ZITTO: Sitopokea posho ya 300,000 kwenye mbunge la Katiba

ZITTO: Sitopokea posho ya 300,000 kwenye mbunge la Katiba

Status
Not open for further replies.
  • Kwanza atutajie majina ya wale walioficha hela nje ya nchi (kama alivyokuwa anadai anayo.....na akaipa serikali muda iwataje) ndio tumwamini na kuiamini dhamira yake!
  • Pili, hata asipozichukuwa hizo posho, ni sawa tu, kwani hajaeleza (urari) wa fedha za walipa kodi alizowekewa ujerumani, ya kuwa ngapi zimebaki ngapi amezigawa nk!
  • Kujitetea kwa kuwataja wapiga kura wake wa kigoma ni kama unafiki tu (attention seeker)...kwani hadi sasa amelisaidia vipi jimbo lake hasa mwananchi wa kawaida? Ziadi ya kutafuta sifa binafsi bungeni.....
 
Anapesa nyingi huyu kwani, maisha yake tu ni ushahidi, kwanini asipokee akawapa wananchi wa jimbo lake wakarabati shule au wachimbiwe visima?

Posho-Za-Vikao-Mhe-Zitto-Kabwe-II.jpg



Zitto akilejea barua yake ya 2011 akiwa anaongea na mwandishi wa gazeti la majira amesema hatapokea posho yoyote kwenye hili bunge la katiba. Zitto amesema ametumwa na wanakigoma kuja kuandika katiba wala sio kipokea posho.
Zitto ameongezea kuwa kuwa huu ni wizi kwa wananchi yaani mwalimu analipwa kati ya 200000 mpaka 300000 kwa mwezi wakati wabunge wanapokea kwa siku
 
Kati ya wanasiasa wazalendo tanzania ambao bado wapo hai nadhani amebaki zitto pekee wengine wote ni waganga njaa na wapo kimaslahi zaidi. Natamani siku moja huyu mzalendo ashike nchi ili atuongoze kujenga taifa la kizalendo

Wewe humfahamu Zitto, ni uzalendo gani unaongelea? Wa kuacha posho ya laki 3 na kulamba laki 4 kupitia PAC? Au kwa kukodi ndege Dar Arusha kwa mil 100?
 
Mbona malipo kupitia TISS hakuyakataa!!! Kubwa kwake ni kupenda kuwalaghai walalahoi tu na si vinginevyo.
 
Hana lolote huyu saliti. Amwambie na mama yake Shida Salumu asipokee posho!!! Anaendela kutafuta support kwa Watanzania, hatushtuki!!! Atapokwa posho ya l 21 ya nini wakati amehongwa billions kuimaliza CDM? Hata mimi nisingepokea maana 21m ni kama change kwake!!!
 
Ile kazi aliyoianza ikaishia njiani ilimlipasana bado anazo zakutosha ndio maana anajifanya hataki kumbe ameshiba
 
Hii haisaidii:
1. Tuambie umesaidiaje kuokoa madini
2. Tuambie umesaidiaje kuokoa tembo
3. Tuambie umetusaidiaje kuokoa matumizi mabaya ya wizara ya fedha ikiwamo kununua chuo cha madini shinyanga
4. Tuambie umesaidiaje kurudisha wanyama waliotoroshwa kilimanjaro
5. Umesaidiaje kuokoa fedha za kilimo kwanza
n.k
 
Posho-Za-Vikao-Mhe-Zitto-Kabwe-II.jpg



Zitto akilejea barua yake ya 2011 akiwa anaongea na mwandishi wa gazeti la majira amesema hatapokea posho yoyote kwenye hili bunge la katiba. Zitto amesema ametumwa na wanakigoma kuja kuandika katiba wala sio kipokea posho.
Zitto ameongezea kuwa kuwa huu ni wizi kwa wananchi yaani mwalimu analipwa kati ya 200000 mpaka 300000 kwa mwezi wakati wabunge wanapokea kwa siku

Tuwekee hiyo barua. Hii ni ya mwaka 2011
 
Last edited by a moderator:
Daa kumbe ZITO yupo daaa siasa za Bongo nlishamsahau, Hongera uliyespot hii mada walau nimemkumbuka.
 
Jamaa baada ya kuona single yake ya kusambaza DVD ime buma kaamua kuchomoka na hii ya kukataa Posho kwenye bunge la katiba.
 
NIMECHEKA SANA, ZZK ANATAKATAA WAKATI MAMA ATAPOKEA KWELI HII KALI, SO ZINARUDI KULE KULE KWA MLANGO MWINGINE.

NAHITAJI MCHANGANUO KWENYE HII POSHO, DOES IT INCLUDE ACCOMODATION, MEAL ALLOWANCE etc or JUST POSHO NJE YA MENGINEYO?

Umeambiwa ni sitting allowance, soma kwanza uzi ndiyo uchangie!!
 
Asante kijana mzalendo.... Katiba ni yetu hakuna haja ya kulipana mipesa mingi wakati tunaitengeneza baadae yetu.
 
Chezea Lema wewe!atadai posho hii iongezwe zaidi.Mtu kama Lema anaharibu taswira ya chadema.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.kwa suala la posho.Zitto ana msimamo na hilo halina ubishi wowote.Bahati mbaya ilioje ni kwamba yuko peke yake katika mapambano haya kwani wanasiasa wengi ambao tunao ni walafi.Kwa hili Zitto Kabwe "kudos"
 
Nasikia ma CCM yameamua kupiga Panga hela yao yaliyomhonga na kushindwa kuifanya kazi ya kuivuruga CHADEMA
 
Mbona malipo kupitia TISS hakuyakataa!!! Kubwa kwake ni kupenda kuwalaghai walalahoi tu na si vinginevyo.

As long as you chose to be dumb you will always be subservient to the dumbness for the rest of your life and honestly speaking i can't see you getting out of this ignorance prison which you and your fellow pumpkin heads put yourselves in.
 
Haya tena lema yeye anasemaje kuhusu posho au anataka ziongezwe.

tkuulize wewe mshenz toka chama tawala ccm mnasemaje? nyie ccm mbali ya kutoikataa mnatuongezea machungu ya kteketeza taifa la kesho kwa biashara yenu ya madawa ya kulevya na kuuwa tembo, rejea dereva wa hawa ghasia akishikwa namtumbo na mzigo wa bosi wake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom