Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Heri ya Noeli wanaJF,

Nimelazimika niandike makala hii ili kumuonya mdogo wangu Zitto kuacha siasa za uzushi ili kuepuka "viboko" vya karma.

Nimkumbushe jinsi karma inavyowacharaza CHADEMA kwa kutoa mifano miwili; awali, sasa hivi wanamkumbuka JK huku wakibubujikwa na machozi huku wakitubu kwa uzushi waliomfata kwamba ni dhaifu,hajafanya lolote.

Pili,walimtukana na kumtuhumu Lowassa lakini baadaye wakamsafisha,haya mambo mawili yamewafanya wasiaminike kiasi cha umma wa Watanzania kuwadharau na kutotilia maanani kauli na malalamiko yao.

Hakika karma inawacharaza kisawasawa,Zitto naye kazamia kwenye uzushi ili kupata umaarufu usiodumu.Siku za hivi karibuni ulizusha kuhusu afya ya Rais na Jana ukaeneza uzushi kuhusu kutekwa Prof.Assad.Yote haya yanathibitika no uzushi ndani ya masaa 24.

Wananchi wamekupuuza na kukudharau,Ila kwa siku zijazo ukiendelea karma haitakuacha itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA.

Zingatia mdogo wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana naye hana lolote! Siasa za kuzusha ili update umaharufu ni siasa za maji taka tena ni uhalifu kama uhalifu mwingine.
 
Kumbe kweli Zitto kawa mzito kwenu, japo jana kawaita but mmeshindwa kabisa kumshughulikia, sasa mnaiachia karma!. Kumbe lumumba mnaogopa uchawi zaidi ya mnavyomuogopa Mungu!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hbr za assad kutekwa hazijaenezwa na zito. Hebu muachen kijana wa watu
So far isingekuwa watu kupaza sauti zao prof angekuwa kusikojulikana sasa hivi. Reaction ya watu kuhusu prof imerindima kuliko kawaida ndani ya masaa lama 2 hivi. Na akaachiwa.

Hata hivyo naipenda sana hekma ya prof. Kasema hakuna tatizo. Hivyo umagundua kuwa hatak kelele na watu anaenda kujilimia bamia lake kipolepole tuu
 
Hbr za assad kutekwa hazijaenezwa na zito. Hebu muachen kijana wa watu
So far isingekuwa watu kupaza sauti zao prof angekuwa kusikojulikana sasa hivi. Reaction ya watu kuhusu prof imerindima kuliko kawaida ndani ya masaa lama 2 hivi. Na akaachiwa.

Hata hivyo naipenda sana hekma ya prof. Kasema hakuna tatizo. Hivyo umagundua kuwa hatak kelele na watu anaenda kujilimia bamia lake kipolepole tuu
Huna taarifa yoyote zaidi ya kujitariji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka dunia hii iumbwe, ni awamu ta Tano iliyoshuhudia serikali kuwa na Waziri au Naibu Waziri ambaye hajitambui.
Sijui ni kukosa watu au mteuzi kutoelewa anafanya nini au afanye nini.
Hebu punguza pumba zako hapa JF na kama siasa imekushinda hudumia mtoto na huyo aliyekuzalisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hbr za assad kutekwa hazijaenezwa na zito. Hebu muachen kijana wa watu
So far isingekuwa watu kupaza sauti zao prof angekuwa kusikojulikana sasa hivi. Reaction ya watu kuhusu prof imerindima kuliko kawaida ndani ya masaa lama 2 hivi. Na akaachiwa.

Hata hivyo naipenda sana hekma ya prof. Kasema hakuna tatizo. Hivyo umagundua kuwa hatak kelele na watu anaenda kujilimia bamia lake kipolepole tuu
Zitto ndio Alishadadia huko Twitter wakiwa na kigogo kueneza kwamba Asad katekwa,
Asad alikanusha kama aliyekuwa.
Kwanini mnalazimisha ionekane alitekwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pambaf zenu ma CCM , yaani this time pangechimba mchana kweupe, mlitaka mumrudishe mzee wa watu akiwa kwenye gunia, mnge endelea tuu kumshikiria muone mziki wake
 
Back
Top Bottom