Ziwa Nyasa limeporwa kikamilifu?

Ziwa Nyasa limeporwa kikamilifu?

Mpaka uko katikaki.. Tanzania haijawahi kuwa na aibu kulitumia hili Ziwa.. hata tukiamua kuchimba Mafuta hakuna wakutuzia.

Refer to China Sea na akina Ufilipino
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.


Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
Kama hili lina ukweli ni jambo lisilokubalika na kuvumilika. Ni dharau kubwa. Ikiwezekana wachapwe tuu.
 
Serikali ina la kujibu haraka kwa hili hawa Malawi wanatudharau sana, sisi hawa tuna uwezo wa kuwaweka chini ya ulinzi for years, hata mm nimecheki Google, kweli Malawi kwenye ramani wamechukua ziwa lote la Nyasa. Hii haikubaliki milele, tuna uwezo wa kuichukua ziwa zima na kuichukia Malawi yote, kwa mkupuo. Serikali lazima iwe aggressive ASAP.
 
Hao maaskari wanaolindaga mipaka walikuwa wapi hadi wamalawi wahamishe mipaka?

Ina maana hamna wanajeshi kabisa kwenye hilo ziwa!? Kama ni hivyo, basi hatuko salama!
PoliCCM wanaoning’niza JWTZ kama popo na kuwaminya makende waende kuwateka Malawi sasa tuone😄
 
Serikali ina la kujibu haraka kwa hili hawa Malawi wanatudharau sana, sisi hawa tuna uwezo wa kuwaweka chini ya ulinzi for years, hata mm nimecheki Google, kweli Malawi kwenye ramani wamechukua ziwa lote la Nyasa. Hii haikubaliki milele, tuna uwezo wa kuichukua ziwa zima na kuichukia Malawi yote, kwa mkupuo. Serikali lazima iwe aggressive ASAP.
Kazi ndogo sana hii kwa PoliCCM watawaonyesha Malawi cha mtema kuni. Malawi wajifunze kwa JWTZ walivyopotezwa na kupoteana.
 
Malawi waongeze na kipande cha ardhi , wahuni kina Mwigilu wakitwambia tuhame nchi ,tupate pakwenda.
Nchi inaongozwa na wapumbavu hii , imekua ni kama haina mwenyewe. BLADIFEKENI.
Wananchi tunaambiwa tuhame Nchi.
Wanajeshi wa JWTZ wananing’nizwa kama popo na PoliCCM . MAZAFANTA.
 
Kuwa mzalendo
Tatizo unataka niwe mzalendo wa vugu vugu la kiafrika, uzalendo wangu ni kwa nchi yangu Zanzibar iliotekwa na kukaliwa kimaguvu na Tanganyika.

Kwa ufupi Tanganyika inahitaji kufocus on its resources, kujizonga na complexity ya muungano au kulinda mipaka yake. Tuko busy sana kurekebisha kero, ambazo ukitatuliwa inazaa nyengine ... just waste of resources.

Mambo ya msingi yanawapita kama hayo ya kulinda mipaka ya Tanganyika. Mambo ya muungano ni complex na nadhani hatujafikia level ya kuungana na wazanzibari hatutaki haswa ni kulazimishana tuu!
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.

Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.

Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠

Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.

Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.

View attachment 1804817

Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.

View attachment 1804818

Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.

Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?

Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?

Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.

Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
hao ni chadema wamechukua ziwa nyasa, tutapambana nao na tutawatengenezea kesi za kigaidi
 
Inauma lakini inavyoonekana huenda Tanzania hatuna chetu pale! Ni ziwa la wanyasa wa Malawi.
 
Inasemekana ziwa Victoria, Nyasa, Tanganyika na sisi tuliyapora !!
 
Imeshaeleweka, umeona post za vyombo vya ulinzi na usalama zinataka watu wa skills zipi?
Ndugu yangu,Mungu atafanya kitu kwa ajili yetu.
Nimesikitika sana kusoma vile vigezo.Huenda tukawa nchi ya kwanza duniani.Sijawahi sikia jambo la aina hii popote.Only in Tz.
 
Serikali ina la kujibu haraka kwa hili hawa Malawi wanatudharau sana, sisi hawa tuna uwezo wa kuwaweka chini ya ulinzi for years, hata mm nimecheki Google, kweli Malawi kwenye ramani wamechukua ziwa lote la Nyasa. Hii haikubaliki milele, tuna uwezo wa kuichukua ziwa zima na kuichukia Malawi yote, kwa mkupuo. Serikali lazima iwe aggressive ASAP.
kwani malawi hawana haki?
Pumbavu!
 
Back
Top Bottom