Zitto: Tozo za miamala ziondolewe kwa sababu kuna hela ya IMF

Zitto: Tozo za miamala ziondolewe kwa sababu kuna hela ya IMF

Kwani hizo za IMF ni za bure? Mi nashauri kama kuna uwezekano wazirudishe tu ili mbeleni zisije ongeza mzigo kwa nwananchi. Kama ni madarasa bora watoto wasome hata chini ya mti....jambo kubwa watoto waelezwe ukweli kuwa nchi ni masikini hivyo wanatakiwa kucope na mazingira ya umaskini.
 
Nimekwambia Tanzania una shida ya mikono mingi kwenye sahani moja,yaani mhemeaji mmoja anabeba kundi kubwa,anaelipa Kodi hapa no mhemeaji,watoto waliomaliza vyuo na hawana ajira wakika kwa wazazi na ndugu ni wengi,Hawa hawalipi kodi
Hawali ? Hawanunui ?, Huyo muhemeaji angekuwa peke yake manunuzi ambayo angefanya yangekuwa sawa na wakiwa kumi ?

Kwahio na hizi tozo za kwenye miamala ni huyu muhemeaji mmoja anatoa miamala alafu anaigawa kwenye mikono mingine ? Ndio maana nikakupa mfano wa mkazi wa sehemu yaliyopo machimbo yanayoharibu afya ya huyu mkazi..., Tozo za mchimbaji zingekuwa equivalent na shida anayopata huyu mkazi (sababu hata maumivu ya kuchafuliwa hewa anayopata huyu mtu ni kero tosha)

Shida ya Tanzania sio lack of buying power ya watu pekee (ingawa nalo ni tatizo) na kama hilo ni tatizo solution sio kuwakamua zaidi watu wasio na buying power..., Tatizo kuu ni kutokutumia vema Keki ya taifa kwa kutafuta vyanzo vya mapato rafiki na vyanzo hivyo vinapopatikana kuliwa na wachache... Na tunavyochimba madini na kumaliza kila kitu kwenye generation yetu in short tunachofanya ni kufuja mpaka urithi wa taifa la keshokutwa

Back to the Point Technically Hakuna Mtanzania Asiyelipa Kodi
 
Miaka 60 ya uhuru unamlaumu huyo Zitto kwamba ndio amekuwa akiitawala hii nchi na kushindwa kushughulikia hayo, au tukueleweje sijui.

Assume kwamba COVID-19 isingekuwepo hayo mambo wangeya shughuliaje?
Sio kuitazama ni mpumbavu,sasa kama anajua changamoto lukuki bado unapopinga mbinu ya serikali ku mobilise pesa kwa ajili ya kutatua hizo changamoto tumuelewaje?
 
Hawali ? Hawanunui ?, Huyo muhemeaji angekuwa peke yake manunuzi ambayo angefanya yangekuwa sawa na wakiwa kumi ?

Kwahio na hizi tozo za kwenye miamala ni huyu muhemeaji mmoja anatoa miamala alafu anaigawa kwenye mikono mingine ? Ndio maana nikakupa mfano wa mkazi wa sehemu yaliyopo machimbo yanayoharibu afya ya huyu mkazi..., Tozo za mchimbaji zingekuwa equivalent na shida anayopata huyu mkazi (sababu hata maumivu ya kuchafuliwa hewa anayopata huyu mtu ni kero tosha)

Shida ya Tanzania sio lack of buying power ya watu pekee (ingawa nalo ni tatizo) na kama hilo ni tatizo solution sio kuwakamua zaidi watu wasio na buying power..., Tatizo kuu ni kutokutumia vema Keki ya taifa kwa kutafuta vyanzo vya mapato rafiki na vyanzo hivyo vinapopatikana kuliwa na wachache... Na tunavyochimba madini na kumaliza kila kitu kwenye generation yetu in short tunachofanya ni kufuja mpaka urithi wa taifa la keshokutwa

Back to the Point Technically Hakuna Mtanzania Asiyelipa Kodi
Hao wote wangekua wanalipa Kodi ingefanana na Kodi ya huyo mmoja
 
Hao wote wangekua wanalipa Kodi ingefanana na Kodi ya huyo mmoja
Hapana kwenye Income Tax; ila Consumption Tax ni sawa sababu consumption yake akiwa na watu kumi ni kubwa kuliko angekuwa peke yake bila wategemezi..

Hence Technically they are paying consumption tax by association....
 
Nini Kazi ya Tozo ?

Kwahio ukijinyima ili umalizie nyumba yako.., lakini ukapata pesa sehemu ya kumalizia nyumba utaendelea kujinyima ?, Je ukifa kwa Kwashiakooo ni nani atafaidika na nyumba yako ?
huu mfano ni wa kijinga
 
Hapana, ngoja waendelee kukusanya hizi tozo za miamala. Nchi hii ina changamoto nyingi sana miundombinu ya Barabara, Afya, Maji safi ambazo hizi fedha wametuahidi zinaenda kuzitatua.. Ila wanasiasa wa nchi hii hawakawii kutu'disapoint tusubirie report ya CAG-2023. I hope kutakuwa na improvement
 
Hapana kwenye Income Tax; ila Consumption Tax ni sawa sababu consumption yake akiwa na watu kumi ni kubwa kuliko angekuwa peke yake bila wategemezi..

Hence Technically they are paying consumption tax by association....
So Kuna upungufu kwenye kodi kwa kuwa Kuna Kodi hawalipi
 
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tozo za miamala ziliwekwa na serikali katika bajeti ya serikali ya mwaka 2021/2022 ili kuwezesha ujenzi wa madarasa nchini.

