LGE2024 Zitto: Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe

LGE2024 Zitto: Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Zitto mzee wa kuuma na kupuliza. Hakuna mwanasiasa ambaye simwelewi kama huyu. Huwezi kujua kama yuko upande wa serikali, huwezi kujua kama ni mpinzani, yaani ni kama popo. Anasemaje haya wakati yeye na Samia ni wamoja?
Alitabirika enzi akiwa CHADEMA kwa kipindi...baada ya hapo ni ubatili mtupu tu..: 2012 nilikuwa na ZITO KABWE , kwenye uchaguzi mdogo wa Diwani, Kata ya Kirumba- Jijini Mwanza..Uchaguzi ulikuwa muhimu , mgumu na wa turufu kwa Jiji la Mwanza kuendelea kuwa chini ya CHADEMA au CCM:Akiwa katika kiwango cha chuu mno kisiasa ,alitoa hotuba zenye ushawishi kwa watu kuchagua Diwani kutoka CHADEMA , akiwakabili vilivyo CCM chini ya Marehemu Spika Samweli Sita na Kada wao Dr.Kabouru.Na alifaulu.,CHADEMA walishinda ,huku wabunge Wa Mwanza(Kiwia, Machemuli, Wenje- Wote CHADEMA) , wakicharangwa mapanga na kupoteza fahamu...Usiku wa kuamukia kupiga kura..na wahusika ni CCM walijulikana mpaka leo wapo kitaa.
 
Wakuu,


Akiwa kwenye mkutano na wananchi Kigoma, leo Novemba 29, 2024 Zitto amesema;

Nataka nimwambie mwenyekiti wa CCM Rais Samia, kama kuna kosa ambalo CCM wanafanya ni kusurrender siasa kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Vyombo vya Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa kama hivyo unavyofanya watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe, hivyo vyombo vitawaondoa CCM Madarakani.

Tunayoyaona ayantokea Angola, Mozambiki ni makosa ya FLELIMO na MPLA kusarenda kisiasa kwa vyombo vya dola ndio maana muda wote wangu wote nilivyokuwa mbunge katika jambo nililokuwa nalipigania kwa nguvu zangu zote ni kuiondoa Idara ya Usalama wa Taifa katika makucha ya CCM, nikawapigania mageuzi ya TISS kwasababu ni kosa kubwa sana kuiondoa nchi kwenye democracy na kuipeleka kwenye nchi inayoongozwa na vyombo vya dola.
Ni sahihi,
 
Mlikuwa wapi kugomea tangu mwanzo?

Tena huyo mwami ndio alikuwa anamsifia mama Abdul akiwa sambamba na Pascal hadi wanaalikwa kwenye makongamano .

Mmechelewa kujua kuwa mliyemsifia wala hakuwa na nia ya dhati kufuta makosa ya mtangulizi wake badala yake kapita humo humo.

Mmechelewa ila mtachelewa zaidi kama 2025 mtaingia tena kushindana na hao majizi bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
Sasa hapo usichoelewa ni Nini? Asiyeeleweka utakuwa ni wewe na kundi la baadhi ya wenye akili Kama zako ambao huacha kujadili hoja na kujikita kumjadili mtu
Very narrow minded person
Kama kuwa na narrow mind ni kusema Zitto ni kibaraka kama Ndabadingi Sithole basi hiyo mind yangu acha iwe narrow kuliko hata uzi wa kushonea nguo.
 
Kama kuwa na narrow mind ni kusema Zitto ni kibaraka kama Ndabadingi Sithole basi hiyo mind yangu acha iwe narrow kuliko hata uzi wa kushonea nguo.
Sasa kuwa kibaraka kunahusiana nn na hoja aliyotoa?
Tena ni zaidi ya narrow mind..ujinga mwingi kushindwa kujadili hoja na kuleta "pumba"
Shit***
 
We akili huna kwahiyo uliamini Yale maigizo daah kweli nchi hii Kuna watu hawajitambui yaani mtu ashutumiwe ugaidi halafu upinzani atoke kirahisi vile na kwenda kunywa chai ikulu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ujinga ni kusema mtu kukaa rumande kwa zaidi ya nusu mwaka ni maigizo. Alikwenda ikulu kwa sababu aliyefanya huo ujinga alijiona ni zuzu akamwita kuomba msamaha. Akapooza na ''kimoja'' ili aondoe ukame wa rumande.
 
Zitto aache kuhangaika na kupiga mayowe yake hapa.Sasa naye kwa akili zake timamu alitegemea kuwa kuna mtanzania mwenye akili Timamu anayeweza kupigia kura chama chake? Ndio maana alifukuzwa CHADEMA
Kama ni hivyo kwa nini mlitumia mapolisi kuingiza kura feki dhidi ya mgombea wa ACT?
 
Zitto mzee wa kuuma na kupuliza. Hakuna mwanasiasa ambaye simwelewi kama huyu. Huwezi kujua kama yuko upande wa serikali, huwezi kujua kama ni mpinzani, yaani ni kama popo. Anasemaje haya wakati yeye na Samia ni wamoja?
Adonihem fallacy! Swali kwako Je huoni kama aliyoyasema Yana maana japo kidogo? Kwamba mwizi akikutahadharisha kuwa upo hatarini kuibiwa huchukui hadhari sababu aliyesema tu ni mwizi?
 
