DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,628
Amwambie na mama yake Shida Salum asipokee tuone UMWAMBA WAKE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh bwana mzigo anakazi ameshakufa kisiasa..Bwana Mzigo mi naimbaaa..
Nitoke vipi eh...
Siku nyingi najiulizaaa
Niwapo mjengoni eeh!..Mpate kunielewa aah!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Kweli mzalendo na majina ya watu walioweka pesa uswiss..Kati ya wanasiasa wazalendo tanzania ambao bado wapo hai nadhani amebaki zitto pekee wengine wote ni waganga njaa na wapo kimaslahi zaidi. Natamani siku moja huyu mzalendo ashike nchi ili atuongoze kujenga taifa la kizalendo
![]()
Zitto akilejea barua yake ya 2011 akiwa anaongea na mwandishi wa gazeti la majira amesema hatapokea posho yoyote kwenye hili bunge la katiba. Zitto amesema ametumwa na wanakigoma kuja kuandika katiba wala sio kipokea posho.
Zitto ameongezea kuwa kuwa huu ni wizi kwa wananchi yaani mwalimu analipwa kati ya 200000 mpaka 300000 kwa mwezi wakati wabunge wanapokea kwa siku
Na imeshazama pia...Jamaa baada ya kuona single yake ya kusambaza DVD ime buma kaamua kuchomoka na hii ya kukataa Posho kwenye bunge la katiba.
Anakataa wakati mama yake Shida salim atapokea?
Heshima kwako mkuu, unapigilia misumari ya inchi6.Yoyote alieponda posho
ya laki 7 na sasa laki 3 asipomuunga mkono Zitto katika hili pamoja na
mapungufu yake atakuwa ni mnafiki mkubwa!
Anakataa wakati mama yake Shida salim atapokea?