Zlatan Ibrahimovic ajiachia mtaani na Ferrari yake ya Sh BILIONI 1.2

Zlatan Ibrahimovic ajiachia mtaani na Ferrari yake ya Sh BILIONI 1.2

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] punguza makasiriko kwan wee kaka, mbna unateseka na maisha ya watu lol.
Nadhani ukinisoma tangia mwanzo utabadilisha hii kauli...., Mimi Motto yangu ni to each his/her Own..., Nikimaanisha hata mtu pesa zake akiamua kuzichoma kama kuni ili zimpatie joto ni prerogative yake...

Ndio maana nikajibu kuanzia mwanzo swali lililoulizwa (wewe ni zawadi gani ya thamani uliyoshawahi kujinunulia) ?, Jibu langu likawa thamani kwa jicho la nani ? Thamani inaweza ikawa subjective...., unadhani mfano hata huyo Zlatan kama alivyokuwa mdogo alijinunulia viatu vya kuchezea mpira ambavyo vilimfanya apende kufanya mazoezi zaidi na kuja kumfanya kuwa Star hadi kuweza kukidhi his needs and wants; kipi kina thamani zaidi hapo ? (Vile Viatu vilivyomfikisha hapa au Hilo gari ambalo huenda Insurance yake kila mwaka linaweka dent kwenye his Bank Account)
 
Mimi hata simwelewii huyu ndugu yako,Yuko busy anaponda Ferrari ya watu eti Bora ng'ombe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukifuatilia ninachojibu huenda ukaelewa..., Mmasai unampelekea Ferrari ili atumie fuel gani (maziwa ?) au aendeshe kwenye barabara zipi ? na Spare zitoke wapi ?

Kwa mfano mwingine labda nikuulize ni kipi chenye thamani Jangwani ? , Ngamia au Ferrari ?
 
Si uongee kiswahili tu....unapanic na magari ya watu kwa nini?
Tupende kuelewa tunachokiongelea au mwingine anaongelea nini tutaepuka kutoka kwenye mjadala au kulishana maneno....

Swali ni Kipi chenye thamani umeshawahi kujinunulia; Majibu yote yakatokana kwenye hili Swali (Thamani kwa macho ya nani ?..., Nyama kwa Wengine inaweza kuwa Sumu kwa Mwingine)...

Kitu kuwa na Gharama Bei Fulani sio kweli kwamba kilichotengeneza hicho kitu gharama yake ni hio (Gharama inatokana na Brand na watu kufanya Marketing na Positioning ya kitu Husika)

Oxygen huenda ina thamani kubwa sana kwa kiumbe hai, ingawa sababu inapatikana kila sehemu unaweza kuona haina maana...,

Kwahio hapa nani anaongelea magari au watu....
 
Hivi zlatan anatosha kwenye ferrari? Mi nlijua wakina neymar na raheem tu ndio wanatosha, yeye aendeshe RR
Vitu kama hivyo ambavyo vimekuwa positioned kwenye exclusivity unaweza kuongea na kiwanda wanafanya customization yaani kama vile unavyoenda kushona Suti inapimwa kutokana na matakwa yako na umbo lako..., Sio mambo ya Mass Production
 
Sasa Kama hajui value au marketing tumsaidiaje. Ahame tu
Sio kwamba hajui Value huenda yeye ndio anajua Value kuliko wewe na Mimi..., nasema huenda hajui Marketing...., kuweza kufanya product yake kwenye macho ya watu kuonekana exclusive..., hivi unajua kuna Beef inauzwa zaidi ya USD 200 kwa Kilo


Au unadhani wafugaji wote wakifanya cartel na kupelekea kupandisha kilo ya nyama mpaka elfu 50 watu wataacha kununua ? (Au kila mtu atafuga mwenyewe)? Ndio maana nikasema tena Thamani kwa macho ya nani ? (Kumbuka siongelei Gharama ya Pesa, kitu kinaweza kikawa na gharama ndogo ya pesa lakini kikawa na gharama kubwa ya Muda na Utengenezaji)

Ungeenda kwa Red Indians huenda hata hilo gari usingeweza kulibadilisha kwa hata fungu la nyanya.... Sababu kwao Uthamani upo Pengine na Motto yao ni :-

“When the last tree has been cut down, the last fish caught, the last river poisoned, only then will we realise that one cannot eat money,”
 
Ukifuatilia ninachojibu huenda ukaelewa..., Mmasai unampelekea Ferrari ili atumie fuel gani (maziwa ?) au aendeshe kwenye barabara zipi ? na Spare zitoke wapi ?

Kwa mfano mwingine labda nikuulize ni kipi chenye thamani Jangwani ? , Ngamia au Ferrari ?
Labda mi kilaza,sikuelewi....Sasa hapo Abra yupo umasaini?
 
Tupende kuelewa tunachokiongelea au mwingine anaongelea nini tutaepuka kutoka kwenye mjadala au kulishana maneno....

Swali ni Kipi chenye thamani umeshawahi kujinunulia; Majibu yote yakatokana kwenye hili Swali (Thamani kwa macho ya nani ?..., Nyama kwa Wengine inaweza kuwa Sumu kwa Mwingine)...

Kitu kuwa na Gharama Bei Fulani sio kweli kwamba kilichotengeneza hicho kitu gharama yake ni hio (Gharama inatokana na Brand na watu kufanya Marketing na Positioning ya kitu Husika)

Oxygen huenda ina thamani kubwa sana kwa kiumbe hai, ingawa sababu inapatikana kila sehemu unaweza kuona haina maana...,

Kwahio hapa nani anaongelea magari au watu....
Mkuu unaongea vitu vigumu kwenye mada nyepesi
 
Zlatan Ibrahimovic ameonekana mitaa ya Jiji la Milan akiwa kwenye gari lake aina ya Ferrari SF90 Stradale, ambalo thamani yake inatajwa kuwa ni £400,000.

