Pre GE2025 Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Pre GE2025 Zitto: Tumepata Taarifa Nondo yuko Kituo cha polisi Gogoni, Tumefika tumekuta gari inabadilishwa Plate namba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hy
Na m

Ni mambo matano juu yako .
1.Malezi yako ni tatizo
2.Umekaa kijijini tena vile vijiji ambavyo maendeleo kwa siyo Habari
3.Elimu yako bado haijakusaidia!(NENO UKOMBOZI NA UHURU KWAKO NI MSAMIATI MGUMU)
4.Huna uwezo kwenye maisha yako KU-TAKE RISK KWA CHOCHOTE

5.Asili yako umekulia kwenye CCM sana hivyo wewe ni Mtanzania muoga Hyo
Hayo ni matatizo ya ko usituhusishe na wengine,, huwezi ukatake risk kwakitu ambacho hakiwezekani,,nyi ni genge la kutoa kafara watu,,minaona watu waachane na siasa maana hakuna mabadiriko yoyote zaidi ya watu kutolewa kafara huku viongozi wa vyama vyao wakipeta,vyama vipo kamaa kiini macho kuonesha dunia kunademocrasia kumbe hamna kitu,,,kama chama mmefanya jitihada gani kwawaliouawawa na watekaji,,siasa bongo ni upuuzi mtupu
 
Hy

Hayo ni matatiz ya ko usituhusishe na gine,, huwezi ukatake risk kwakitu ambacho haakiwezekani,,nyi ni genge la kutoa kafara watu,,minaona watu waachane na siasa maana hakuna mabadiriko yoyote zaidi ya watu kutolewa kafara huku viongozi wa vyama vyao wakipeta,vyama vipo kamaa kiini macho kuonesha dunia kunademocrasia kumbe hamna kitu,,,kama chama mmefanya jla itihada gani kwawaliouawawa na watekaji,,siasa bongo ni upuuzi mtupu
Rudi shule uelimike !!
Hata kuandika kiswahili hujui!?Mabadiriko* ndo nini?

Kuna aliyelazimishwa kuingia kwenye siasa ?

Siasa na ukombozi ni mapenzi ya mtu.


Unatatizo la kielemu ,kimalezi na kijamii
 
Rudi shule uelimike !!
Hata kuandika kiswahili hujui!?Mabadiriko* ndo nini?

Kuna aliyelazimishwa kuingia kwenye siasa ?

Siasa na ukombozi ni mapenzi ya mtu.


Unatatizo la kielemu ,kimalezi na kijamii
We uliyesoma umebuni technology gani zaidi ya kumiliki makende,ukitoa hako kadigrii kakukalilishwa kichwani unabaki na Nini!?
 
Hapana mtoto wangu. Inajulikana kabisa hata Dkt Slaa aliwahi kusena kabisa kuwa mbowe ana kikundi cha ugaidi na mauaji na pia zito aliwahi sema hayo maneno kipindi alitoka chama mfu chadema, kwa hiyo ukiangalia kabisa mbowe hapendi mtu anayenyemelea nafasi yake ya uenyekiti kama alivyomuua ben na baadaye kufanya shambulio la kumuua lisu
Mzee naomba urudi kijiji ukalee wajukuu. Umemeza matango pori mengi sana 😂
 
"UTEKAJI hataki kusema ukweli kuwa analipwa mshahara mkubwa Serikalini na Malupulupu manono kila saa na siku nzima" - Muda wote ni Kazi ya ufundi tu

Au tuanze kwenye hizo kazi za ufundi atahitaji watu wa aina/tabia gani kufanya nae kazi sana sana!?

