LGE2024 Zitto: Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe

LGE2024 Zitto: Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Zitto aache kuhangaika na kupiga mayowe yake hapa.Sasa naye kwa akili zake timamu alitegemea kuwa kuna mtanzania mwenye akili Timamu anayeweza kupigia kura chama chake? Ndio maana alifukuzwa CHADEMA
Lukas ,Lukas ,Lukaas nakuita mara tatu!!Kila siku huwa nakuonya sana.

Ipo siku Damu zote zinazo mwagika zitaanza na wewe unashangilia .

Laana inamtindo wa kutembea mpka kizazi cha nne!!

Hutoamini katika maisha yako
 
Na Tuzo akampa Samia mwanaCCM na ticket ya kuwania Urais akampa mwanaCCM Lowassa, na baada ya kutoka mahabusu moja kwa moja ikulu, na maridhiano akaya nga'ang'ania hapa kamzidi mpaka Zitto.
Mbowe kuna makosa aliyofanya kama kiongozi wa upinzani. Hata zile fedha za Samia kuchngia kanisa lilikuwa ni kosa. Lakini bado nasema ana msimamo na siyo kama Zitto. Anaweza kuwa na guts za kusimama na kutoa ukweli wa kuumiza serikali ambao Zitto kamwe hawezi. Na kingine... ile ya kumpokea Lowassa sidhani kama lilikuwa kosa. Lowassa alikuwa na tuhuma kibao ndiyo, lakini alikuwa amejijenga sana ndani ya CCM na wengi tuliona ndiyo chance nzuri ya kuondoa chama dola-CCM ili tuanze upya.
 
Mbowe kuna makosa aliyofanya kama kiongozi wa upinzani. Hata zile fedha za Samia kuchngia kanisa lilikuwa ni kosa. Lakini bado nasema ana msimamo na siyo kama Zitto. Anaweza kuwa na guts za kusimama na kutoa ukweli wa kuumiza serikali ambao Zitto kamwe hawezi. Na kingine... ile ya kumpokea Lowassa sidhani kama lilikuwa kosa. Lowassa alikuwa na tuhuma kibao ndiyo, lakini alikuwa amejijenga sana ndani ya CCM na wengi tuliona ndiyo chance nzuri ya kuondoa chama dola-CCM ili tuanze upya.
Upo vizuri sana katika kumtetea Mbowe na kumkosoa Zitto huna tofauti na chawa wa kijani.

Wewe ni chawa mwekundu.
 
Wakuu,


Akiwa kwenye mkutano na wananchi Kigoma, leo Novemba 29, 2024 Zitto amesema;

Nataka nimwambie mwenyekiti wa CCM Rais Samia, kama kuna kosa ambalo CCM wanafanya ni kusurrender siasa kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Vyombo vya Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa kama hivyo unavyofanya watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe, hivyo vyombo vitawaondoa CCM Madarakani.

Tunayoyaona ayantokea Angola, Mozambiki ni makosa ya FLELIMO na MPLA kusarenda kisiasa kwa vyombo vya dola ndio maana muda wote wangu wote nilivyokuwa mbunge katika jambo nililokuwa nalipigania kwa nguvu zangu zote ni kuiondoa Idara ya Usalama wa Taifa katika makucha ya CCM, nikawapigania mageuzi ya TISS kwasababu ni kosa kubwa sana kuiondoa nchi kwenye democracy na kuipeleka kwenye nchi inayoongozwa na vyombo vya dola.
Kwa hili naungana na Zito amesema kweli,Hawa wanatakiwa watimize wajibu lakini sio kuwa sehemu ya madaraka ,watakuja kugeuza kibao na Kusababishia Nchi kuanza kuongizwa kijeshi.

Tukifika huko itakuwa ni hasara mara 2,ni Bora CCM usije kututumbukiza huko so ifanye kusimamia wajibu na Haki kwenye uchaguzi.

Naoinga vikali kuwasigeza hao watu kwenye madaraka ni washenzi na hakuna wa kuja kuwatoza Wala kuwakosoa in case wameshika Dola.

