Zoezi la Huduma za Afya aliloanzisha Makonda liwekewe utaratibu kwa kila mkoa

Zoezi la Huduma za Afya aliloanzisha Makonda liwekewe utaratibu kwa kila mkoa

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Nipongeze ubunifu huu wa kipekee ambao umefanywa na R.C Makonda.
sasa ni muhimu ukawekwa utaratibu kwa kila Mkoa kufanya jambo hili ikibidi kwa mwaka mara moja.

zoezi hili lipewe jina la "wiki ya Afya kitaifa" ambapo madaktari bingwa nchini watatoa huduma zao bure kwa wananchi .

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Tafsiri ya umati ule wa watu wagonjwa.... Tafsiri yake ni nini?
 
  • Thanks
Reactions: I M
Nipongeze ubunifu huu wa kipekee ambao umefanywa na R.C Makonda.
sasa ni muhimu ukawekwa utaratibu kwa kila Mkoa kufanya jambo hili ikibidi kwa mwaka mara moja.

zoezi hili lipewe jina la "wiki ya Afya kitaifa" ambapo madaktari bingwa nchini watatoa huduma zao bure kwa wananchi .

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Zoezi la kucheza na akili za Wapumbavu wa hili Taifa, Badala ya kusema Huduma za Afya ziimarishwe mnakuja na hoja za kijinga jinga hizi, nini sababu ya hilo zoezi?


Sababu kubwa ni huduma Duni za Afya na nazania mnatamani huduma zisiboreshwe ili hayo mazoezi yawepo kwa ajili ya siasa?

Huduma Duni na Umasikini ndio sababu ya hilo zoezi, Imarisha Huduma za Afya na Vipato vya watu kama utaona mtu hapo.
 
Nipongeze ubunifu huu wa kipekee ambao umefanywa na R.C Makonda.
sasa ni muhimu ukawekwa utaratibu kwa kila Mkoa kufanya jambo hili ikibidi kwa mwaka mara moja.

zoezi hili lipewe jina la "wiki ya Afya kitaifa" ambapo madaktari bingwa nchini watatoa huduma zao bure kwa wananchi .

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mmeshindwa kutoa huduma katika taasisi rasmi kama mahospitali, mahakama nk, mmebaki kutaka kutoa huduma za kiki ili kuhadaa wananchi kuelekea uchaguzi. Huu usanii naufananisha na ule msaada wa kisheria wa mama Samia. Kipi kinafanya mshindwe kutoa huduma satahiki kwenye hospitali za serekali, ila muweze kwenye hizo hospitali take away? Acheni hadaa za kipuuzi.
 
U
Huyu jamaa ana nyota.

Usafi kila jumamos ikawa ya kitaifa

Sasa afya tena linaenda kuwa la kitaifa
Nyota gani? Hii nchi imejaaa Mazezeta kweli kweli,tuna shida sana, Sikiliza wewe mjinga, Umasikini na Huduma Duni za Afya ndio sababu. na CCM hawako tiyali kuona umasikini unaondoka make ndio mtaji wao huo, ni lazima umasikini uwepo ili wawe wanawafanyia hadaa kama hizi.
 
U
Huyu jamaa ana nyota.

Usafi kila jumamos ikawa ya kitaifa

Sasa afya tena linaenda kuwa la kitaifa
Usafi jambo zuri sana tena vizuri tuanzie chini kabisa kama mitaa na madiwani au viongozi wao, iwe ya kujitolea isiwe lazima, miti na maua ipandwe, mitaro michafu na barabara isafishwe etc tujenge culture ya usafi
 
Wote waliokwenda kupata huduma ni masikini wa kutupwa.

Mifumo yetu ya afya haina habari na masikini.

Bima ya afya kwa wote ni muhimu na lazima.
Mkuu pale ni sehemu ya kucheza na akili za Wajinga, CCM wanapenda saba masikini, na hawako tiyali kuona umasikini unaisha make umasikini ukitoweka hizi swaga hazitakuwepo.

Pia wanacheza na akili za Wajinga wa hili Taifa, Badala kuimarisha huduma za Afya wanakuja na swaga za kisiasa.
Wajinga humu wanasapoti ujinga
 
Back
Top Bottom