Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

Jikite kwenye hoja

Sent using Jamii Forums mobile app

Huna hoja bali utoto umekujaa. Zito aliendelea kutoa hiyo taarifa tena kwa kusema kuwa alikuwa anawasiliana na familia yake, kama ni ukweli au ni uongo hilo hatujui. Ila inapokuja kwenye kutoa taarifa zisizoaminika hata serikali ni sehemu ya hiyo tabia mbovu. Ukiona watu wanazusha na kunatokea uungwaji mkono, ujue serikali ni sehemu ya hilo tatizo. Hivyo ni vyema ukaishauri serikali ijenge tabia ya kutoa taarifa za kweli. Naona unaitaja cdm kwenye kila uzi ili upate wachangiaji, maana unajua fika chama chenye mvuto bila kutegemea madaraka ya rais ni cdm.
 
Umenikumbusha changudoa wa magazetini wanavyojitangaza kila wakati wakiona majina yao yanasahaulika. Utaona gazeti linaandika, .... akutwa na msokoto wa bagi. mara ..... anamiliki gari ya bilioni kadhaa, ....afumaniwa, nk. Ni kila aina ya upuuzi!

Zitto amewinda kukamatwa haoni kitu, reasoning ni poor sasa kisiasa anajitafutia shida ili aandikwe na 2020 iko next door.
 
Huna hoja bali utoto umekujaa. Zito aliendelea kutoa hiyo taarifa tena kwa kusema kuwa alikuwa anawasiliana na familia yake, kama ni ukweli au ni uongo hilo hatujui. Ila inapokuja kwenye kutoa taarifa zisizoaminika hata serikali ni sehemu ya hiyo tabia mbovu. Ukiona watu wanazusha na kunatokea uungwaji mkono, ujue serikali ni sehemu ya hilo tatizo. Hivyo ni vyema ukaishauri serikali ijenge tabia ya kutoa taarifa za kweli. Naona unaitaja cdm kwenye kila uzi ili upate wachangiaji, maana unajua fika chama chenye mvuto bila kutegemea madaraka ya rais ni cdm.
Ha ha ha kamanda unamtetea Zitto ili karma imcharaze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha changudoa wa magazetini wanavyojitangaza kila wakati wakiona majina yao yanasahaulika. Utaona gazeti linaandika, .... akutwa na msokoto wa bagi. mara ..... anamiliki gari ya bilioni kadhaa, ....afumaniwa, nk. Ni kila aina ya upuuzi!

Zitto amewinda kukamatwa haoni kitu, reasoning ni poor sasa kisiasa anajitafutia shida ili aandikwe na 2020 iko next door.
Yumo humu sasa hivi anakusoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu,
Napenda kuweka kumbukumbu sawa kwamba mnamo majira ya jioni jana tarehe 25/12/2019, tweets za ZZK zilisambaa zikisema CAG Assad ametekwa. Tweet nyingine ikishukuru wananchi kupaza sauti zao hatimaye wamemuachia Assad.

Hii si mara ya kwanza ZZK kupotosha umma lakini vyombo vya usalama vinamuacha tu. Kuna kipindi alishawahi sema raisi wetu ni mahututi amekimbizwa nje ya nchi kwa matibabu lakini vyombo vya usalama walimuacha tu pamoja na kuleta taharuki kwa umma.

Au ndio tuamini ni mmoja wa vijana wa kazi anayetumwa kuleta tensions kwa umma?. Sasa tuamini vipi, mwenendo wa huyu jamaa hakamatwagi kabisa!.

Ni hayo tu wakuu wangu.
 
Akili za Zitto zinapotea, si kama alivyokua miaka saba au nane nyuma. Kwasasa akili za Zitto ni kama za Fatuma Karume yaani ni Kukurupuka tu.
Sasa Fatuma inasemekana hana mume sasa Zitto sijajua anakosa kitugani yaani kadri siku ziendavyo amekua mwanasiasa mwenye Mihemko isivyo kawaida.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema walimvua uanachama kwasababu kulikuwa na connection za siri chadema kuvuja , kwenye harakati za chadema hakuwahi kuwa mstari wa mbele , viongozi wa chadema wa ngazi za juu walipitia dhoruba nyingi ila yeye hajawahi kuguswa.

Huyu jamaa ana mission maalum ndo maana hata sasa hakamatwi ingawa anawaaminisha watu kuwa yupo sahihi ila ni mtu wa mission zake na watu wa upande wa pili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom