Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Kama hili lina ukweli ni jambo lisilokubalika na kuvumilika. Ni dharau kubwa. Ikiwezekana wachapwe tuu.Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.
Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.
Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
PoliCCM wanaoning’niza JWTZ kama popo na kuwaminya makende waende kuwateka Malawi sasa tuone😄Hao maaskari wanaolindaga mipaka walikuwa wapi hadi wamalawi wahamishe mipaka?
Ina maana hamna wanajeshi kabisa kwenye hilo ziwa!? Kama ni hivyo, basi hatuko salama!
Usiogope PoliCCM wapo ngangali kinoma, hao Malawi wataning’nizwa kama popo na Kutupwa, kama walivyofanywa JWTZ.Jamani Watanzania tokeni kwenye mapenzi nchi inamegwa kimasihara 😢
Kazi ndogo sana hii kwa PoliCCM watawaonyesha Malawi cha mtema kuni. Malawi wajifunze kwa JWTZ walivyopotezwa na kupoteana.Serikali ina la kujibu haraka kwa hili hawa Malawi wanatudharau sana, sisi hawa tuna uwezo wa kuwaweka chini ya ulinzi for years, hata mm nimecheki Google, kweli Malawi kwenye ramani wamechukua ziwa lote la Nyasa. Hii haikubaliki milele, tuna uwezo wa kuichukua ziwa zima na kuichukia Malawi yote, kwa mkupuo. Serikali lazima iwe aggressive ASAP.
Wafaransa huwajui wewe kumbe? Wale mapimbi sehemu zote walipo kuna migogoroKampuni gani itarisk kufanya biashara eneo lenye mgogoro.
Tatizo unataka niwe mzalendo wa vugu vugu la kiafrika, uzalendo wangu ni kwa nchi yangu Zanzibar iliotekwa na kukaliwa kimaguvu na Tanganyika.Kuwa mzalendo
Kwani makubaliano ya bahari kuu yakoje?Wazanzibari kwani wanasemaje wao?
Kumbuka wameshaanza kuchonga na mabeberu waje wachimbe rasilimali zilizopo ndani ya ziwa hilo
hao ni chadema wamechukua ziwa nyasa, tutapambana nao na tutawatengenezea kesi za kigaidiNawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.
Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.
Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.
Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠
Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.
Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.
View attachment 1804817
Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.
View attachment 1804818
Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.
Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?
Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?
Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.
Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
amekosa cha kuandika, sivyo kabisa kama anavyo dai layman, tupa pembeniWazungu hawana nguvu.
Sureamekosa cha kuandika, sivyo kabisa kama anavyo dai layman, tupa pembeni
Ndugu yangu,Mungu atafanya kitu kwa ajili yetu.Imeshaeleweka, umeona post za vyombo vya ulinzi na usalama zinataka watu wa skills zipi?
kwani malawi hawana haki?Serikali ina la kujibu haraka kwa hili hawa Malawi wanatudharau sana, sisi hawa tuna uwezo wa kuwaweka chini ya ulinzi for years, hata mm nimecheki Google, kweli Malawi kwenye ramani wamechukua ziwa lote la Nyasa. Hii haikubaliki milele, tuna uwezo wa kuichukua ziwa zima na kuichukia Malawi yote, kwa mkupuo. Serikali lazima iwe aggressive ASAP.