Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

Zitto usipoacha uzushi Karma itakucharaza kama inavyowacharaza CHADEMA

Zitto kabwe anataka kuongelewa yeye tu saizi.. Chadema wanacheza mziki wake. Yeye ndo atakua head of opposition kuanzia November 2020. Lazima ujue so far hakuna opereshen, mikakati, sera au mbinu zozote amabazo upinzani wanazo. Yaani hata ukimuuliaz msomi pale chuo kikuu dsm chadema au upinzani kwa ujumla wanasimamia nini saiz nna uhakika hatokua na jibu.
Operesheni sangara, list of shame nk zilizokua chini ya dr slaa zilizaa upinzani wa kweli nchini, upinzani wa damu uliojaa uzalendo.. leo chama eti mtu wa mkakati ni mdude...!!! Analopoka tu hana cheti cha standard seven inaweza kua mashaka... Kwa mtindo huu unategemea ccm kutoka madarakani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ofkozi kumnasa Sefu kawapiga bao Chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna aliyecharazwa bali watanzania ni wajanja kuliko nyie CCM wachache, wananchi wanajua sinema zote za CCM hawawezi kuwapuuza wapinzani hata siku moja, wanajua upinzani ndiyo nguzo ya kuibua uovu wote wa CCM Nchini, profesa Assad wanajua alitekwa kweli lakini baada ya kuona Zito kabwe kavalia njuga na wananchi wanapiga kelele nyingi mitandaoni na kona zote ndipo wakaamua kumuachia haraka kuepuka lawama toka kote Duniani.
Wapingaji na wapotoshaji mpo wangapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Assad alitekwa, baada ya kelele nyingi ikabidi "MAMLAKA" ziagize aachiwe haraka. Acheni kutetea uovu wa hii serikali ninyi WAPUUZI.
 
Ukisoma blabla zote za mleta mada unagundua kuwa haelewi hata maana ya neno KUTEKWA.
Kutekwa ni kuchukuliwa bila ya hiari wala kufuata utaratibu.
Hivyo hata Assad kama alichukuliwa kupelekwa Polisi, Masaki safehouse, Kijitonyama au Magogoni ili mradi utaratibu wa kumchukuwa/kumkamata haukuwa umeenda kisheria ALITEKWA.
Kama Wakudadavuwa huelewi hilo ni tatizo la ugumu wa uelewa wako sio la JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisoma blabla zote za mleta mada unagundua kuwa haelewi hata maana ya neno KUTEKWA.
Kutekwa ni kuchukuliwa bila ya hiari wala kufuata utaratibu.
Hivyo hata Assad kama alichukuliwa kupelekwa Polisi, Masaki safehouse, Kijitonyama au Magogoni ili mradi utaratibu wa kumchukuwa/kumkamata haukuwa umeenda kisheria ALITEKWA.
Kama Wakudadavuwa huelewi hilo ni tatizo la ugumu wa uelewa wako sio la JF

Sent using Jamii Forums mobile app
Kamanda karma inavyowacharaza itamcharaza Zitto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pili,walimtukana na kumtuhumu Lowassa lakini baadaye wakamsafisha,haya mambo mawili yamewafanya wasiaminike kiasi cha umma wa Watanzania kuwadharau na kutotilia maanani kauli na malalamiko yao.
Kumbe lowasa yuko chadema?
 
Tunatakiwa kuwa makini na taarifa zinazogaa mitandaoni, tusipende kusambaza taarifa bila kujiridhisha.

Kuna mda mtu utaitwa ulete ushahidi wa taarifa fulani ikala kwako, tusiendeshwe kwa mihemko tutumie akili zetu vyema.

Na kuhusu ishu ya jana ya Professor Assad, ilijaa uzushi na uongo, nakumbuka kipindi cha nyuma hapa JF watu walikuwa wanahoji sana vyanzo vya taarifa otherwise wanaipuuza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe hakutishika na hashtag "bringbackbensaanane"

Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa ya zito ilitosha kwani si imesaidia watekaji kusepa haraka hakukuwa na haja ya vyama vingine kutoa Taarifa zaidi ya kusaidia kupiga kelele mitandaoni kote mpaka mkamuachia ingawa hatujui kama hamjampaka ile sumu ya kuua slow slow kwa kuleta kansa isiyopona
 
Back
Top Bottom