Inafanyika Egypt,Sudan ,Burkinafao,Niger nk nk
 
Wakuu,


Akiwa kwenye mkutano na wananchi Kigoma, leo Novemba 29, 2024 Zitto amesema;

Nataka nimwambie mwenyekiti wa CCM Rais Samia, kama kuna kosa ambalo CCM wanafanya ni kusurrender siasa kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Vyombo vya Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa kama hivyo unavyofanya watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe, hivyo vyombo vitawaondoa CCM Madarakani.

Tunayoyaona ayantokea Angola, Mozambiki ni makosa ya FLELIMO na MPLA kusarenda kisiasa kwa vyombo vya dola ndio maana muda wote wangu wote nilivyokuwa mbunge katika jambo nililokuwa nalipigania kwa nguvu zangu zote ni kuiondoa Idara ya Usalama wa Taifa katika makucha ya CCM, nikawapigania mageuzi ya TISS kwasababu ni kosa kubwa sana kuiondoa nchi kwenye democracy na kuipeleka kwenye nchi inayoongozwa na vyombo vya dola.
Walishaonja kitambo, kuna wateule wengi wa Rais ni kutoka vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Upo vizuri sana katika kumtetea Mbowe na kumkosoa Zitto huna tofauti na chawa wa kijani.

Wewe ni chawa mwekundu.
Mimi siyo chawa na kamwe sitakaa niwe chawa. Kwanza Mbowe ame-overstay kwenye uenyekiti na mimi siyo mshabiki wa viongozi wasiotaka kuwe na ukomo wa uongozi.
 
Wakuu,


Akiwa kwenye mkutano na wananchi Kigoma, leo Novemba 29, 2024 Zitto amesema;

Nataka nimwambie mwenyekiti wa CCM Rais Samia, kama kuna kosa ambalo CCM wanafanya ni kusurrender siasa kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Vyombo vya Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa kama hivyo unavyofanya watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe, hivyo vyombo vitawaondoa CCM Madarakani.

Tunayoyaona ayantokea Angola, Mozambiki ni makosa ya FLELIMO na MPLA kusarenda kisiasa kwa vyombo vya dola ndio maana muda wote wangu wote nilivyokuwa mbunge katika jambo nililokuwa nalipigania kwa nguvu zangu zote ni kuiondoa Idara ya Usalama wa Taifa katika makucha ya CCM, nikawapigania mageuzi ya TISS kwasababu ni kosa kubwa sana kuiondoa nchi kwenye democracy na kuipeleka kwenye nchi inayoongozwa na vyombo vya dola.
Kwa nini hivyo vyombo vijihangaishe wakati tayari wapo madarakani wakiwa mgongoni kwa CCM?
 
Wakuu,


Akiwa kwenye mkutano na wananchi Kigoma, leo Novemba 29, 2024 Zitto amesema;

Nataka nimwambie mwenyekiti wa CCM Rais Samia, kama kuna kosa ambalo CCM wanafanya ni kusurrender siasa kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Vyombo vya Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa kama hivyo unavyofanya watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe, hivyo vyombo vitawaondoa CCM Madarakani.

Tunayoyaona ayantokea Angola, Mozambiki ni makosa ya FLELIMO na MPLA kusarenda kisiasa kwa vyombo vya dola ndio maana muda wote wangu wote nilivyokuwa mbunge katika jambo nililokuwa nalipigania kwa nguvu zangu zote ni kuiondoa Idara ya Usalama wa Taifa katika makucha ya CCM, nikawapigania mageuzi ya TISS kwasababu ni kosa kubwa sana kuiondoa nchi kwenye democracy na kuipeleka kwenye nchi inayoongozwa na vyombo vya dola.
Kwa mara ya kwanza Zitto anaongea jambo la Maana
 
Ninyi wapinzani ndio hampendwi na ndio maana mnanyimwa kura na watanzania
Huu haukua uchaguzi wa viongozi bali ilikuwa ni kuchagua wahuni kwenda kulamba asali miaka 5 ijayo, ndio maana kwenye kura za maoni ndani ya CCM kuna watu wameuza hata majumba kuhonga wagombea ili wapigiwe kura kwa maana wanajua wakiingia madarakani watafisadi na gharama zao zitarudi mara dufu.
 
