Magufuli alikuwa mpumbavu. Kushangilia kifo chake ilikuwa ni lazima. Mburumundu wewe.Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Na hata yanayoendelea sasa muasisi wake ni huyu huyu Magufuli a.k.a jiwe mshamba wa Chato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli alikuwa mpumbavu. Kushangilia kifo chake ilikuwa ni lazima. Mburumundu wewe.Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Kenya ni SubaruGari ya Minja ni ist...Hayo magari yao ya utekaji wanaweka namba bandia za magari ya watu nao ni ujinga mwingine wanao kuja nao. Zitto nae kaingia mkenge
Mshamba lakini anawakomesha kutokea kaburiniMagufuli alikuwa mpumbavu. Kushangilia kifo chake ilikuwa ni lazima. Mburumundu wewe.
Na hata yanayoendelea sasa muasisi wake ni huyu huyu Magufuli a.k.a jiwe mshamba wa Chato.
huyu Minja ni nani?Gari ya Minja ni ist...Hayo magari yao ya utekaji wanaweka namba bandia za magari ya watu nao ni ujinga mwingine wanao kuja nao. Zitto nae kaingia mkenge
Kwa hiyo unakubali legacy ya Magufuli haizuiliki?Yanayoendelea ni Magufuli legacy mkuu, ukubali ukatae
100%Yanayoendelea ni Magufuli legacy mkuu, ukubali ukatae
Watamjuaje sasa wakati watekaji ni wasiojulikana?Kwahiyo Polisi bado hawajamjua?
Namba pengine zimetajwa na watu waliokuwa karibu. Hata hivyo ninavyojua mimi ''wasiojulikana'' wakati wanaenda kuteka huweza kuweka namba yoyote wanayotaka. Siyo ajabu ukasikia namba ya gari unayomiliki wewe imetajwa.Mmmh ana uhakika gani kwamba hilo ndo gari lililomteka?
Saa nyingine polisi hufanya hivo ku spin uchunguzi.. waweza kuta hata gari ya watekaji ni T942EFD just kuwapa wrong signal wahusika na kurahisisha upelelezi ndo maana wameamua kutaja hilo gari kwenye taarifa yao
Ona hili KunduSerkali haiwezi teka looser huyo kajiteka
Achana na ule mzogqLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Watasema uchunguzi unaendelea☺️☺️Kwa nchi hii hatà mtekaji akaacha sehemu ya tukio leseni, kitambulisho, , nguo , viatu nk hakuna la kumfanya
Kabisa ,hapo lazima mtu afe au awe mlemavu !!Minja 🐼
Kwa ninavyomjua Zitto huyo Nondo atatafutwa usiku na mchana hadi mbivu na Mbichi zijulikane tofauti na utafutaji wa Chadema