Kiwango hicho cha fedha kwa thamani ya fedha za Tanzania ni zaidi ya Sh bilioni 1.2.

Staa huyo wa AC Milan alijinunulia gari hilo kama zawadi ya kutimiza umri wa miaka 40, Oktoba 3, mwaka jana.

Wewe ni zawadi gani ya thamani umeshawahi kujinunulia?

View attachment 2116094

View attachment 2116095
Chips na Mirinda nyeusi,au sisi haturuhusiwi kuchangia huu uzi...!
 
Labda mi kilaza,sikuelewi....Sasa hapo Abra yupo umasaini?
Hivi Unajua Mjadala umeanzia wapi ?

Thamani Kwenye Macho ya Nani ? (Au Mmasai Hana Macho)?

Mbona rahisi sana tu Kwenye macho ya mmasai anachothamini ni tofauti na kwenye macho ya Star ambaye inabidi aweke status yake exclusive na kulinda brand yake...., Leo Zlatan akiendesha Beetle huenda akakosa matangazo na washabiki wake wanaofuatilia lifestyle yake wakamtenga kwamba status imeshuka...., Au Ferrari akianza ku-mass produce magari na bei kushuka huenda walionayo sasa wakayagawa kwamba yamekuwa mainstream...
 
Zlatan Ibrahimovic ameonekana mitaa ya Jiji la Milan akiwa kwenye gari lake aina ya Ferrari SF90 Stradale, ambalo thamani yake inatajwa kuwa ni £400,000.

Kiwango hicho cha fedha kwa thamani ya fedha za Tanzania ni zaidi ya Sh bilioni 1.2.

Staa huyo wa AC Milan alijinunulia gari hilo kama zawadi ya kutimiza umri wa miaka 40, Oktoba 3, mwaka jana.

Wewe ni zawadi gani ya thamani umeshawahi kujinunulia?

View attachment 2116094

View attachment 2116095
We ulitaka ajiachie wapi tafuta hela we kijana
 
Ukifuatilia ninachojibu huenda ukaelewa..., Mmasai unampelekea Ferrari ili atumie fuel gani (maziwa ?) au aendeshe kwenye barabara zipi ? na Spare zitoke wapi ?

Kwa mfano mwingine labda nikuulize ni kipi chenye thamani Jangwani ? , Ngamia au Ferrari ?
Acha kutumia mifano usiyo na uwiano, Ferrari ni Ferrari na hailinganishwi na ng'ombe.
Ferrari iliyoongelewa hapo haina uhusiano wowote na mmasai hivyo huo mfano wako huo utabaki kuwa kichekesho tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutumia mifano usiyo na uwiano, Ferrari ni Ferrari na hailinganishwi na ng'ombe.
Ferrari iliyoongelewa hapo haina uhusiano wowote na mmasai hivyo huo mfano wako huo utabaki kuwa kichekesho tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rudia kusoma tangia nilipotoka ili kuepusha kujirudia yaleyale..., Na kabla ya hapo Jiulize Thamani maana yake ni Nini ? Pia Jiulize kama Thamani, Bei au Gharama ni kitu kilekile....

In short mjadala mzima umeanzia kwenye jibu langu post namba tatu huu ni muendelezo ya maswali na majibu...

By the way nakuacha na hio article (kwamba ng'ombe ni ng'ombe na halinganishwa na Ferrari)

Missy is a Holstein cow who was auctioned for $1.2 million in 2009, making her the most expensive cow in the world at that time.

Hapo ni kukumbusha tu Price na Value sio necessarily direct proportional
 
Mifano yako ni irrelevant, huyu ng'ombe aliyetajwa kwenye mfano wako ni sawa na hao ng'ombe wa Wamasai?
Branding branding nasisitiza tena branding, Ferrari is a big brand which means hata huyo ng'ombe tajwa in a way 'alitengenezwa' kuwa brand.
IMG_20220212_121612.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wivu,masononeko, inferiority complex, anxiety na umasikini unakusumbua we Joseph kusheku msukuma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe kutokutupenda huto tuvitu ni masononeko?!!...we utakuwa una siku ya 3 hujala sasa una hasira kali
 
Rudia kusoma tangia nilipotoka ili kuepusha kujirudia yaleyale..., Na kabla ya hapo Jiulize Thamani maana yake ni Nini ? Pia Jiulize kama Thamani, Bei au Gharama ni kitu kilekile....

In short mjadala mzima umeanzia kwenye jibu langu post namba tatu huu ni muendelezo ya maswali na majibu...

By the way nakuacha na hio article (kwamba ng'ombe ni ng'ombe na halinganishwa na Ferrari)

Missy is a Holstein cow who was auctioned for $1.2 million in 2009, making her the most expensive cow in the world at that time.

Hapo ni kukumbusha tu Price na Value sio necessarily direct proportional
Mkuu nimekufuatilia mchango wako kwenye hii thd na nimekuelewa vizuri sana,Big up.
 
Hivi Unajua Mjadala umeanzia wapi ?

Thamani Kwenye Macho ya Nani ?
Ninajua vizuri ulipoanzia,rejea kwenye jibu lako la kwanza kabisa....mleta Uzi kaongelea gari la thamani ukaanza kubisha thamani kwenye macho ya Nani,Kuna vitu Ni vya thamani tu haijalishi viko jangwani,umasaini au down town Washington DC......Tuje na tabia ya ku appreciate vtu vya watu na sio kubeza jamani.
 
Back
Top Bottom