👑 Upole au Ukali

👑 Ukarimu au Ukatili

👑 Muoga au Jasiri

👑Wanaocheka au Wanaonuna

👑 Wenye Ndugu au Wasio na Ndugu

👑Wenye Fedha au Masikini

👑WafanyaBiashara au Wafanyakazi

👑 Uvivu au Uchapakazi

👑 Kufuata utaratibu uliopo au Kufuata utaratibu utakaokuja

👑Wafugaji au Wakulima

👑Wanaopenda Dini au Wapagani

👑Wanaopenda Starehe au Wasiopenda Starehe

👑Wabunifu au Wasio wabunifu

👑Wasomi au wasiosoma

Hivyo yaani

Yesu ulipigwa sijui walilidhika na ukweli uliowapa
images (3).jpeg
 
Ushauri wako ni WA kijinga sana na cowards kama wewe hawana mchango wowote kwenye taifa hili.
huo ndo ukweli halisi siasa ni mchezo wa kipumbafu tangia mmefanya siasa mmeleta mabadiriko gani kwenye sana sana nachoona ni watu kuhalibiwa maisha yao na mda wao bora msuse tu kwamba upinzani hakuna.unafurahia watu wanavyokufaa eeh,amakweli chakula kisicho na vitamini ni mzigo kwa tumbo
 
huo ndo ukweli halisi siasa ni mchezo wa kipumbafu tangia mmefanya siasa mmeleta mabadiriko gani kwenye sana sana nachoona ni watu kuhalibiwa maisha yao na mda wao bora msuse tu kwamba upinzani hakuna.unafurahia watu wanavyokufaa eeh,amakweli chakula kisicho na vitamini ni mzigo kwa tumbo
Wewe ni zao la Facebook, Memkwa na BRN, kajifunze kwanza kuandika Ndipo uweze kujifunza Nini hasa kinajadiliwa.
Hakuna ukweli wowote uliondika isipokua hisia zako tu! Naomba nijiepushe kujadili mtu na nijadili hoja.
 
Kama Kuna wanasiasa wa chama pinzani nchi hii ambao hawastahili huruma ya aina yoyote basi ni hao ACT.

Hao ACT huwa ni machawa wakubwa wa serikali ya Samia, na kwanza Kiongozi wao Zitto muda mwingi huwa anautumia kuishambulia awamu ya Tano(serikali iliyokufa) kuliko hata kuongelea mambo mengi ya ovyo yanayotokea awamu hii ya sita.

Hakika hawa wapumbavuu lolote baya likiwakuta ni sahihi maana ni wapinzani ambao hawajjielewi na hawana faida yoyote kwenye siasa za nchi hii.
 
Wewe ni zao la Facebook, Memkwa na BRN, kajifunze kwanza kuandika Ndipo uweze kujifunza Nini hasa kinajadiliwa.
Hakuna ukweli wowote uliondika isipokua hisia zako tu! Naomba nijiepushe kujadili mtu na nijadili hoja.
tanzania hakuna upinzani hata upinzani ukishinda figusu kibao we inaonesha ni uzao wasodoma na gomorah maana hujielewi. kaeni mbali na siasa au mnapenda ruzuku zinazo tolewa?
 
tanzania hakuna upinzani hata upinzani ukishinda figusu kibao we inaonesha ni uzao wasodoma na gomorah maana hujielewi. kaeni mbali na siasa au mnapenda ruzuku zinazo tolewa?
Ndugu kama unashindwa kujenga hoja Ili kushawishi jambo lako likibaliwe au kuungwa mkono jiepushe kushambulia nafsi!

Ukweli ni kwamba hoja au jambo hili limekuzidi umri, uwezo wa akili na mambo kama hayo. Mambo ya Sodoma na Gomora yanaigiaje katika mjadala huu?

Unapozungumzia ruzuku, je unajua ruzuku ni Nini? Namna inavyofika katika chama na maelekezo na namna ya kutumia pamoja na nguvu ya serikali kupitia Cag, inavyofuatilia fedha hizo?

Unajua umuhimu wa kujihusisha na siasa katika maisha! Unajua kwamba hata hiyo simu unayoshika na kuchati hapa JF kama sio maamuzi magumu ya Mello Maxience usingekuta unachati hapa.

Amka acha kuwaza kwa kuangalia pua inapoishia
 
Back
Top Bottom