Zitunze Dharau zao kuna siku watazihitaji so itakusaidia

Zitunze Dharau zao kuna siku watazihitaji so itakusaidia

Rwetembula Hassan Jumah

Senior Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
140
Reaction score
188
Mungu fundi bhana.. Tumbo lingekuwa na kioo tungeona mengi 😁viazi, magimbi vitumbua n.k ila akajua akili zetu na tabia zetu. Ule baga au magimbi wote tunaishi.. unyama sana yaani.

[ ] Ushajenga nyumba yanini ukae nje? Ili watu wakuone kuwa nyumba yako😁
[ ] Umenunua gari ila ukaona ufungue kioo wakuone kuwa mwenye gari wewe 😁
[ ] Umekula baga wote sawa na aliyekula magimbi wote safari moko 😁
Usijitape sana... #LifeSGoingGone.
 
Back
Top Bottom