Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

Nimesoma alichoandika jana usiku Zitto Kabwe kwa lugha mbili; Kiswahili kuwafikishia ujumbe nyumbu wenzake na Kiingereza kuwafikishia ujumbe mabwana zake nje ya nchi anaoamini watamsaidia kuingia Ikulu kutimiza dhamira hake ya kuliangamiza Taifa la Tanzania. Kashindwa kabla hajaanza.

Kama kawaida WAMBEA na wanamkakati wenzake wote wakadakia uzushi wa kutekwa kwa Prof Assad. Kigogo akapost kama alivyopost Zitto utadhani wako nyumba moja na wanatumia laptop moja.Maria Sarungi akapost na wapambe wao kama akina Aidan Eyakuze wakalike.

Post hizo zikatumwa kwa Mabalozi. Punde Prof Assad mwenyewe amekanusha na baadhi ya hawa wazandiki macho yamewatoka na baadhi wamefuta post.

Sikilizeni, hawa hawajakosea. Ni mkakati waliofundishwa na waliopewa kwa ulaghai wa Kisultan Mangungo kuwa watasaidiwa kuingia Ikulu siku zijazo!! Pumbavu hawa. Tanzania ilipofika itachagua wazalendo na sio wauza lindi kama Zitto Kabwe.

Zitto Kabwe ni bahati mbaya sana ametoka kuwa kijana aliyetamani kuingia Ikulu kwa hoja sasa amekuwa wakala wa mabeberu anayetaka kuingia Ikulu kwa vioja vya kuwa wakala wa kulinda maslahi ya watu wa nje. Ashakwama. Watanzania wameona raha ya kuwa na viongozi wazalendo; sasa nchi inakwenda.

Endeleeni kuwaangalia, watazusha mengi mwisho huu wa mwaka na watatunga uongo mwingi, wakiamini wataiteteresha jamii, maskini we, Wako wao na nyumbu wenzao, watanzania wenye akili wako katika maisha yao, wanaendelea kufurahia amani na utulivu na wanakuka sikukuu zao kwa amani.

Zitto ameingia rasmi katika kundi la vijana wanaoangamia kwa kukosa maarifa. Maskini.

Sasa nilimsikia juzi eti anadai akamatwe yeye, nadhani anachokitaka atakipata, maana Tanzania lazima ibaki.

Pole yake sana. Aendako.Atafika tu. Soon. Si kataka mwenyewe!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tuachane na hayo, hebu tuweke sawa sisi manyumbu tusiokua na akili, hivi ilikuaje mkamteka "TITO MAGOTI" kwa siku 5 halafu baada ya raia na asasi zisizo za kiserikali (unaotuita nyumbu) kupiga kelele ili ajulikane alipo.

Director wa "MOVIE" zenu hajui kazi yake, afukuzwe na mtafute director mwingine kwa kuasisi sinema zenu (Mchukueni Director KENNY au HANSCANA).

Mambosasa akatoa press kwamba anashikiliwa na polisi kwa kutenda jinai (jinai isiokua na jina wala kifungu cha sheria) na kugoma kusema kituo alichoshikiliwa. Ndugu wa familia walitembea vituo vyote vya polisi dar es salaam na hawakumkuta Tito wala taarifa zake hakuna.

Kamanda wa mkoa kipolisi kinondoni (Mh Taibu) siku iliofuata akasema hana taarifa za kukamatwa "TITO MAGOTI" na wala hajashikiliwa katika kituo cha polisi katika himaya yake, na ameongea na makamanda wenzake hawana taarifa zozote za kukamatwa kwa Tito.

TITO mwenyewe akasema alitekwa na kuvishwa kitambaa usoni na watu wasiojulikana na kupelekwa kusikojulikana, na kwa muda wote alioshikiliwa kizuizini alikua akihojiwa kuhusu "Mahusiani yake na Zitto Kabwe, Maria Sarungi, Bi Hellen Kijo (Boss Wake) n.w". Cha ajabu akapelekwa mahakamani na kupewa kesi ya uhujumu uchumi (isiokua na dhamana) ambayo hata yeye hakuhojiwa na wala kujua chochote kuhusu hayo.

SWALI FIKIRISHI:

Kwanini asingepelekwa mahakamani kwa kosa la "KUA NA MAHUSIANO" na Zitto Kabwe, Maria Sarungi, Bi Hellen Kijo (Boss wake)???????
 
Mimi hapo naungana na vyombo vya usalama kwa kuendelea kumupuuza zitto.

Zitto kwa Sasa Ni bogaz tu na serikali ishalitambua Hilo ndo maana haina muda wa kudeal na mtu Ambaye dishi lake limeshayumba tayari.

Safi Sana Vyomba vya usalama kwa kuendelea kumupuuza Zuzu Zuber Kabwe(ZZK) na genge lake. Hii inaonyesha jinsi gani idara yetu ya usalama ilivyo smart.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema walimvua uanachama kwasababu kulikuwa na connection za siri chadema kuvuja , kwenye harakati za chadema hakuwahi kuwa mstari wa mbele , viongozi wa chadema wa ngazi za juu walipitia dhoruba nyingi ila yeye hajawahi kuguswa.

Huyu jamaa ana mission maalum ndo maana hata sasa hakamatwi ingawa anawaaminisha watu kuwa yupo sahihi ila ni mtu wa mission zake na watu wa upande wa pili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi kile mpk miamala aliyokua anafanya na wakina Jack Zo.. wa kule Eagle iliwekwa hadharani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama jinsi Msigwa anavyohaha kukanusha fake tweets za mejo na bashite ndivyo Assad alivyojanusha ile tweet siyo yake,KESHAKANUSHA
 
Back
Top Bottom