Uchaguzi 2020 Zitto: Wananchi mchagueni mgombea mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli

Uchaguzi 2020 Zitto: Wananchi mchagueni mgombea mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli

Hee kumbe lengo ni kumshinda Magufuli na sio kuwaletea wananchi maendeleo??

Kwa mwananchi mwelewa atampa kura Magufuli aliyecommited na kuwaletea wananchi maendeleo na sio wagombea wanaotaka mashindano binafsi.
Ulikuwa hujui lengo nikumshinda kampomo ndubu lilitupate maendeleo haswa swala lauhuru nimaendeleo makubwa sana
 


Akiwa huko Mihambwe Zitto amewataka wananchi wachague mtu mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli.

Ndugu Zitto amewaambia wananchi kuwa lengo kuu ni kumshinda Magufuli na amewataka wananchi wasigawe kura, maana wakifanya hivyo Magufuli atapita katikati kiulainii.

Katika mahesabu makali ya upinzani namna ya kushirikiana ni dhahiri kwa muda mrefu ACT wazalendo wako na Tundu Lissu katika ngazi ya uraisi, na hii inathibitishwa na mgombea wao kutofanya kampeni yoyote kubwa hata katika maeneo yenye kuungwa mkono sana ACT kama vile Kigoma na mikoa ya kusini ukiondoa Lindi kwa mheshimiwa Membe.

Katika hali hii huu utakuwa ushirikiano wa kisayansi kuwahi kutokea nchini, na umeonyesha kuzaa matunda ndiyo maana CCM inahaha kutumia vyombo vya serikali kama NEC na polisi kuipa upendeleo wa dhahiri. Kama upepo wa kampeni utaendelea hivi, basi CCM wajiandae kuachia Ikulu au wajiandae kuchakachua uchaguzi, lakini ni dhahiri wananchi wameshapitisha hukumu yao kuwa CCM imepwaya sana.

Hongera sana Zitto na ACT kwa hekima kubwa.
 


Akiwa huko Mihambwe Zitto amewataka wananchi wachague mtu mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli.

Ndugu Zitto amewaambia wananchi kuwa lengo kuu ni kumshinda Magufuli na amewataka wananchi wasigawe kura, maana wakifanya hivyo Magufuli atapita katikati kiulainii.

Katika mahesabu makali ya upinzani namna ya kushirikiana ni dhahiri kwa muda mrefu ACT wazalendo wako na Tundu Lissu katika ngazi ya uraisi, na hii inathibitishwa na mgombea wao kutofanya kampeni yoyote kubwa hata katika maeneo yenye kuungwa mkono sana ACT kama vile Kigoma na mikoa ya kusini ukiondoa Lindi kwa mheshimiwa Membe.

Katika hali hii huu utakuwa ushirikiano wa kisayansi kuwahi kutokea nchini, na umeonyesha kuzaa matunda ndiyo maana CCM inahaha kutumia vyombo vya serikali kama NEC na polisi kuipa upendeleo wa dhahiri. Kama upepo wa kampeni utaendelea hivi, basi CCM wajiandae kuachia Ikulu au wajiandae kuchakachua uchaguzi, lakini ni dhahiri wananchi wameshapitisha hukumu yao kuwa CCM imepwaya sana.
Wamekwepa mitego na vitanzi muhimu vya mbinu chafu cha ccm na tume yake ya uchaguzi
 


Akiwa huko Mihambwe Zitto amewataka wananchi wachague mtu mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli.

Ndugu Zitto amewaambia wananchi kuwa lengo kuu ni kumshinda Magufuli na amewataka wananchi wasigawe kura, maana wakifanya hivyo Magufuli atapita katikati kiulainii.

Katika mahesabu makali ya upinzani namna ya kushirikiana ni dhahiri kwa muda mrefu ACT wazalendo wako na Tundu Lissu katika ngazi ya uraisi, na hii inathibitishwa na mgombea wao kutofanya kampeni yoyote kubwa hata katika maeneo yenye kuungwa mkono sana ACT kama vile Kigoma na mikoa ya kusini ukiondoa Lindi kwa mheshimiwa Membe.

Katika hali hii huu utakuwa ushirikiano wa kisayansi kuwahi kutokea nchini, na umeonyesha kuzaa matunda ndiyo maana CCM inahaha kutumia vyombo vya serikali kama NEC na polisi kuipa upendeleo wa dhahiri. Kama upepo wa kampeni utaendelea hivi, basi CCM wajiandae kuachia Ikulu au wajiandae kuchakachua uchaguzi, lakini ni dhahiri wananchi wameshapitisha hukumu yao kuwa CCM imepwaya sana.
Mkuu..Zitto na Mbowe sidhani kama ni wapinzani

Jifikirishe hua wanaweza kusema nini leo na kesho wakaligeuka neno lao lile lile,upinzani hapa nchini haujawahi kuja

Tunafanya siasa kumfariji mzungu ya kwamba tunasuguana,kitu ambacho anapenda maana bila hivyo yamkini akatuletea uasi,hizi zilikua akili kubwa za kina Nyerere,Jomo Kenyata, Patrice Lumumba, Balewa na wengineo..kutengeneza upinzani hewa wa kumlaghai mzungu na mzungu siyo mzuri sana kwetu
 
Mgovi ni magufuli tu! na wabunge wapewe ccm imekua? Sio membe tena wa ACT
 
Zitto mjasiriamali wa kisiasa
Hongera sana ACT wazalendo kwa uzalendo wenu. Ni vema vyama vingine vya upinzani viige mwenendo huu mwema uliooneshwa na ACT wazalendo ili tulete mabadiliko ya kweli ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ili kunusuru wananchi wetu na mazonge yanayowakabili. Eh Mwenyezi Mungu mnusuru TAL na mjaalie USHINDI wa kishindo.
 


Akiwa huko Mihambwe Zitto amewataka wananchi wachague mtu mwenye uwezo wa kumshinda Magufuli.

Ndugu Zitto amewaambia wananchi kuwa lengo kuu ni kumshinda Magufuli na amewataka wananchi wasigawe kura, maana wakifanya hivyo Magufuli atapita katikati kiulainii.

Katika mahesabu makali ya upinzani namna ya kushirikiana ni dhahiri kwa muda mrefu ACT wazalendo wako na Tundu Lissu katika ngazi ya uraisi, na hii inathibitishwa na mgombea wao kutofanya kampeni yoyote kubwa hata katika maeneo yenye kuungwa mkono sana ACT kama vile Kigoma na mikoa ya kusini ukiondoa Lindi kwa mheshimiwa Membe.

Katika hali hii huu utakuwa ushirikiano wa kisayansi kuwahi kutokea nchini, na umeonyesha kuzaa matunda ndiyo maana CCM inahaha kutumia vyombo vya serikali kama NEC na polisi kuipa upendeleo wa dhahiri. Kama upepo wa kampeni utaendelea hivi, basi CCM wajiandae kuachia Ikulu au wajiandae kuchakachua uchaguzi, lakini ni dhahiri wananchi wameshapitisha hukumu yao kuwa CCM imepwaya sana.

Sawa zito tumekusikia hatuchagui viongozi wenye tabia za ukabila plus kabulu hatu wezi kuchuga vingozi makabulu eti kwasabu ni weusi ni makabulu tu
 
Back
Top Bottom