Zoezi la Anuani za makazi ni Bomba lakini kasoro hii itajitokeza

Zoezi la Anuani za makazi ni Bomba lakini kasoro hii itajitokeza

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Baada ya halimashauri na vitongoji kutakiwa waweke wenyewe nguzo na vibao vya majina vya mitaa Yao tayari kumeshazorotesha zoezi Zima za Anuani za makazi. Kwani huko mitaani Kuna shida ya mchwa, mvua, Kuni, wahuni na umaskini. Kama watatumia Mbao/miti kwenye kuweka alama hizi itakuwa kazi ya bure kabisa. Chuma, ciment, mchanga, kokoto, maji na rangi vinahitajika kwenye kazi hii.

La sivyo kila mtaa wakazi waombwe wauze Kuku ili lazima watoe mchango wa kugharamia kusimika kibao Chao Cha Anuani yao ya makazi cha kudumu, kisichopata kitu, kisichoungua, kisichoweza kisogezwa na wahuni, kicholiwa na mchwa na kisichovutika wakati wa mvua.
 
hapo ndipo utaona watendaji wetu wa chini watatumia fedha vizuri au sataripua.
nia ya serikli ni njema ila mara zote watekelezaji ambao ni watendaji mara zote wanawaza kupiga pesa.
 
Back
Top Bottom