LGE2024 Zitto: Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe

LGE2024 Zitto: Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikishaonja madaraka ya kisiasa watakaofata kushughulikiwa ni CCM wenyewe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Na hapo hujahoji Bali umeachana na mada husika ukaanza kuhoji credibility ya mhusika mwenyewe! Swali langu kwako tena, Je hakuna jambo ambalo linahitaji attention?
Kama nilivyosema huyo jamaa haaminiki. You should take his words with a pinch of salt.
 
Ni dhahiri kuwa JPM hakua Mbaya bali alizunguka na watu wenye siasa za kibabe kama makamu wake wakati huo ambaye alikopi siasa za Zanzibar chini ya kauli mbiu ya mapinduzi daima .
Dr. Bashiri Ali chini ya siasa za CUF za mapanga shaa.

Kama mwenyekiti wa sasa wa CCM angekua sio tatizo bado angesimamia kauli zake lakini anaonekana hata wakati ule alikua ni mzuri mbele ya macho ya watu lakini nyuma yake ameshika kilipuzi. Ndio maana Dr. Bashite ni rafiki yake wa karibu . Bird with the same wings fly together.

Kwa hiyo dikteta ni yule anayeona kifo kama vile ni jambo la kawaida na kutoa tahadhari kuwa watu ajiandae tu maana kifo ni kifo tu wasione ajabu . Ndio maana wanaofurahia vifo na uhuni mwingi kama akina Shehe Mwaipopo wanakua salama na wanashangiliwa sana na watawala kuliko Taasisi yenye waumini wengi kwa wasomi wa hii mifumo yote duniani kama kanisa katoliki walikemea mauaji na uhuni ,wanaotukanwa matusi makubwa sana kwenye mitandao na polisi chini ya CP Awadhi hawajawahi kumkamata mtu kuwa amewatukana maaskofu na viongozi wa dini . Yaani kuwakosoa watendaji wa asiofuata sheria limekua ni kosa la kuuawa lakini uhalifu mwingine limekua ni suala linalokingiwa kifua na haki jinai . Leo mbakaji ,mlawiti, muuza madawa , n.k wanakinga kubwa sana kwenye kesi kuliko wakipinga mauaji na utekaji.

Hawata acha maovu yao kama wanaoyafanya wanapongezwa na kupandishwa vyeo .
Samia anachukuwa ushauri kutoka uarabuni. Waarabu ndiyo watu makatili sana na huwaona watu weusi kama siyo binadamu. Kna siku mtajua ukweli wa ninachosema.
 
- Amewaonya CCM kuwa wanachofanya kwa sasa kitawageuka kama inavyotokea nchi nyingine.

- Ametolea mfano yanayoendelea Angola na Msumbiji kuwa Vyama tawala vilitegemea Vyombo vya Dola kubaki madarakani

- Ameonya kuruhusu Taifa kuendeshwa na Vyombo vya Dola badala ya Demokrasia iliyowekwa kikatiba

- Asema Chama cha Siasa ambacho kinashindwa kushawishi wananchi na kuishia kuegemea Dola, siku kinaondoka madarakani hakitajua. Na kudondoka kwake kutakuwa kwa mshindo mkubwa sana

- Ameongeza kuwa Vyombo viwili vya Dola vimeshaingizwa kwenye siasa (Polisi na Idara ya Usalama)

Video hii hapa:

 
Back
Top Bottom