Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Hapo kwenye kusema gari inadaiwa parking amekosea. Kamwe hautakiwi kusema mbinu unazotumia kupata taarifa. Next time hutozipata taarifa tena kwa njia hiyo, wahusika wataziba huo mwanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali kabisa mkuu kama uavyoonaKwa hiyo unakubali legacy ya Magufuli haizuiliki?
CrapLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Hata yesu watu walishangilia kifo chakeLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Ni sawa tu na wewe ukipigiwa na Simu ngeni unavyotumia Tigopesa/mpesa kujua Jina la Muhusika 😂😂Hapo kwenye kusema gari inadaiwa parking amekosea. Kamwe hautakiwi kusema mbinu unazotumia kupata taarifa. Next time hutozipata taarifa tena kwa njia hiyo, wahusika wataziba huo mwanya.
Dr. Ulimboka akikusikia atakuzaba vibao vibaya sana.Yanayoendelea ni Magufuli legacy mkuu, ukubali ukatae
Daah wahuni wameweka namba yeyote ili wateke mtu aisee mbaya sana hii kinachotakiwa ni raia kuwa na siraha za moto kama SA tu bila hivyo mtaisha wote kizembe maana watu wanakuja kukuteka wakijua hauna siraha yeyote ila ukiwa vitani hata akija mtu na nguo za kazi zao watwange risasi tu itajulikana huko mbele kuliko kwenda kufa kijinga..
Pasco?!😯Kunywa pombe (maana tunapoziita Whisky mnapata majivuno) zako utulie au nenda Block 41 kule kazini kwako kwa zamani kajiliwaze.
Akili kubwa.Hapo kwenye kusema gari inadaiwa parking amekosea. Kamwe hautakiwi kusema mbinu unazotumia kupata taarifa. Next time hutozipata taarifa tena kwa njia hiyo, wahusika wataziba huo mwanya.
T 249 CMV hii namba ni ya mchongo!Kiongozi Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema gari namba T 249 CMV inayotajwa na Jeshi la Polisi kuwa imetumika na Watekaji kumteka Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana Taifa wa ACT, Abdul Nondo, inamilikiwa na Mtu anayeitwa Deogratius Beda Minja.
Zitto amesema “Tunataka Abdul Nondo aachiwe mara moja akiwa mzma wa afya, tafadhali sana, gari inadaiwa parking na tumejua kila mahala gari hiyo inapaki, mwacheni Nondo haraka iwezekanavyo Wapumbavu wakubwa nyie”
Jeshi la Polisi limesema leo December 01,2024 majira ya saa 11.00 alfajiri katika eneo la stendi ya Magufuli Mbezi Louis Dar es salaam kuna Mtu mmoja Mwanaume amekamatwa kwa nguvu na kuchukuliwa na Watu waliokuwa wakitumia gari lenye usajili wa namba T 249 CMV aina ya Landcruiser rangi nyeupe na kwamba ilielezwa na Mashuhuda kuwa katika purukushani za ukamataji begi dogo lilidondoshwa na baaadhi ya vitu vilivyokuwemo vimetambuliwa ni vya Abdul Omary Nondo.
Msemaji wa Polisi, David Misime amesema “Ufuatiliaji wa tukio hilo ulianza mara tu baada ya kupokelewa kwa taarifa hiyo Polisi, sambamba na kufungua jalada”
ni njia inayojulikana, alafu wale jamaa ni mabingwa wakutumia namba za zamani chuma ya mwaka huu kutoka kiwandani ila number C ni kawaida. hivo mimi natilia shaka hata hiyo namba yenyeweHapo kwenye kusema gari inadaiwa parking amekosea. Kamwe hautakiwi kusema mbinu unazotumia kupata taarifa. Next time hutozipata taarifa tena kwa njia hiyo, wahusika wataziba huo mwanya.
Jikite kwenye hojaLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Mwenzetu amezoe mambo ya huko kwao kibitiKwahiyo Polisi bado hawajamjua?
Sasa hivi ni hatari unataka hatari ipi tema Mkuu wakati watu sasa hivi wanakufa kila kukicha kwa kutekwa.Mkuu hii itakuwa hatari sana, Mungu asaidie tusifike huku