, ni mjumbe wa Kamati Kuu (CC) ya CCM.
Gazeti hili limeshindwa kujua mapenzi ya Rostam kwa CHADEMA hadi kujipa jukumu la kujadiliana na Zitto juu ya "uhai bora" wa chama hicho.
Kwa mfano, Zitto na Rostam walifanya mawasiliano ya simu mara tano hapo tarehe 11 Agosti 2010. Simu iliyotumika katika mawasilino hayo, ni Na. +255756809535 ambayo hutumiwa na Zitto na +255754555555 ambayo hutumiwa na Rostam.
Mawasiliano hayo yalifanyika saa 07:08:35, saa 22:09:02, saa 22: 28: 39, saa 22:49:54, saa 22:44:37 na saa 22:45:09.
Wakati mawasiliano hayo yanafanyika simu ya Zitto ilikuwa inasomeka kuwa yuko Uzunguni, Dodoma, huku simu ya Rostam ikisomeka kuwa ilikuwa Area D, Dodoma.
Mawasiliano mengine yalikuwa katika maeneo tofauti. Mathalani mawasiliano ya Zitto na Rostam yalyofanyika 30 Novemba 2010 yalionyesha kuwa Zitto yuko Ohio, Ilala, Dar es Salaam. Yalifanyika saa 14:58:42, saa :16:41:58, saa 15:38:00, saa 16:09:56 na 17:48: 35.
Mawasiliano mengine ya Zitto na Rostam yalifanyika siku mbili kabla ya wabunge wa CHADEMA hawajakutana Bagamoyo.
Mawasiliano hayo yalifanyika tarehe 7 Desemba 2010 saa 07: 57:27, saa 14:32:08, saa 09:44:36 na saa 14:07:07.
Haijaweza kufahamika pia kiini cha mawasiliano kati ya Zitto, Zoka, Rostam na vigogo wengine wa serikali, CCM na usalama wa taifa.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa wetu kutoka ndani ya kikao cha CHADEMA, awali mama Zitto alieleza masikitiko yake kuhusiana na taarifa mbalimbali zinazomhusu mwanawe.
"Najua mwanangu ni mkorofi. Lakini kuna njia ya kufanya kuliko kukitia chama msukosuko…Kila mara Zitto, Zitto, Zitto. Haya mambo hayana faida kwa chama," alieleza.
Hata hivyo, vyanzo huru vya taarifa vimeeleza MwanaHALISI kuwa mpango uliopo ni kumtumia Zitto "kusambaratisha CHADEMA."
"Kaka, nakuhakikishia kuwa upo ushahidi wa kutosha kwamba Zitto anatumika kuvuruga CHADEMA. Kuna baadhi ya vigogo ndani ya CCM na serikali, wanaomtia ujinga kwa kumueleza, ‘kwa hali ilivyo ndani ya CCM, wapo baadhi ya watu wanatamani kuondoka. Lakini hawawezi kwenda CHADEMA kwa sababu kinaongozwa na Mbowe (Freeman Mbowe),'" ameeleza mtoa taarifa.
Anasema, "Hivyo wanampampu Zitto kugombea uenyekiti. Wanataka Mbowe ang'oke na CHADEMA kisambaratike. Ni kwa sababu, wote wanaomtumia Zitto, wanajua kuwa huyu bwana mdogo hana uwezo wa kuongoza CHADEMA na haaminiki."
Akiongea kwa kujiamini, mtoa taarifa anasema, "Ni mbinu zilezile zilizotumiwa NCCR- Mageuzi, ambapo baadhi ya vigogo wa idara ya usalama wa taifa walitumia fedha ili kumng'oa Marando (Mabere Marando), katika uongozi wa chama."
Anasema taarifa kwamba wapo watu wanataka kuondoka ndani ya CCM na kujiunga na CHADEMA ni mkakati unaosukwa kwa ustadi mkubwa na baadhi ya vigogo wa serikali kwa kushirikiana na usalama wa taifa.
Inadaiwa ni katika mkakati huo, ndimo linapatikana jina la Rostam ambaye uongozi wa juu wa chama hicho umekuwa ukimtuhumu kuhusika katika kashfa mbalimbali za ufisadi nchini.
"Unajua ndugu yangu hapa Tanganyika, Rostam angependa sana awe na uwezo wa ku-control vyama vyote vinavyokua, hasa CHADEMA kwa sasa; ingawa uwezo wake wa kupenyeza unakuwa mgumu.
"Mkakati wake ni kumweka mtu wao katika uongozi wa juu wa CHADEMA ili waweze kumuendesha. Mpango huo ukifanikiwa, kina RA (Rostam) wataacha ugomvi na CHADEMA. Kwa sasa mtu wao ni Zitto. Na kuna mambo mengi ya siri ambayo RA amekubaliana na Zitto," anaeleza mtoa taarifa mmoja ambaye yuko karibu na Rostam na Zitto.
Mjadala juu ya mwenendo wa mashaka wa maisha ya kisiasa ya Zitto, uliibuka baada ya katibu wa wabunge wa CHADEMA, John Mnyika kuwasilisha taarifa ya shughuli za kamati hiyo mbele ya Kamati Kuu.
Kikubwa kilichojadiliwa ni hatua ya Zitto kuongoza kikundi cha baadhi ya wabunge kusaliti maamuzi halali ya kamati ya wabunge wa chama hicho.
Zitto anatuhumiwa na wabunge wenzake kutotii agizo la kutoka nje wakati Rais Jakaya Kikwete anahutubia Bunge, 18 Novemba 2010.
Katika taarifa yake kwa CC, Mnyika alisema katika kushughulikia suala hilo, hakukuwa na lolote la kuviziana kama ambavyo baadhi ya wajumbe wamedai.
"Hakuna kanuni iliyovunjwa, wala hakuna kinachoitwa kuviziana. Wabunge walikuwa na hasira sana juu ya hatua ya Zitto na wenzake kutotii agizo la kamati na kupita katika vyombo vya habari kupotosha ukweli," alisema Mnyika kwa sauti ya upole.
Akiongea kwa sauti ya kusisitiza, Mnyika alisema, "Mheshimiwa mwenyekiti, kwa kweli, wabunge walitaka hata kuwapiga wabunge walioasi makubaliano yao. Uongozi wa Kambi ukafanya juhudi kulipeleka mbele suala hili, angalau kupunguza munkari wa wabunge," alieleza.
Ni katika kikao hicho cha wabunge kilichofanyika Bagamoyo, ndipo wabunge walipiga kura ya kutokuwa na imani na Zitto.
Kile kilichoitwa, "kuviziana" kiliibuliwa ndani ya kikao cha CC na Dk. Kitila Mkumbo, ambaye amenukuliwa akisema ameshutushwa na hatua ya wabunge kumhukumu Zitto wakati ni mgonjwa.
Alikuwa ni Benson Kigaila, mjumbe wa CC aliyeeleza viongozi wenzake umuhimu wa kujenga chama imara badala ya kuangalia mtu.
"Mtu aliyekosea, lazima aadhibiwe. Tusiangaliea kama ataanguka, au atanufaika. Kwa muda mrefu, chama hiki kimenufaika kwa makosa ya CCM, ambapo kutokana na makundi yanayokinzana, wameendelea kukumbatia maovu. Ni lazima chama kichukue hatua za kukabiliana na magenge haya," alieleza.
Mjumbe mwingine wa CC aliyeongea kwa sharti la kutotajwa gazetini, ameliambia gazeti hili, "Yale mambo yalikuja kama taarifa, si vingenevyo. Jukumu sasa, liko kwa Zitto mwenyewe kujipima kama anaweza kuongoza watu ambao hawana imani naye."
Baada ya kupeleka taarifa hiyo CC, wabunge wameeleza, "…Tunapeleka maamuzi yetu haya kwa Zitto. Anatakiwa kuamua ama kuachia ngazi au kusubiri hatua nyingine zinazofaa kuchukuliwa kwa mtu kama yeye katika kikao chetu kingine."
Mara baada ya mjadala wa Zitto kwa CC kutoingilia maamuzi ya Kamati ya wabunge wake, ndipo uamuzi wa kuunda kamati ndogo ya "kumpa ushauri" Zitto ilipoundwa.
Kamati hiyo inaongozwa na Profesa Mwesiga Baregu.Wajumbe wake ni Nyangali Shilungushela, SylivesterMasinde na Mama Zitto.
Kazi ya kamati ya Baregu ni kufuatilia nyendo za Zitto, kumshauri jinsi ya kujibadilisha ili hatimaye arejee katika nji''

