Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

don-oba, ZZK anaweweseka baada ya kimdanganya Prof Assad kuwa yuko juu ya serikali na atakuwa ofisini hadi afikie miaka 65. Bahati mbaya Prof alimuamini ZZK bila kusoma vizuri vifungu vya sheria. Sasa baada ya CAG huyu wa zamani kukosa mkataba wa kumfanya aendelee kuwepo ofisini ZZK anajitahidi kumpamba na kuonyesha yeye ni threat kwa serikali. Bahati mbaya WaTZ tayari wameshamuelewa Zitto na wanampuuza. Hata Assad nasikia siku hizi anampuuza vibaya saaana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmepanga Zitto mumpige risasi kama mlivyompiga Lissu? Kwahiyonateka watu na kuja kujimwambafai jamii forums?
 
Hakuna taarifa rasmi..jua hadi leo Mo imebakia unknown kuwa waliomteka nibakina nani..na huwa haliongeleiView attachment 1303879

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo tweet inayosemekana ni ya prof,hata ukiiangalia tu unaiona kabisa ni fake,Hamna namna mtu wa level ya prof anaweza akaihusisha serikali katika sakata la yeye kutekwa.tweet hii inaonesha mtekaji ni serikali s
 
Ameishakana hajatekwa mkuu, mimi ni nani hasa nisimsikilize Assad nianze kufuatilia tweets za ZZK?.
Kama kukana kwenyewe ni kwa kutumia tweet niliyoiona,I can assure you hiyo si tweet ya mtu wa level ya prof
 
Hebu jiukize kipindi cjote Slaa alipo kuwa Chadema ni lini alikamatwa na polisi? Wenzake walikuwa wana kamtwa yeye hakamatwi. Ndio hayo ya Zitto yeye ni kuongea tuu lakini ni mtu wao..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asad alikuwa anaelekea kupotezwa,kilichofanyika ilikuwa kama kum time mwewe kabla hajabeba Kifaranga.

Kipanya nae alitekwa kelele zikawa nyingi watekaji wakaambiwa na aliewatuma wamuachie,Kipanya Akarudi.

Kelele kwa sasa ndiyo suruhisho la washamba wanaoteka watu utadhani tupo CONGO.

Ili Zitto asizushe kama ulivyotumwa kuwatetea watekaji,waambie wanaokutuma wawaache Watanzania waishi kwa furaha,hofu na vitisho kamwe haviwezi kumnyamanzisha Zitto,Zitto ni sauti ya wasio na sauti.

Zitto anawafuasi mamilioni kwenye Mitandao,Familia ya Assad hawana Sauti mitandaoni,Vyombo vya habari vinaogopa hivyo wenye sauti kwa niaba ya wanyonge ni wale wenye Followers wengi mitandaoni,wakisema mamilioni wanapata ujumbe.

Zitto Keep it up,Utalipwa na Mungu wetu.
Karma itamcharaza Zitto kama inavyowacharaza Chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na iwapo atakamatwa, unaweza ukaniorodheshea faida utakayoipata wewe na familia yako? Mnadhani ni rahisi kuwafanya watanzania wote kuwa mabubu? Mkimkamata Zitto, ataibuka Zitto mwingine! Na hii ndiyo hulka ya binadamu.

Jambo la msingi ni kuwashauri viongozi wetu kukomesha haya mambo ya hovyo yanayo endelea kuota mizizi nchini mwetu.
Karma itamcharaza kama inavyowacharaza Chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karma itamcharaza kama inavyowacharaza Chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam.
tapatalk_1577354951190.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
CDM imenifanya nisiwaamini CDM wenyewe na upinzani kwa ujumla. Hawa jamaa sitowasahau walivyomchafua lowassa alafu baadae wakamsafisha. Kwa ujumla ilitakiwa watz wote waikatae CDM kwa upuuzi huu na iwe fundisho kwa wengine. Ingekuwa USA CDM ingetakiwa kushtakiwa. Cha ajabu bado kuna watu wanai supporr CDM. Tz tu mambo kama haya yanaweza tokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakudadavuwa,
Ok...Andiko lako ni zuri...Lakini anachofanya huyo mtu ni mkakati ulioandaliwa na nchi za magharibi dhidi ya nchi nyingine ikiwemo Tanzania ofcourse katika kuzidhoofisha kwa kuwatumia watu ndani ya nchi wanaoonekana wana mvuto katika kusambaza taarifa za uzushi ili kuleta mkanganyiko ndani ya nchi kwa maslahi mapana ya nchi za magharibi...Watu wa aina hii ni hatari mno kwa ustawi na usalama wa nchi...Nchi za magharibi hazifurahishwi na cohesion iliyopo ndani ya nchi...zingependa nchi hii iwe kama Somalia, Libya na Iraq...Ni kwenye vurugu ndipo ambapo nchiza mabeberu hunufaika kwa kuendeleza unyonyaji wa natural resources zilizopo..Kwa hiyo kusammbaza mambo ya kuteka na ''utekwaji' ni mpango maalum uliolenga '''ku-destabilize nchi yetu...Sina hakika vyombo vyetu vya dola na hasa TISS wamejipanga vipi kupangua njama hizi...Lakini watu wa aina hii wanaotumiwa na mabeberu wako wengi na waepenyezwa katika sehemu nyeti...wako kwenye main stream media, wako kwenye mitandao, wako kwenye taasisi nyingine mbalimbali kama vyama vya siasa, bunge, vyuo, NGOs na kadhalika...Wengine hulipwa lakini wengi wao hupata fadhila za kupata mialiko ya kutembelea nchi hizo kupitia taasisi za nchi hizo za magharibi na ambazo zipo strategiccally kwa maslahi mapana ya nchi hizo.....Misinformation strategies hutumiwa sana na inteleligence za nchi za magharibi
 
Back
Top Bottom