Zitto: Wanachama ACT Wazalendo wanataka kubadili katiba ya chama ili niendelee kuongoza. Nimewaambia naheshimu katiba

Mkuu unaongelea Zitto yupi? Huyu Zitto kabwe?
 
Mbona kama unampiga dongo Mbowe
Simpigi dongo lolote, Mimi msimamo wangu uko wazi kuwa Mbowe hastahili kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm kwa sasa. Na hasa hasa Mimi sio muuminiz wa kiongozi yoyote kukaa madarakani sehemu moja ya kuchaguliwa zaidi ya miaka 10.
 
Kwa mtu asiyejua mfumo wa utawala wetu hapa nchini ndio anaweza kutoa comments kama hizi zako.
Hivyo ni vizingishio, kwani alivyo kua anaomba kazi alikua hajui mfumo wa utawala ulivyoπŸ€”πŸ€” alipewa kazi akashindwa kuifanya hayo unayoleta ni kelele tuu
 
Kijembe kwa mtu
 
Pamoja na usnitch wake wote, iwapo Zito ataheshimu time limit kwenye cheo chake, nitampa heshima fulani. Ni kinyaa kwa kiongozi kukaa madarakani kwa muda mrefu.
Kwa hiyo Mbowe anatia kinyaa hapo Chadema ?
 
Ubarikiwe sana Zito Kabwe hiyo ndiyo demokrasia.
 
Uko sahihi 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…