Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 529
- 1,150
Ila kwa maana ya polisi ambao wengine wanaajiriwa ni form four failure, maana yake judgement yao ipo chini kiasi kwamba nashindwa kukupinga kwa asilimia zote kwamba polisi wanahusika.Polisi wa Tanzania wafanye spinning kwa lipi wakati Hata wakikukamata wazi na kukuua hakuna wa kuwafanya kitu. Ali Kibao si aliuwawa na waliojiita polisi tena alitekwa hadharani why wafanye spinning? Wanamuogopa nani?
We kama unadhani ni rahisi, beba hata panga tu kamteke mtu pale Mbagala Zakheem uone kama utafika hata kizuiani!! Utashangaa umezingirwa na askari wa kutosha meaning hakuna jambazi anaweza teka watu hadharani hivyo kwa kujiamini hao ni polisi wenyewe.
Mmmh inafikirisha, hii inaweza kuwa sinema... mimi hiki chama cha ACT sikiamini kabisa mienendo yakeNimeshangaa hili , kakosa hata mpambe
TrueeeeGari ya Minja ni ist...Hayo magari yao ya utekaji wanaweka namba bandia za magari ya watu nao ni ujinga mwingine wanao kuja nao. Zitto nae kaingia mkenge
Kila kitu kina mwisho wake,kuna siku vituo vya polisi vitachomwa moto na polisi watashambuliwa kama wahalifu,periodIla hatuna cha kuwafanya.
Magu ni nani wewe pumbavu? Baadhi ya wayahudi walishangilia Yesu kufa ni huyo Magu wako? Jinga Wewe!Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Mwambie ukweli huyu pimbi!Magufuli alikuwa mpumbavu. Kushangilia kifo chake ilikuwa ni lazima. Mburumundu wewe.
Na hata yanayoendelea sasa muasisi wake ni huyu huyu Magufuli a.k.a jiwe mshamba wa Chato.
Aisee!!! Wewe ni mwamba! Mshamba yule wa hovyo sana!Achana na ule mzogq
Muasisi wa vitendo vya utekaji,sasa mtu kama huyo akifa watu watakosa kusherehekea!Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Muasisi wa wasiojulikanaLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Na hawatakaa wamjueKwahiyo Polisi bado hawajamjua?