Zitto: Wanachama ACT Wazalendo wanataka kubadili katiba ya chama ili niendelee kuongoza. Nimewaambia naheshimu katiba

Zitto: Wanachama ACT Wazalendo wanataka kubadili katiba ya chama ili niendelee kuongoza. Nimewaambia naheshimu katiba

Zitto ni mmoja wa wanasiasa wachache hapa nchini wa daraja la kwanza kwa msimamo, uongozi, ufahamu wa uchumi na anaeweza kutambua na kutoa utatuzi sahihi wa changamoto zinazo kabili taifa.
Hana kukurupuka, amekomaa, ametulia kisiasa.
Anyway mimi sina chama kwa hiyo simpugii mtu debe ila natoa maoni.
Mkuu unaongelea Zitto yupi? Huyu Zitto kabwe?
 
Mbona kama unampiga dongo Mbowe
Simpigi dongo lolote, Mimi msimamo wangu uko wazi kuwa Mbowe hastahili kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm kwa sasa. Na hasa hasa Mimi sio muuminiz wa kiongozi yoyote kukaa madarakani sehemu moja ya kuchaguliwa zaidi ya miaka 10.
 
Kwa mtu asiyejua mfumo wa utawala wetu hapa nchini ndio anaweza kutoa comments kama hizi zako.
Hivyo ni vizingishio, kwani alivyo kua anaomba kazi alikua hajui mfumo wa utawala ulivyo🤔🤔 alipewa kazi akashindwa kuifanya hayo unayoleta ni kelele tuu
 
"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"
Kijembe kwa mtu
 
Pamoja na usnitch wake wote, iwapo Zito ataheshimu time limit kwenye cheo chake, nitampa heshima fulani. Ni kinyaa kwa kiongozi kukaa madarakani kwa muda mrefu.
Kwa hiyo Mbowe anatia kinyaa hapo Chadema ?
 
"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"

'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
Ubarikiwe sana Zito Kabwe hiyo ndiyo demokrasia.
 
Zitto ni mmoja wa wanasiasa wachache hapa nchini wa daraja la kwanza kwa msimamo, uongozi, ufahamu wa uchumi na anaeweza kutambua na kutoa utatuzi sahihi wa changamoto zinazo kabili taifa.
Hana kukurupuka, amekomaa, ametulia kisiasa.
Anyway mimi sina chama kwa hiyo simpugii mtu debe ila natoa maoni.
Uko sahihi 100%
 
Back
Top Bottom