Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,726
Mil.27 zitakuwa zimeokolewa na zinaweza kusaidia kununulia madawa, atakuwa amedhihirisha kuwa ni mzalendo wa kweli na diyo wahafidhina
Wewe! Hela zinarudi kwa mafisadi huko ndio unasema zinaenda kusaidia kununua madawa!? Uzalendo wa kweli si ingekua achukue hio hela afanye mwenyewe hayo.
