Wishes zako.Kuhusu kuwekewa chip au GPS sio rahisi maana teknolojia ipo ya kubaini mtu aliyewekewa vifaa hivyo. Sema ninachofikiri mimi Israel lengo lake ni kuwapata mateka wake , hivyo akishafanikiwa kuwapata tutasikia amerudi kuitwanga tena Gaza.
Pia kutokana na jinsi waarabu walivyo wasaliti na rahisi kurubuniwa inawezekana tayari deal limefanyika baina ya Israel na baadhi ya mateka wa kipalestina kuwahakikishia maisha mazuri na Mshiko wa maana kama watakubali kuwa mawakala wao. Hao hao mateka wa kipalestina ndio watakaokuwa wanauza ramani na mipango ya wenzao. Asilimia kubwa ya waarabu husalitiana wao wenyewe
Netanyahu baada ya kuugua tezi Dume akili inamjia na kumtoka esabu azikai sawa!! TEZI DUME sio mchezo!!!Hamas wameishatuma majina Natenayahu sijui anataka majina gani tena anaumia sana maana moja ya merengo yake ya vita kuwarudisha mateka Israel kwa kuwakomboa sasa anapewa masharti na Hamas.
Wameaibika sana waisrael adi jehova wa tz wamechutama kwa aibu!!!Kichekesho sasa; kaeneo kenyewe ka Gaza ni kadogo tu! Lakini Mayahudi na intelijensia yao maarufu duniani, wameshindwa kutambua walipo hao mateka! Na badala yake waliishia tu kuua wanawake wengi wa Kipalestina na watoto wao; na pia kuharibu majengo.
Mateka wamepatinaHamas wameishatuma majina Natenayahu sijui anataka majina gani tena anaumia sana maana moja ya merengo yake ya vita kuwarudisha mateka Israel kwa kuwakomboa sasa anapewa masharti na Hamas.
Israel kashurutishwa na Trump Hana Mpango wowoteKuhusu kuwekewa chip au GPS sio rahisi maana teknolojia ipo ya kubaini mtu aliyewekewa vifaa hivyo. Sema ninachofikiri mimi Israel lengo lake ni kuwapata mateka wake , hivyo akishafanikiwa kuwapata tutasikia amerudi kuitwanga tena Gaza.
Pia kutokana na jinsi waarabu walivyo wasaliti na rahisi kurubuniwa inawezekana tayari deal limefanyika baina ya Israel na baadhi ya mateka wa kipalestina kuwahakikishia maisha mazuri na Mshiko wa maana kama watakubali kuwa mawakala wao. Hao hao mateka wa kipalestina ndio watakaokuwa wanauza ramani na mipango ya wenzao. Asilimia kubwa ya waarabu husalitiana wao wenyewe
Hajashinda chochote zaidi ya hasaraAisee hamas wanampa Netanyahu mashari hadi Netanyahu anachafukwa kabisa.Kwenye hii vita hamas kashinda hatari hatari
Wewe Yahudi mweusi wa Nzega mbona unaumia sana?Arabu Koko la Manerumango! Nani kapoteza kwa akili yako?