johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaa........ Msalimie mmakonde mwenzio Cecil Mwambe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa........ Msalimie mmakonde mwenzio Cecil Mwambe!
Hahahaaa........ Msalimie mmakonde mwenzio Cecil Mwambe!
Assad alitekwa na baada ya kelele za raiya wakamuachia.
Unataka Zitto akamatwe kwa kosa gani labda kwa mfano????
Sent using Jamii Forums mobile app
Taja missions zake tatu takatifu na sisi tufahamuChadema walimvua uanachama kwasababu kulikuwa na connection za siri chadema kuvuja , kwenye harakati za chadema hakuwahi kuwa mstari wa mbele , viongozi wa chadema wa ngazi za juu walipitia dhoruba nyingi ila yeye hajawahi kuguswa.
Huyu jamaa ana mission maalum ndo maana hata sasa hakamatwi ingawa anawaaminisha watu kuwa yupo sahihi ila ni mtu wa mission zake na watu wa upande wa pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maana ya hako ka vemaHakuna taarifa rasmi..jua hadi leo Mo imebakia unknown kuwa waliomteka nibakina nani..na huwa haliongeleiView attachment 1303879
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uzushi ambao hata wewe bwashee umeuamini!
Swali fikirishi, TUSICHOKONOE YALIYO LALA! je ni yapi?Hakuna taarifa rasmi..jua hadi leo Mo imebakia unknown kuwa waliomteka nibakina nani..na huwa haliongeleiView attachment 1303879
Sent using Jamii Forums mobile app