Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
- #161
Hujui kitu nyamazaHata mtoa post hajui nani alianza kutoa taarifa hizo hivyo ni wa kupuuzwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kitu nyamazaHata mtoa post hajui nani alianza kutoa taarifa hizo hivyo ni wa kupuuzwa
Sent using Jamii Forums mobile app
KWELI MKUU. ZAMANI BILA KUWA NA SOURCE YA UHAKIKA HUPOST POST YAKO. SASA HIVI MTU ANAKURUPUKA NA HEADING A HABARI ISIYO NA CHANZO MAALUMU WATU WANACHANGIA TU. yashangaza mno.Tunatakiwa kuwa makini na taarifa zinazogaa mitandaoni, tusipende kusambaza taarifa bila kujiridhisha.
Kuna mda mtu utaitwa ulete ushahidi wa taarifa fulani ikala kwako, tusiendeshwe kwa mihemko tutumie akili zetu vyema.
Na kuhusu ishu ya jana ya Professor Assad, ilijaa uzushi na uongo, nakumbuka kipindi cha nyuma hapa JF watu walikuwa wanahoji sana vyanzo vya taarifa otherwise wanaipuuza.
Sent using Jamii Forums mobile app
PointKWELI MKUU. ZAMANI BILA KUWA NA SOURCE YA UHAKIKA HUPOST POST YAKO. SASA HIVI MTU ANAKURUPUKA NA HEADING A HABARI ISIYO NA CHANZO MAALUMU WATU WANACHANGIA TU. yashangaza mno.
Source za CCM ndizo hung’ang’aniza ziaminiwe lakini ujue watanzania siyo wajinga hata magufuli alikiri hilo bila source wanajua kuchambua ukweli na uongo hata sasa wenye Akili nyingi wanajua profesa Assad alitekwa lakini wamemtisha wakamwambia akanushe juu ya utekaji pasipo kuzingatia kuwa watanzania wa sasa wapo makini zaidi ya watetezi wachache wa CCM mitandaoni.KWELI MKUU. ZAMANI BILA KUWA NA SOURCE YA UHAKIKA HUPOST POST YAKO. SASA HIVI MTU ANAKURUPUKA NA HEADING A HABARI ISIYO NA CHANZO MAALUMU WATU WANACHANGIA TU. yashangaza mno.
Assad alitekwa mkuu,ukimsikiliza tu maelezo yake tu inajua kalishawa maneno ya kusema!!
mungu atuondolee urekaji
Jikite kwenye hojaMungu awalaani washauri wakuu wa mtukufu wote wanaomshauri vibaya na pia mungu walaani washauri wa Daud Bashite akina Cyprian Musiba le mutuz Joseph yona na wenzao kwani bila wao kumshauri vibaya Bashite na Bashite kwenda kumshauri vibaya mtukufu, watanzania toeni laana kwa hao watu ili wapunguze kumshauri vibaya mtukufu
Achana nae huyo, ndio ujinga wa hao jamaa, unaleta mada wao wanatoka nje ya box na wanasapotiana upupu kwa kupeana likes hovyo kabisa
Naunga mkono hoja na kufarijika sana Kaka Mkubwa Wakudadavua unapo refer Karma.Heri ya Noeli wanaJF,
Nimelazimika niandike makala hii ili kumuonya mdogo wangu kuacha siasa za uzushi ili kuepuka "viboko" vya karma jinsi karma inavyowacharaza Chadema
Hakika karma inawacharaza kisawasawa, Zitto ukiendelea karma haitakuacha itakucharaza kama inavyowacharaza Chadema.
Zingatia mdogo wangu.
Karibu MkuuNaunga mkono hoja na kufarijika sana Kaka Mkubwa Wakudadavua unapo refer Karma.
Karna is real.
The Power of Karma- Ndio hukumu pekee ya haki kamili hapa Duniani. Unahukumiwa kwa matendo yako!
Wanabodi, Sio mara moja au mbili, umewahi kusikia mtu akitendewa jambo baya, anasema "namwachia Mungu!", au neno "Malipo ni hapa hapa duniani!". likitokea jambo zuri lolote watu hufurahi na kumshukuru Mungu, au likitokea jambo baya lolote, watu hufarijiana kuwa kusema hiyo ni "kazi ya Mungu!'...www.jamiiforums.com
Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"
Wanabodi, Baada ya Kisa, Mkasa, na Baada ya Chanzo Kitendo!, Sakata la Mbunge Machachari wa Chadema, Zitto Zuberi Kabwe na chama chake cha Chadema limekuwa na visa na mikasa, vyanzo na vitendo na hatimaye leo, limefikia mwisho, limekwisha rasmi, it's over!, the rest is now a history...www.jamiiforums.com
PTundu Lissu anavuna alichopanda, karma ya Zitto na orodha ya mafisadi inamtafuna
Ndugu zangu, Karma ni mbaya, tujifunze. Tundu Lissu alipanda kisiasa kwa kuzushia wengine mambo yaliyo kinyume cha sheria na hata kuweka vifungu vibovu kwenye katiba ya Chadema ili kuwafukuza akina Zitto Kabwe. Ni Tundu Lissu aliyeweka kifungu kwenye katiba ya Chadema kwa makusudi ya...www.jamiiforums.com
Yaani wewe bure kabisa! Una uwezo wa kiwango cha chini mno kuelewa jambo.
Tunataka kujua kama kuna KARMA ya kitaasisi kama unavyotaka kutuaminisha. Ndiyo maana nikaukiza kama iko selective namna hiyo mpaka haiwapati CCM.....!!
Jo hifadhi matamshi sometimes... We all don't know exactly what happened... Zaidi ya kupewa mirejesho tuliyopewa... Hivi inawezekanaje mtu awe offline kwa siku nzima? Ina maana hana hata familia ya kuijulia hali? Hata kama ni mkutano Kuna break time.. Tuwe na hifadhi ya manenoNi vema mdogo wangu Zitto Kabwe ukanielewa na kuliomba radhi Kanisa kupitia maaskofu na wachungaji kwa tukio ulilolifanya siku ya tarehe 25/12/2019 la kumzushia alhaj Assad kuwa ametekwa na kuleta tafrani kubwa kwa wananchi.
Ulilofanya mh Zitto katikati ya sikukuu ya Noel siyo jambo jema yakupasa ujitafakari kwa upya kwani sisi tumefundishwa kutokaa mabarazani kwa wenye mizaha.
Maendeleo hayana vyama!
kamanda jielekeze kwenye hoja usitunge mada mpya.Unaacha kutoa onyo kwa wanaoteka, kuua, kubambika watu kesi za ajabu, eti unakuja kumwonya Zitto!!? Wao na Zitto ni nani atafkwa na karma? Damu za watu zinamwaga bila hatia huoni kuwa ni kitu, acha upumbavu kbs na umwache Zitto afanye yake.