COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,603
- 3,658
Wanaombeza ZZK ni"Empty stomach which is a bad Political Advisor"Kati ya wanasiasa
wazalendo tanzania ambao bado wapo hai nadhani amebaki zitto pekee
wengine wote ni waganga njaa na wapo kimaslahi zaidi. Natamani siku moja
huyu mzalendo ashike nchi ili atuongoze kujenga taifa la
kizalendo