WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Uko sahihi 100%Pamoja na usnitch wake wote, iwapo Zito ataheshimu time limit kwenye cheo chake, nitampa heshima fulani. Ni kinyaa kwa kiongozi kukaa madarakani kwa muda mrefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi 100%Pamoja na usnitch wake wote, iwapo Zito ataheshimu time limit kwenye cheo chake, nitampa heshima fulani. Ni kinyaa kwa kiongozi kukaa madarakani kwa muda mrefu.
Safi sana Zito Kabwe.Bravo Zitto.
Mtu anayeibuka mshindi kwenye kila uchaguzi wa kumchagua mwenyekiti anatiaje kinyaa ?....Mkuu unauliza au unapigia jibu mstari?
😆😆😆"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"
'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
Kinyaa ni dalili ya ujauzito, kapime..Pamoja na usnitch wake wote, iwapo Zito ataheshimu time limit kwenye cheo chake, nitampa heshima fulani. Ni kinyaa kwa kiongozi kukaa madarakani kwa muda mrefu.
🌈
Hamna uchaguzi kwenye mazingira hayo boss.Mtu anayeibuka mshindi kwenye kila uchaguzi wa kumchagua mwenyekiti anatiaje kinyaa ?....
Yupo sahihi, kwani Nani hqpendi maokoto ya ukubwa? Tuache unafiki,anachofanya ni sawa kabisa, fata katiba,ya chama,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anatamani kuendelea ila anaogopa kuweka precedent mbaya
Waswahili kwa kupenda Vyeo!!
Kwako ustaadh Aboubakar Ufipa st
Uanze kutembea na ndimu mfukoni, kumbe hasira zote kwa Mbowe ni kimimba kichanga..[emoji304]
🌈Uanze kutembea na ndimu mfukoni, kumbe hasira zote kwa Mbowe ni kimimba kichanga..
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kuanzia leo ukimuona Mbowe uanze kulamba ndimu we" kiazi[emoji304]
🌈Kuanzia leo ukimuona Mbowe uanze kulamba ndimu we" kiazi
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Utakuwa na mchanganyiko wa mimba ya Mbowe na minyoo, tumbo lako limejaa sana dada.[emoji304]
Sasa wenyekitutaarifu kutaka kubadili katiba ndio wangetueleza na sio wewe muhusika"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"
'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
🌈Utakuwa na mchanganyiko wa mimba ya Mbowe na minyoo, tumbo lako limejaa sana dada.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hii tabia ya uchoko unaonekana umeianza siku nyingi sana, ndio maana jamaa akawahi kukuweka, kilichobaki sasa ni ndimu mfukoni kinyaa takataka kabisa[emoji304]
Hivi wewe ni wa jinsia gani?? Kila kukicha wewe na Mbowe. Iwe mjadala unahusu soka wewe lazima umtaje Mh Mbowe.Zitto kawa Mwanachama wa kawaida, mbunge, Naibu Katibu mkuu wa Chadema, Kiongozi wa Chama ACT Wazalendo na sasa anastaafu
Mbowe kawa mwenyekiti Bavicha, Mwenyekiti Chadema Taifa, Mgombea uRais, Mbunge, KUB, Mwenyekiti mwenza UKAWA, Mjumbe wa Maridhiano, Mtuhumiwa Ugaidi ...nk nk lakini kagoma kuuachia Uenyekiti Taifa [emoji23][emoji23][emoji209]