Sio siri jinsi tunavyoimba mabadiriko nahisi angekaa kando kabisa kasi yetu haiwezi ....nilikuwa supporter mkubwa sana wa siasa za bwana zitto ila kutokana na siasa zake niseme tu Mungu anusamehe za kishetani ....kufifisha matuamaini yetu kutokana na hujuma dhidi ya CDM leo hii simpendi kupindukia na hususan siasa zake za majivuno na kupenda sifa binafsi na si za chama kwa lolote atakalofanya...angefika mbali sana huyu bwana ktk siasa za tz ila kajimaliza kwa Uspy wa usiotija. Upumzike kwa amani nje ya siasa imebidi mkuu nami naunga mkono 100%
 
Me kama kijana noma sana,chezea chaga wewe,kila utaemkuta tanzania mzima serekalini au nje lazima awe cdm,shughili zote za katibu mkuu akiondoka anapewa mnyika afanye eti kwasababu ni wa kilimanjaro mpare.
 
kasoma chuo cha kata india anatamba nayeye ni msomi,watu wana cv zao humu wamepiga zao kimya tuh,

sijui angekuwa msomi wa sheria kutoka vyuo vya maana kama havard sijui kama tungelala,mtu mwenye njaa daima hakosi majivuno na majisifu hasa hasa hizi njaa zinazowaingia hadi vichwani,
hivi ben anatoka mkoa gani? Au bukoba?
 
Me kama kijana noma sana,chezea chaga wewe,kila utaemkuta tanzania mzima serekalini au nje lazima awe cdm,shughili zote za katibu mkuu akiondoka anapewa mnyika afanye eti kwasababu ni wa kilimanjaro mpare.
 
La kutogombea ubunge alishalisemea siku nyingi, La urais ndiyo jipya.



UAMUZI WA BUSARA
 
vijana hawa wanaokula ada za wanafunzi wenzao kwa kwenda TAHILISO na kwenda kuongea ----- ni mazuzzzzzuuuu/.
 
Anaposema hatogombea urais kwani kikatiba umri atakaofikia ni legally kugombea huo urais? Au anataka tu umaarufu?
 
Back
Top Bottom