Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

redio,

Akili za Zito ni zile zile, sema hiyo miaka saba iliyopita unayosema alikuwa punda wa kina JK, Mwigulu, Nape na January kwa faida ya ccm. Sasa hivi hilo genge lililoteka ufahamu wake hawako katika kiti cha enzi ndio maana unaona hana akili.
 
Chadema walimvua uanachama kwasababu kulikuwa na connection za siri chadema kuvuja , kwenye harakati za chadema hakuwahi kuwa mstari wa mbele , viongozi wa chadema wa ngazi za juu walipitia dhoruba nyingi ila yeye hajawahi kuguswa.

Huyu jamaa ana mission maalum ndo maana hata sasa hakamatwi ingawa anawaaminisha watu kuwa yupo sahihi ila ni mtu wa mission zake na watu wa upande wa pili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto ni CCM alianzia chipukizi!
 
Ameishakana hajatekwa mkuu, mimi ni nani hasa nisimsikilize Assad nianze kufuatilia tweets za ZZK?.
Hakuna taarifa rasmi..jua hadi leo Mo imebakia unknown kuwa waliomteka nibakina nani..na huwa haliongelei
Screenshot_20191226-115624.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asad alikuwa anaelekea kupotezwa,kilichofanyika ilikuwa kama kum time mwewe kabla hajabeba Kifaranga.

Kipanya nae alitekwa kelele zikawa nyingi watekaji wakaambiwa na aliewatuma wamuachie,Kipanya Akarudi.

Kelele kwa sasa ndiyo suruhisho la washamba wanaoteka watu utadhani tupo CONGO.

Ili Zitto asizushe kama ulivyotumwa kuwatetea watekaji,waambie wanaokutuma wawaache Watanzania waishi kwa furaha,hofu na vitisho kamwe haviwezi kumnyamanzisha Zitto,Zitto ni sauti ya wasio na sauti.

Zitto anawafuasi mamilioni kwenye Mitandao,Familia ya Assad hawana Sauti mitandaoni,Vyombo vya habari vinaogopa hivyo wenye sauti kwa niaba ya wanyonge ni wale wenye Followers wengi mitandaoni,wakisema mamilioni wanapata ujumbe.

Zitto Keep it up,Utalipwa na Mungu wetu.
 
Wakudadavuwa,
Wananchi wapi? Kama ni wananchi wa Tanzania hawapuuzi kitu chochote kile kinachohusu uonevu kwa yeyote hata kama huo uonevu utafanyika kwa siri kisha wakamuachia haraka kama walivyofanya jana kwa profesa Assad.
 
Hapo mwanzo nilikuwa namuona zitto Ni kijana smart kwenye ulingo wa siasa Ila nowdays Zitto naliona Kama Kubwa jinga kwenye uwanja wa siasa lisilofahamu linafanya Nini na kwa wakati gani.

Ndo maana limekuwa jitu la kupost ujinga na kuja kuukanusha lenyewe ndani ya 24hrs.

ZITTO WEWE NI JITU JINGA SANA SIKU HIZI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameishakana hajatekwa mkuu, mimi ni nani hasa nisimsikilize Assad nianze kufuatilia tweets za ZZK?.
Inahitaji akili kuelewa meseji ya Assad. Ila kwa vile umejipa likizo baki huko huko likizoni.
Hakuna taifa linalo weza kuwa na werevu wote, kama nyie lazima muwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakudadavuwa,
CCM ndiyo waliomwagia kashfa na matusi ya kila aina mhe. Lowassa wakati wa kampeni za uchaguzi, hata hivyo wewe haukuyasikia hayo yote kwa sababu yalitoka kwa Master wako.
 
Na iwapo atakamatwa, unaweza ukaniorodheshea faida utakayoipata wewe na familia yako? Mnadhani ni rahisi kuwafanya watanzania wote kuwa mabubu? Mkimkamata Zitto, ataibuka Zitto mwingine! Na hii ndiyo hulka ya binadamu.

Jambo la msingi ni kuwashauri viongozi wetu kukomesha haya mambo ya hovyo yanayo endelea kuota mizizi nchini mwetu.
 
Huyo bwana ana mambo yake yale ya kienyeji hivyo Mzee hamuamini kabisa, ndio maana huwaambia tu vijana wake waachane nae...wote kanda ya ziwa wanaogopana.
 
Back
Top Bottom