Ndugu yangu Zitto, Mh Lissu alishamaliza hili suala. Kwamba CCM na Serikali yake walishamaliza Uchaguzi kitambo. Hata kabla ya sarakasi kwenye uandikishaji na hatimae finish kwenye teuzi.

Sasa tulishafanya makosa huko nyuma kwa kupoteza muda kwenye kivuli cha maridhiano. Tusirudie makosa tena kama Wapinzani. Tukubali makosa yetu tuunaganisheni nguvu zetu kama Wapinzani. Tutoke na sauti moja. Turejesheni UKAWA kisha tudai kwa nguvu moja KATIBA MPYA.

Tuachane na masuala ya kulamba asali na yale ya nusu mkate ni upuuzi na hatutaweza kuwa na mapinduzi ya fikra kwa Watz wenye kupenda mageuzi.

Tuache kuhangaika na masuala haya ya kipuuzi ya chaguzi zilizokwisha pitishwa na Serikali ya CCM ni kupoteza muda tu nothing more we can change my Brother. Walishamaliza. Tujikite kwenye masuala ya msingi. Yatakayoweza kutupatia mabadiliko chanya kwenye chaguzi zijazo. KATIBA KATIBA KATIBA MPYA ndiyo muarobaini wa upuuzi wote wa hawa CCM na Serikali yake. Bila Katiba Mpya Vyama vya Upinzani badala ya kupambana na CCM (kama chama cha siasa) kwenye majukwaa vitaendelea kupambana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama kama ulivyokiri mwenyewe.
 
Mbowe angekuwa kama Zitto asingekaa rumande kwa miezi kadhaa kwa sababu za kusingiziwa. Umeshawahi kuona Zitto amekamatwa na kukaa ndani?
We akili huna kwahiyo uliamini Yale maigizo daah kweli nchi hii Kuna watu hawajitambui yaani mtu ashutumiwe ugaidi halafu upinzani atoke kirahisi vile na kwenda kunywa chai ikulu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu,


Akiwa kwenye mkutano na wananchi Kigoma, leo Novemba 29, 2024 Zitto amesema;

Nataka nimwambie mwenyekiti wa CCM Rais Samia, kama kuna kosa ambalo CCM wanafanya ni kusurrender siasa kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Vyombo vya Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa kama hivyo unavyofanya watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe, hivyo vyombo vitawaondoa CCM Madarakani.

Tunayoyaona ayantokea Angola, Mozambiki ni makosa ya FLELIMO na MPLA kusarenda kisiasa kwa vyombo vya dola ndio maana muda wote wangu wote nilivyokuwa mbunge katika jambo nililokuwa nalipigania kwa nguvu zangu zote ni kuiondoa Idara ya Usalama wa Taifa katika makucha ya CCM, nikawapigania mageuzi ya TISS kwasababu ni kosa kubwa sana kuiondoa nchi kwenye democracy na kuipeleka kwenye nchi inayoongozwa na vyombo vya dola.
Nakubaliana na hoja ya Zitto pamoja na ujinga wake wa kuonesha viashiria vya kushiriki kumuua Dkt Magufuli. Mfano halisi ni Egypt ambapo Hosni Mubaraka aliwaachia wanajeshi mwishowe wakawapindua wote hahaha
 
Zitto mzee wa kuuma na kupuliza. Hakuna mwanasiasa ambaye simwelewi kama huyu. Huwezi kujua kama yuko upande wa serikali, huwezi kujua kama ni mpinzani, yaani ni kama popo. Anasemaje haya wakati yeye na Samia ni wamoja?
Sasa hapo usichoelewa ni Nini? Asiyeeleweka utakuwa ni wewe na kundi la baadhi ya wenye akili Kama zako ambao huacha kujadili hoja na kujikita kumjadili mtu
Very narrow minded person
 
Back
Top Bottom