Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Sasa wewe umejibu nini na mimi tangia mwanzo nasema nini ?Mifano yako ni irrelevant, huyu ng'ombe aliyetajwa kwenye mfano wako ni sawa na hao ng'ombe wa Wamasai?
Branding branding nasisitiza tena branding, Ferrari is a big brand which means hata huyo ng'ombe tajwa in a way 'alitengenezwa' kuwa brand.
View attachment 2117045
Sent using Jamii Forums mobile app
What is Branding ? Utagundua kwamba branding ni kui-place bidhaa fulani kwenye akili ya wanunuzi / walaji ili kukidhi mahitaji yao..., pia ndio maana kuna market segmentation Ferrari wanabrand bidhaa zao kutokana na watu fulani au status fulani..., kwa macho ya celebrity (walengwa) brand hio hio huenda isifanye kazi kwa Mmasai..., Sababu kwa macho ya mmasai yeye value kwake ni tofauti...., Status / Chakula / Utajiri vyote vinapatikana kwenye ng'ombe....
Pili sio kila mtu anakuwa swayed na marketing (in essence wewe unaweza kuambiwa kwenye adverts kwamba Juice ya kwenye Pakti processed ni bora na ndio inafaa zaidi) ila uhalisia ukawa ya kukamua mwenyewe ikawa bora kwa afya ingawa ya kukamua ni bure kwa bibi yako na ya pakti ni elfu kadhaa....