Ujinga ni kusema mtu kukaa rumande kwa zaidi ya nusu mwaka ni maigizo. Alikwenda ikulu kwa sababu aliyefanya huo ujinga alijiona ni zuzu akamwita kuomba msamaha. Akapooza na ''kimoja'' ili aondoe ukame wa rumande.
Akili Yako ndogo sana kwahiyo kukaa miezi 6 Ili wajinga kama wewe mumuone mpigania haki ndio useme sio maigizo kweli wajinga hawaishi Kwa staili hii ccm itatawala milele inabidi uuliwe huna akili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Adonihem fallacy! Swali kwako Je huoni kama aliyoyasema Yana maana japo kidogo? Kwamba mwizi akikutahadharisha kuwa upo hatarini kuibiwa huchukui hadhari sababu aliyesema tu ni mwizi?
Ukishakuwa mwizi kwenye jamii unakuwa huaminiki tena na hata ukisema jambo jamii itahoji mara mbili mbili. Na ndiyo nilichofanya hapa.
 
Ninyi wapinzani ndio hampendwi na ndio maana mnanyimwa kura na watanzania
Watapataje kura kama mamlaka zinawafanyia rafu, za wazi wazi?

Uchaguzi ufanywe fair bila rafu kutoka kwa mamlaka halaf matokeo yatakapo kuja ndio tuseme wameshindwa
 
Akili Yako ndogo sana kwahiyo kukaa miezi 6 Ili wajinga kama wewe mumuone mpigania haki ndio useme sio maigizo kweli wajinga hawaishi Kwa staili hii ccm itatawala milele inabidi uuliwe huna akili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
You are fully of anger! Hii inaonyesha kuwa mjadala umekugusa. Najua tatizo lako siyo kuhusu Mbowe bali ni Zitto. Napiga tena hapo hapo kwenye kidonda. Zitto ni kibaraka CCM.
 
Nyie Chadema mnatukusea sana Watanzania.

Mnaacha mawakala wenu wenye kiu ya fegi kulinda kura tulizowapigia hatimaye wanapewa laki na kutoka nje ya chumba cha kuhesabia kura!!

Tuseme tu hii nchi ina upinzani wa kihuni sana.
 
You are fully of anger! Hii inaonyesha kuwa mjadala umekugusa. Najua tatizo lako siyo kuhusu Mbowe bali ni Zitto. Napiga tena hapo hapo kwenye kidonda. Zitto ni kibaraka CCM.
Inawezekana ndio ni kibaraka wa ccm sababu tanzania hamna chama Cha upinzani ila nimekuona mjinga kumuona mbowe sio kibaraka wa ccm aisee nchii hii wajinga hawaishi
 
Wakuu,


Akiwa kwenye mkutano na wananchi Kigoma, leo Novemba 29, 2024 Zitto amesema;

Nataka nimwambie mwenyekiti wa CCM Rais Samia, kama kuna kosa ambalo CCM wanafanya ni kusurrender siasa kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Vyombo vya Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa kama hivyo unavyofanya watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe, hivyo vyombo vitawaondoa CCM Madarakani.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Tunayoyaona ayantokea Angola, Mozambiki ni makosa ya FLELIMO na MPLA kusarenda kisiasa kwa vyombo vya dola ndio maana muda wote wangu wote nilivyokuwa mbunge katika jambo nililokuwa nalipigania kwa nguvu zangu zote ni kuiondoa Idara ya Usalama wa Taifa katika makucha ya CCM, nikawapigania mageuzi ya TISS kwasababu ni kosa kubwa sana kuiondoa nchi kwenye democracy na kuipeleka kwenye nchi inayoongozwa na vyombo vya dola.
Hilo linajulikana
 
Zito yuko sahihi kinadharia na ki-data lkn utekelezwaji wake hapa TZ..ni ndoto - tutaendelea kunyanyasika hivihivi. Hizo nchi nyingine watu wamepigania uhuru wao physically kitambo sana - watu wamemwaga damu...mizizi inabaki..sio kwa hawa Watanzania.
uhuru wenyewe tulipata kupitia mdomo tu..hatukuwahi kukubali kumwaga damu au kupiganua uhuru wetu - hivyo ujanjaujanja, unafiki, uoga, kujifanya wana falsafa tumeanza kitambo sana.
Tumapata uhuru - kaingia Nyerere ndo kaharibu kabisa - siasa za ushindani zikapotea, ushindani wa uzalishaji mali ukapigwa marufuku, matajiri wakafilisiwa, mashule yakataifishwa - tukaua ushindani wote - akili zikadumaa..
"Zidumu fikra za Mwenyekiti wa Chama"...serious watu wazima kutamka vile ilikua ni kosa sana - ni kama tukajifungia ufahamu.SPIRIT YA KUPAMBANA KWENYE NYANJA ZOTE IKAULIWA KABISA.
Hayo mambo anayosema Zitto Nyerere aliyapigia hesabu kitambo sana - tangu wamkosekose kumpindua - protokali zilibadirishwa sana - humo kwenye vyombo vya ulinzi kote wanachunguzana - hakuna central command pale....TISS wako polisi - wako Jeshini n.k. ni kama yai na kuku tu..mzunguko.
Nyerere alikua mtu wa bara tena Mara kabisa...lkn naye usingejua kama ni mtu wa bara - aliishia kuwa mshahilishwahili sana - kuanzia kimuonekano, kitabia, misemo...matokeo yake uswahili swahili umetamalaki mpaka leo.
Tz tutateseka na CCM mpaka tukome..watz ni kama tairi limejaa upepo..wanakosa tu mtu/kiongozi wa kumfuata aguse tu tairi litoe presha yote..liwe flat.
 
Back
Top Bottom