Hongera sana
Zitto, wewe ni mfano wa kuigwa kwa vitendo si kwa maneno.
Tu ajua watanzania wengi walilalamikiq sana kunusu hii posho na wewe umefanya kwa vitendo si maneno kuikataa.
Watanzania na Wapenda maendeleo wanatakiwa kuungana na kumpongeza na hikiwezekana wabunge wengine hasa wakile chama cha wanaojiita wazalendo waungane nao nae kuikataa posho kwa vitendo maana hata wao walisema ni kubwa hivyo ni vyema kuikataa kwa vitendo..
Watanzania na watu wote wanatakiwa kufahamu kuwa zitto hajamlazimisha mtu kukataa posho ame hamua mwenyewe na wala hamlazimishi mtu kutichukua posho hivyo ni vyema wasiopenda kuziacha posho wanyamaze na waendelee kuzichukua na wala tusimchukie mtu kisa hafanyi tunayo yafanya.
Nitawashangaa watakaoo anza kumkashifu huyu mzalendo wakati kila mmoja wetu amekuwa akipinga hizi poshona sasa tumepata yule wakuzipinga kwa vitendo na si maneno.
Nchii hii hinahitaji watu kama hawa wasio na maneno mengi bali vitendo.
salamu hizi zimfikie kamanda
Godbless J Lema na msaidizi wake
Mungi na hikiwezekana tuungane kumpongeza kijana mzalendo wa vitendo.
Tusibaki kuandika makala tuu bali tuoneshe uzalendo kwa vitendo kama huyu kijana.
Mungu azidi kukulinda mh
Zitto.
ana.