Zitto: T249 CMV limemteka Nondo, mmiliki ni Deo Beda

Zitto: T249 CMV limemteka Nondo, mmiliki ni Deo Beda

Polisi wa Tanzania wafanye spinning kwa lipi wakati Hata wakikukamata wazi na kukuua hakuna wa kuwafanya kitu. Ali Kibao si aliuwawa na waliojiita polisi tena alitekwa hadharani why wafanye spinning? Wanamuogopa nani?

We kama unadhani ni rahisi, beba hata panga tu kamteke mtu pale Mbagala Zakheem uone kama utafika hata kizuiani!! Utashangaa umezingirwa na askari wa kutosha meaning hakuna jambazi anaweza teka watu hadharani hivyo kwa kujiamini hao ni polisi wenyewe.
Ila kwa maana ya polisi ambao wengine wanaajiriwa ni form four failure, maana yake judgement yao ipo chini kiasi kwamba nashindwa kukupinga kwa asilimia zote kwamba polisi wanahusika.
 
Hawa wazalendo wa ZZK hawa waendelee na harakati zao za kusifia Joka la kijani na watoto wake
 
Magufuli alikuwa mpumbavu. Kushangilia kifo chake ilikuwa ni lazima. Mburumundu wewe.

Na hata yanayoendelea sasa muasisi wake ni huyu huyu Magufuli a.k.a jiwe mshamba wa Chato.
Mwambie ukweli huyu pimbi!
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Mkaza mwana wa Saa100, Yuko kwenye orodha ya magaidi na mtekaji WA raia wasio na hatia.
 
Back
Top Bottom