Hivi karibu Serikali imepata fedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF) ambazo zimetangazwa kutumika kujenga vituo na madarasa nchi nzima. Zito ameshauri serikali kuzipunguza au kuziondoa tozo.

Zitto amezungumza hayo akiwa katika mahojiano Times FM
Tumkumbushe Zitto., afikirie madhara yaliyopatikana baada ya kuzuia 1.2 trillion kwa kuiandikia barua IFM.
Ajiulize baada ya kukosekana zile fedha wananchi walikamuliwa kiasi gani au miradi mingap ilikwama au ilichelewa..!!
 
So Kuna upungufu kwenye kodi kwa kuwa Kuna Kodi hawalipi
Kutokulipa baadhi ya kodi haimaanishi hawalipi kabisa..., Ofcourse kuna tatizo la kipato, na hilo ndio tatizo kubwa sana, na utatuzi wake sio kukamua zaidi.., bali ni kuhakikisha watu wana-buying power...

Hence the moral of the argument yako mimi na wewe ni kutokuwatupia lawama wananchi kwamba hawalipi kodi bali ni watunga Sera kuwa wazembe kwa mambo yafuatayo; kwanza ni kutafuta vyanzo visivyoumiza watu wenye kipato cha kubahatisha..., na cha maana zaidi ni kuhakikisha watu wana kipato cha kutosha hata uchangiaji huduma hauwaumizi sana.., na mwisho kile wanachokichangia kinaonekana....

Ni sawa sawa ng'ombe wako humpi chakula alafu unalalamika utoaji wake wa maziwa....
 
Kama hana uwezo anaropoka nini sasa..

Afu kuna watu mna akili finyu na ya kimaskini.Muwe mnafuatilia taarifa,Maji ni tatizo nchi nzima,huduma za afya ni shida ,vyumba vya madarasa ni vichomi,barabara ndio kabisaa sasa vihela vya tozo SI tuu hazitoshi ila ni kama tone tuu .Hizo tozo mnazopigia kelele humu hazifiki Hata Til.1 kwa mwaka ..

Sasa hiyo hela Sio kitu ila kwa kuwa mna ujinga Mwingi na hamuelewi ndio ma'am mnaandika upupu.
We jamaa ni wasted sperm asee. Poyoyo kabisa usie hata na tone ya akili. Na kama umesoma basi ni aheri baba ako angepeleka ng'ombe shuleni kulikoni kupoteza vyote pesa na mbeg zake.
 
We jamaa ni wasted sperm asee. Poyoyo kabisa usie hata na tone ya akili. Na kama umesoma basi ni aheri baba ako angepeleka ng'ombe shuleni kulikoni kupoteza vyote pesa na mbeg zake.
Useless and hopeless donkey
 
Kuna hiyo tozo mpya ya bank ya serikali unaambiwa ni balaa.
 
Kama hana uwezo anaropoka nini sasa..

Afu kuna watu mna akili finyu na ya kimaskini.Muwe mnafuatilia taarifa,Maji ni tatizo nchi nzima,huduma za afya ni shida ,vyumba vya madarasa ni vichomi,barabara ndio kabisaa sasa vihela vya tozo SI tuu hazitoshi ila ni kama tone tuu .Hizo tozo mnazopigia kelele humu hazifiki Hata Til.1 kwa mwaka ..

Sasa hiyo hela Sio kitu ila kwa kuwa mna ujinga Mwingi na hamuelewi ndio ma'am mnaandika upupu.
Wewe una akili nyingi sana, mbona hujajibu maswali yangu?
 
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tozo za miamala ziliwekwa na serikali katika bajeti ya serikali ya mwaka 2021/2022 ili kuwezesha ujenzi wa madarasa nchini.

Hivi karibu Serikali imepata fedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF) ambazo zimetangazwa kutumika kujenga vituo na madarasa nchi nzima. Zito ameshauri serikali kuzipunguza au kuziondoa tozo.

Zitto amezungumza hayo akiwa katika mahojiano Times FM
Zito lipa kodi.
Walipokuwa wanaibiwa wafanyabiashara mbona hamkupiga kelele!
 
Watanzania wamezikubali tozo na wako tayari kuzilipia hata zikiongezwa maradufu....Zitto wewe hamia tu Burundi
 
Huyo jamaa hamna kitu yaani kwa miaka 60 tunaangaika kujenga zahanati na shule mpaka lini ni bora wananchi tujiunge kwa umoja wote tumalize hizo changamotp pia bado kuna mikoa na wilaya suala la usafiri bado watanzania wanasafiri kwa shida, wanatumia muda mrefu,magari mabovu watu wanachafuka kama wapo vitani kisa barabara za vumbi,tutaendelea na tozo za uzalendo tunataka mikoa na wilaya zote nchini kuwa na barabara za lami.
 
Miaka 60 ya uhuru unamlaumu huyo Zitto kwamba ndio amekuwa akiitawala hii nchi na kushindwa kushughulikia hayo, au tukueleweje sijui.

Assume kwamba COVID-19 isingekuwepo hayo mambo wangeya shughuliaje?
Assuming UVIKO - 19 asingekuwepo, wangeya shughulikia kama walivyo fanya - kwa kukopa mapesa kutoka aidha IMF au WB au kokote - kwani hii nchi yetu kwa sasa INAKOPESHEKA na INAKUBALIKA kwa mabenki ya dunia na hata manchi mengi duniani. Hayo ya Mwepsi namwachia yeye na wenzake!
 
Back
Top Bottom