Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Mkuu, umewahi kufika mpakani kati ya nchi mbili lakini? Maana swali lako, du, hadi jasho la pua!Hao maaskari wanaolindaga mipaka walikuwa wapi hadi wamalawi wahamishe mipaka?
Ina maana hamna wanajeshi kabisa kwenye hilo ziwa!? Kama ni hivyo, basi hatuko salama!
Wabongo wanachukuliaga vitu rahisi sana,ila mwishoni wanabak kulia kumbe ni mambo ya kudharau. Heb waza mtoto anaezaliwa na kuona mipaka ikiwa hivyo. Baada ya miaka 50 halijaporwa? Nani atasema hakuona mipaka? Hapo mazingira yametengenezwa ya kizazi hata kingine kipate urahisi wa kulichukua kwa maneno tu.Huu ni mwanzo. Kama wazungu wamekubali kubadili huo mpaka kwa kumega nchi yetu huoni kuna siku tutapigwa marufuku kukanyaga ndani ya hilo ziwa?
Tuna vijana wanapenda sana Jeshi halafu wanakaa tu bila kazi.Mtaweza kuwapelekea 🔥 au maneno tu
Wanaonea raia tu😁Tuna vijana wanapenda sana Jeshi halafu wanakaa tu bila kazi.
Sasa kwanini hao maaskari wasitoe taarifa kwa wenye mamlaka?Mkuu achana na wanajeshi wanaolinda mpaka maana unaweza kuta wapo lakini Malawi inapambana kimyakimya kwenye mashirika ya kimataifa ili ionekane ina haki zaidi siku wakiamua kuwatimua wanajeshi wetu/kama wapo ipate uungwaji mkono wa kimataifa.
Wewe huoni mabeberu wanaoamua mipaka ya kimataifa wameshachora mpaka mpya kuipendelea Malawi?
Safi sana! mleta mada tusaidie kujua!Kwani meli zetu zinatumia maji yepi?
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.
Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.
Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.
Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠
Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.
Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.
View attachment 1804817
Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.
View attachment 1804818
Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.
Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?
Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?
Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.
Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Rukwa ni wao
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.
Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.
Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.
Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠
Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.
Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.
View attachment 1804817
Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.
View attachment 1804818
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.
Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.
Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.
Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠
Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.
Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.
View attachment 1804817
Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.
View attachment 1804818
Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.
Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?
Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?
Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.
Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Rukwa ni wao
Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.
Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?
Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?
Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.
Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Rukwa ni wao
Ni busara kufanya tafiti na angalau hata kujua chanzo cha huo mzozo, kabla ya kuandika kitu usichokielewa kwa ufasaha. Ikumbukwe mzozoNawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.
Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.
Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.
Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠
Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.
Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.
View attachment 1804817
Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.
View attachment 1804818
Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.
Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?
Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?
Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.
Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Rukwa ni wao
Nani kakuambia serikali yetu ni maskini was kifedha??? Hii ni maskini wa akiliNa hili ni tatizo la Kuwa na serikali masikini, kwani kwa miaka 60 sasa hatujachukua hata hatu kuwekeza kwenye hayo maziwa, hata kuweka Boti za wanajeshi Kufanya doria kuweka maboya Kuchora ramani ya nchi yetu na kuiweka Kwenye satellite, hivyo vitu vinahitaji pesa, na serikali haina pesa, Umasikini ni laana sana
Heligoland Treaty ilikuwa 1890 na sio 1870 kama ulivyosema. Hii no katika kuweka mambo sawa. Ndo raha ya Jamii forumKwa ramani ambazo Malawi wanazitumia ziwa Nyasa linaonekana hivyo na wao wanaliita Lake Malawi. Lakini kwa ramani za mitaala ya Tanzania ziwa Nyasa limegawanyika kwa dotted lines. Ukiona dotted lines kwenye ramani maana yake hiyo border iko kwenye dispute.
Hata Malawi kipindi cha Muluzi kurudi nyuma walikuwa wanaweka dotted lines, lakini alipokuja yule Rais Mwanamama wa kwanza wa Malawi, Joyce Banda akaja na ajenda ya kuwa ziwa ni la Malawi pekee kadri ya Heligoland Treaty ya 1870.
Najua maongezi ya umiliki wa ziwa Nyasa yanaendele kati ya nchi zetu 2 chini ya uratibu wa Ex President wa Mozambique Joachim Chissano
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Halafu ukiwa hapo hotelini kwa Mwamunyange, tunatumiwa sms kwenye simu zinasema Welcome to Malawi.