Nzige na Rubani wote wanatokea Kenya.Waziri wa kilimo Prof Mkenda ameagiza zoezi la kuua nzige waliovamia mkoa wa Kilimanjaro liendelee kesho baada ya leo kusimama kwa sababu pilot wa ndege ya kumwaga sumu aliiacha ndege na kurejea Kenya.
Prof Mkenda amesema atamfuatilia pilot huyo kupitia mamlaka zake za juu na kwamba kesho itatumika ndege ya Shirika la Chakula Duniani FAO.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Ni hiyo iliyoachwa na rubani!
childish commentBombadier, Airbus Zitumike Kunyunyiza Dawa
Wange kodisha tu hawa jamaa kutoka China !Tunapoteza Protien! Hivi, hao nzige hawanaswi na mitego ya Senene itumikayo Kagera na Uganda!!!
Asante sana mkuu kwa taarifa hii muhimu.Wange kodisha tu hawa jamaa kutoka China !
Na wana kula na kunya 😂Asante sana mkuu kwa taarifa hii muhimu.
Ila nawaza wakiisha nzige hili jeshi la bata unalilisha na msosi gani🤔🤔🙄🙄🙄
Uko sahihi! Nimepita stend ya Msamvu, Morogoro...taa za kwenye dali kwenye vizimba vya mawakala wa mabasi inaning'inia kwa kushikiliwa na waya! Pia kuna kasoro nyingine ambazo inaonekana bajeti ya ukarabati ama haijatengwa ama imetengwa na inatafunwa na wasiotakia mema miradi yetu hii!Sisi ni wabovu sana kwenye ku sustain miradi, tunachoweza ni procurement tu, tukishapata 10% tuna dump mitambo na kujipanga kuhujumu mradi tulioanzisha wenyewe kwa fedha zetu wenyewe
Ndivyo tulivyo, ni watu wa ajabu sanaUko sahihi! Nimepita stend ya Msamvu, Morogoro...taa za kwenye dali kwenye vizimba vya mawakala wa mabasi inaning'inia kwa kushikiliwa na waya! Pia kuna kasoro nyingine ambazo inaonekana bajeti ya ukarabati ama haijatengwa ama imetengwa na inatafunwa na wasiotakia mema miradi yetu hii!
Hapo ujue hizo taa zilinunuliwa sub-standard, ukienda maeneo ya Mission utaona taa zilizowekwa na wazungu miaka hiyo bado zinafanya kazi mpaka leo, lakini kwenye hii miradi taa zinadumu mwaka zinakufataa za kwenye dali kwenye vizimba vya mawakala wa mabasi inaning'inia kwa kushikiliwa na waya!
Wachache Kama mnao wengi why mmechuka kenya,?Nao wanajisikia
No kuna kama jointventure au tuseme mradi wa pamoja kukabiliana na janga la ndege inaendeshwa kwa pamoja baina ya Kenya na Tanzania....baada ya kunyunyiza siku moja rubani kapaki ndege karudi kenya bila taarifa wala sababu.
Ni kama Kuna hujuma flan zoezi hili lisifanikiwe
Sasa kama zipo hapa kwetu kwanini wakakodi huko? Mbona nzige wenyewe waliwahenyesha sana Kenya? Mambo haya halafu sie Africa vichwani sijui mnanini!Dili tu za watu. Ukienda hapo Kilombero sugar ndege za kunyunyiza dawa zipo karibu kila week.
Ila kama nazo hukodiwa kutoka Kenya, basi kutakua na shida ya kimfumo.
Tuombeane maendeleo.
Ndege moja iliharibika ukauzwa laki 5 kama screpaSawa kabisa. Hizo ndege zilikuwa za Serikali zikimilikiwa na Wizara ya Kilimo zikitumiwa na Kituo chake cha Bird Control kilichokuwa kule Arusha ambacho nacho kimekufa. Shirika la nzige lilikuwa linathibiti hao panzi, Kituo cha Bird Control kilikuwa kinathibiti ndege waharibifu na viwavi jeshi kwa hiyo Taasisi hizi mbili zilikuwa zinashirikiana sana mpaka Shirika likajenga Ofisi zake Arusha karibu na Kituo.