Zitto: T249 CMV limemteka Nondo, mmiliki ni Deo Beda

Hapo kwenye kusema gari inadaiwa parking amekosea. Kamwe hautakiwi kusema mbinu unazotumia kupata taarifa. Next time hutozipata taarifa tena kwa njia hiyo, wahusika wataziba huo mwanya.
 
Hapo kwenye kusema gari inadaiwa parking amekosea. Kamwe hautakiwi kusema mbinu unazotumia kupata taarifa. Next time hutozipata taarifa tena kwa njia hiyo, wahusika wataziba huo mwanya.
Ni sawa tu na wewe ukipigiwa na Simu ngeni unavyotumia Tigopesa/mpesa kujua Jina la Muhusika 😂😂
 


Mkuu hii itakuwa hatari sana, Mungu asaidie tusifike huku
 
Ila Rais wetu kama haoni haya yanayotendeka basi atakuwa ni sehemu ya tatizo. Ili uongoze unahitaji watu, sasa kama watu wanatekwa mchana kweupe lakini hakuna kukemea nini maana ya kuwa kiongozi?
 
Kuna uwezekano minja hahusiki, wahuni wamecopy namba yake. Nivema kua makini katika kumshutumu mwenye gari.
 
T 249 CMV hii namba ni ya mchongo!
Utakuta gari hilo lipo Kilimanjaro,Tena kijijini na halijawahi kufika Dar.
 
Hapo kwenye kusema gari inadaiwa parking amekosea. Kamwe hautakiwi kusema mbinu unazotumia kupata taarifa. Next time hutozipata taarifa tena kwa njia hiyo, wahusika wataziba huo mwanya.
ni njia inayojulikana, alafu wale jamaa ni mabingwa wakutumia namba za zamani chuma ya mwaka huu kutoka kiwandani ila number C ni kawaida. hivo mimi natilia shaka hata hiyo namba yenyewe
 
Lengo ni kutuhamisha katika mjadala wa rafu za uchagizi wa serikali za mitaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…