Uchaguzi 2020 Zitto: Wananchi mchagueni mgombea mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli

Uchaguzi 2020 Zitto: Wananchi mchagueni mgombea mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054


Akiwa huko Mihambwe Zitto amewataka wananchi wachague mtu mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli.

Ndugu Zitto amewaambia wananchi kuwa lengo kuu ni kumshinda Magufuli na amewataka wananchi wasigawe kura, maana wakifanya hivyo Magufuli atapita katikati kiulainii.

Katika mahesabu makali ya upinzani namna ya kushirikiana ni dhahiri kwa muda mrefu ACT wazalendo wako na Tundu Lissu katika ngazi ya uraisi, na hii inathibitishwa na mgombea wao kutofanya kampeni yoyote kubwa hata katika maeneo yenye kuungwa mkono sana ACT kama vile Kigoma na mikoa ya kusini ukiondoa Lindi kwa mheshimiwa Membe.

Katika hali hii huu utakuwa ushirikiano wa kisayansi kuwahi kutokea nchini, na umeonyesha kuzaa matunda ndiyo maana CCM inahaha kutumia vyombo vya serikali kama NEC na polisi kuipa upendeleo wa dhahiri. Kama upepo wa kampeni utaendelea hivi, basi CCM wajiandae kuachia Ikulu au wajiandae kuchakachua uchaguzi, lakini ni dhahiri wananchi wameshapitisha hukumu yao kuwa CCM imepwaya sana.
 
Muulize kama huo ndio muungano wa vyama vya upinzani aliotuahidi ataitangaza leo tarehe 3?
 
Mshua anakwama sana hajui kuongea huyo angebakigi tuu kuwa waziri maana hana busara kabisa na hana break na maneno yake mara maendeleo hayana chama, sisi wote ni watanzania mara ukichagua upinzani mtajuta sasa. Tumuelewe vp, mbona anafeli sana
 
Muulize kama huo ndio muungano wa vyama vya upinzani aliotuahidi ataitangaza leo tarehe 3?
Ni YEYE ...ahaa wewe mwenye unajua wazi maagizo aliyotoa jiwe kwa vibaraka wake NEC na Polisi dhidi ya upinzani makini..Sasa tulieni hash tag mpya aliyoanzisha Zito iwaingie vizuri
"chagueni mgombea mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli,je mnamfahamu?Ni yeye 2020"
 
Muulize kama huo ndio muungano wa vyama vya upinzani aliotuahidi ataitangaza leo tarehe 3?
Muungano wa hao jamaa hapo chini+TLP+TADEA naona unaendelea vzr.
Screenshot_2020-10-01-08-03-31-1.jpg
 
Ni YEYE ...ahaa wewe mwenye unajua wazi maagizo aliyotoa jiwe kwa vibaraka wake NEC na Polisi dhifi ya upinzani makini..Sasa tulieni hash tag mpya aliyoanzisha Zito iwaingie vizuri
"chagueni mgombea mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli,je mnamfahamu?Ni yeye 2020"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hadi huruma
 
Akiwa huko Mihambwe Zitto amewataka wananchi wachague mtu mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli.

Ndugu Zitto amewaambia wananchi kuwa lengo kuu ni kumshinda Magufuli na amewataka wananchi wasigawe kura, maana wakifanya hivyo Magufuli atapita katikati kiulainii.

Katika mahesabu makali ya upinzani namna ya kushirikiana ni dhahiri kwa muda mrefu ACT wazalendo wako na Tundu Lissu katika ngazi ya uraisi, na hii inathibitishwa na mgombea wao kutofanya kampeni yoyote kubwa hata katika maeneo yenye kuungwa mkono sana ACT kama vile Kigoma na mikoa ya kusini ukiondoa Lindi kwa mheshimiwa Membe.

Katika hali hii huu utakuwa ushirikiano wa kisayansi kuwahi kutokea nchini, na umeonyesha kuzaa matunda ndiyo maana CCM inahaha kutumia vyombo vya serikali kama NEC na polisi kuipa upendeleo wa dhahiri. Kama upepo wa kampeni utaendelea hivi, basi CCM wajiandae kuachia Ikulu au wajiandae kuchakachua uchaguzi, lakini ni dhahiri wananchi wameshapitisha hukumu yao kuwa CCM imepwaya sana
Hongera sana ACT wazalendo kwa uzalendo wenu. Ni vema vyama vingine vya upinzani viige mwenendo huu mwema uliooneshwa na ACT wazalendo ili tulete mabadiliko ya kweli ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ili kunusuru wananchi wetu na mazonge yanayowakabili. Eh Mwenyezi Mungu mnusuru TAL na mjaalie USHINDI wa kishindo.
 
Hee kumbe lengo ni kumshinda Magufuli na sio kuwaletea wananchi maendeleo??

Kwa mwananchi mwelewa atampa kura Magufuli aliyecommited na kuwaletea wananchi maendeleo na sio wagombea wanaotaka mashindano binafsi.
 
Akili nyingine sijui huwa inakuwaje hasa, huwezi kuwa na akili timamu kuongea majungu mbele ya umati wa watoto.
 
Mshua anakwama sana hajui kuongea huyo angebakigi tuu kuwa waziri maana hana busara kabisa na hana break na maneno yake mara maendeleo hayana chama, sisi wote ni watanzania mara ukichagua upinzani mtajuta sasa. Tumuelewe vp, mbona anafeli sana
Hatari sana
 
Katika mahesabu makali ya upinzani namna ya kushirikiana ni dhahiri kwa muda mrefu ACT wazalendo wako na Tundu Lissu katika ngazi ya uraisi, na hii inathibitishwa na mgombea wao kutofanya kampeni yoyote kubwa hata katika maeneo yenye kuungwa mkono sana ACT kama vile Kigoma na mikoa ya kusini ukiondoa Lindi kwa mheshimiwa Membe.

Katika hali hii huu utakuwa ushirikiano wa kisayansi kuwahi kutokea nchini,
kwani ni wapi ACT wametoa tamko rasmi la kumtosa niguse ninuke?
 
Hee kumbe lengo ni kumshinda Magufuli na sio kuwaletea wananchi maendeleo??

Kwa mwananchi mwelewa atampa kura Magufuli aliyecommited na kuwaletea wananchi maendeleo na sio wagombea wanaotaka mashindano binafsi.
Maendeleo yatakujaje chini ya Magu?
Anaetumia fedha zetu yeye na mpwa wake na mume mwenziwe?
Anaetumia pesa kuhonga wapinzani anaetumia Kodi zetu kiupendeleo ukichagua upinzan hakuna maji lkn haohao waliochagua upinzani Kodi zao unakusanya
 
Back
Top Bottom