ZITTO: Sitopokea posho ya 300,000 kwenye mbunge la Katiba

Status
Not open for further replies.

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2010
Posts
7,264
Reaction score
678



Zitto akilejea barua yake ya 2011 akiwa anaongea na mwandishi wa gazeti la majira amesema hatapokea posho yoyote kwenye hili bunge la katiba. Zitto amesema ametumwa na wanakigoma kuja kuandika katiba wala sio kipokea posho.
Zitto ameongezea kuwa kuwa huu ni wizi kwa wananchi yaani mwalimu analipwa kati ya 200000 mpaka 300000 kwa mwezi wakati wabunge wanapokea kwa siku


What's 300, 000 wakati una uwezo wa kukodisha shangingi kwa miaka from one of the most expensive lawyers around -Nkono? Siasa inalipa jamani?

Mhe: Zitto amekana kutoa tamko hili.

Barua iliyotumika ni mawasiliano baina ya Mbunge na Ofisi ya Katibu wa Bunge mwaka 2011 ambayo haina muunganiko wowote na mchakato unaoendelea wa Bunge maalum la Katiba.

Thread will remain closed

Paw
 
Haya tena lema yeye anasemaje kuhusu posho au anataka ziongezwe.
 
Anakataa wakati mama yake Shida salim atapokea?

Mkuu wewe ulishawahi kuingilia maamuzi binafsi ya mama yako? Kama inawezekana labda tuanzie kwako kupata ushuhuda!
 
Kwanini asipokee afu atupe mchanganuo wa hiyo hela kwenye madawati au madawa?
 
Zito hana mvuto tena, apumzike kwa amani
 

Huyu kijana ni mzalendo wa kweli, hebu sikilizeni maneno haya ya kizalendo wakati akikanusha tuhuma za wahafidhina dhidi yake:


CHADEMA - Demokrasia Vs Wahafidhina - Part: 2 - YouTube
 
Yoyote alieponda posho ya laki 7 na sasa laki 3 asipomuunga mkono Zitto katika hili pamoja na mapungufu yake atakuwa ni mnafiki mkubwa!
 
Anakataa wakati mama yake Shida salim atapokea?


NIMECHEKA SANA, ZZK ANATAKATAA WAKATI MAMA ATAPOKEA KWELI HII KALI, SO ZINARUDI KULE KULE KWA MLANGO MWINGINE.

NAHITAJI MCHANGANUO KWENYE HII POSHO, DOES IT INCLUDE ACCOMODATION, MEAL ALLOWANCE etc or JUST POSHO NJE YA MENGINEYO?
 
Zitto kabwe
===>Mama yako vipi?ataacha kuchukua?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…