ZITTO: Sitopokea posho ya 300,000 kwenye mbunge la Katiba

ZITTO: Sitopokea posho ya 300,000 kwenye mbunge la Katiba

Status
Not open for further replies.
ana tafuta uruma na sifa....kwa nn asichukuwe iyo hela aipeke kwenye vituo vya watoto yatima wa kigoma.

mshauri hivyo mbowe na lema wazichukue kisha wazipeleke kule machame........tena itakuwa vizuri wakitoa msaada pale machame hospital kusaidia wagonjwa!!
 
Hongera sana Zitto, wewe ni mfano wa kuigwa kwa vitendo si kwa maneno.

Tu ajua watanzania wengi walilalamikiq sana kunusu hii posho na wewe umefanya kwa vitendo si maneno kuikataa.

Watanzania na Wapenda maendeleo wanatakiwa kuungana na kumpongeza na hikiwezekana wabunge wengine hasa wakile chama cha wanaojiita wazalendo waungane nao nae kuikataa posho kwa vitendo maana hata wao walisema ni kubwa hivyo ni vyema kuikataa kwa vitendo..

Watanzania na watu wote wanatakiwa kufahamu kuwa zitto hajamlazimisha mtu kukataa posho ame hamua mwenyewe na wala hamlazimishi mtu kutichukua posho hivyo ni vyema wasiopenda kuziacha posho wanyamaze na waendelee kuzichukua na wala tusimchukie mtu kisa hafanyi tunayo yafanya.

Nitawashangaa watakaoo anza kumkashifu huyu mzalendo wakati kila mmoja wetu amekuwa akipinga hizi poshona sasa tumepata yule wakuzipinga kwa vitendo na si maneno.

Nchii hii hinahitaji watu kama hawa wasio na maneno mengi bali vitendo.

salamu hizi zimfikie kamanda Godbless J Lema na msaidizi wake Mungi na hikiwezekana tuungane kumpongeza kijana mzalendo wa vitendo.

Tusibaki kuandika makala tuu bali tuoneshe uzalendo kwa vitendo kama huyu kijana.

Mungu azidi kukulinda mh Zitto.

ana.
 
Last edited by a moderator:
Posho-Za-Vikao-Mhe-Zitto-Kabwe-II.jpg



Zitto akilejea barua yake ya 2011 akiwa anaongea na mwandishi wa gazeti la majira amesema hatapokea posho yoyote kwenye hili bunge la katiba. Zitto amesema ametumwa na wanakigoma kuja kuandika katiba wala sio kipokea posho.
Zitto ameongezea kuwa kuwa huu ni wizi kwa wananchi yaani mwalimu analipwa kati ya 200000 mpaka 300000 kwa mwezi wakati wabunge wanapokea kwa siku

Mbona huzungumzii posho za millioni moja kwa siku alokuwa akipokea anazungumzia laki 3 kwa siku. ------- mkubwa
 
Raisi wa kigoma, ana ukwasi wa kutosha ndo maana anakataa posho
 
Attention seeker huyo maisha anayoish na kile anachozungumza haviendani hayo mashangingi na ma vogue anayotembelea hakuuona uchungu wa wana nchi wakatati anapewa pesa na hao wa magamba za kununua! Angukuwa na uchungu na wanchi kiasi hicho angenunua bajaj pesa akawapa walimtuma.....Prick...
 
Zitto ni kiongozi..Anajua kile anachokifanya..hakuna binadamu asiye na mapungufu but tujifunze kwa uzalendo wake zitto si Msaliti kwa kile anachokisimamia kwa manufaa ya nchi..inatakiwa ifike pahali tuwe tunapima kile tunchikisikia na tunachokiona na kutafuta ukweli umesimamia wpi.Tangu aliposema hapokei posho hapokei kweli.
 
Kwanini asipokee afu atupe mchanganuo wa hiyo hela kwenye madawati au madawa?

You are missing the point, anachojaribu kufanya ni kuonyesha kwa ulipanaji wa siting allowance unaweka uwiano usio sawa katika mapato ya watanzania. Sitting allowance zote zinatakiwa zifutwe ili pesa zake either zitumike kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wote au zifanye shuguli nyingine za kimaendeleo. Zitto ameonyesha mfano mzuri unaofaa kuigwa na watanzania wote wanaopenda uwiano sawa katika mapato ya wafanyakazi.
 
Watu wengine hawajui kama Mama yake Zito ni mjumbe wa bunge maalum la katiba

amkataze ata mama yake sipokee ili tujue familia yao ni wazalendo. IF YOU CAN'T BEAT THEM JOIN THEM. zitto kwa hili na ccm wenzio unavyowajua, unajisumbua tu. pokea hiyo pesa na endeleza mikakat ya ACT kwani wapambe wako hapa kasulu wamepamba moto na chama lako
 
Watu wengine hawajui kama Mama yake Zito ni mjumbe wa bunge maalum la katiba

amkataze ata mama yake asipokee ili tujue familia yao ni wazalendo. IF YOU CAN'T BEAT THEM JOIN THEM. zitto kwa hili na ccm wenzio unavyowajua, unajisumbua tu. pokea hiyo pesa na endeleza mikakat ya ACT kwani wapambe wako hapa kasulu wamepamba moto na chama lako
 
Mimi namuunga mkono Zitto, bila kujali kuwa dhamira yake ni nini. Katika nchi maskini kama hii yetu ambayo serikali inashindwa hata kutoa huduma za jamaii kama mtu akiamua kuokoa shilingi milioni 27 katika siku tisini ni lazima aungwe mkono. Kama wabunge kumi wakiungana na Zitto zitaokolewa milioni 270 ambazo zinajenga madarasa yapatayo 20 kule kijijini, au zinaweza kugharimia dawa za wazee kwa mkoa wa Kigoma kwa muda mrefu.
 
Zitto ni kweli ungepokea hizo Pesa na kwenda hata Kujengea Vijumba Viwili vya Walimu Jimboni Kwako , Kuliko kuziacha Serikalini wanafaudu wachache !
 
Haya tena lema yeye anasemaje kuhusu posho au anataka ziongezwe.

Wewe badala ya kuuliza kama wabunge wako wa CCM watachukua au wataacha unazungumzia Lema hivi haujioni kama ni Mp.um.bavu
 
Wewe humfahamu Zitto, ni uzalendo gani unaongelea? Wa kuacha posho ya laki 3 na kulamba laki 4 kupitia PAC? Au kwa kukodi ndege Dar Arusha kwa mil 100?

we unaongea tu kama umechanganyikiwa - bwanako lema aliambiwa hapa alete ushahidi wa zito kupokea pesa za PAC hadi leo hajawahi kufanya hivyo!!!
hilo la kukodi ndege ni hekaya tu za watu wasiotumia vichwa kufikiri, mipango ya transfers za wabunge wanapokuwa na safari ya kikazi hufanywa na ofisi ya katibu wabunge.
umesahau mbowe alipomuomba katibu wa bunge apindishe safari ya joyce mukya kusudi amle uroda kule Dubai??!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom