Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Sioni sababu yoyote ya watu kukusanyana kwa ajili ya zoezi la kwenda kuchukua fomu tu ya kugombea, kwangu naona ni ishara kuwa wanaofanya hivi lengo lao wakishindwa kwenye uchaguzi ionekane wameibiwa kura, period.
Kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa za 2024, mwongozo wa uchaguzi na mwongozo wa elimu ya mpiga kura vimeeleza vizuri tu namna uchaguzi utakavyokuwa, sasa kuna watu ambao wanapenda kuingia mgogoro na vyombo vya usalama wameanzisha mkakati kwenda kuchukua fomu kwa mbwembwe wakiwa na mabodaboda na vurugu za kila aina.
Kanuni tumezisoma na kuzielewa wazi kabisa, we unaenda kuchukua fomu umejaza wavuta bangi tu ambao hawajajiandikisha halafu baadae uje useme umeibiwa kura.
Mkakati wenu Chadema umeshabainika.
Kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa za 2024, mwongozo wa uchaguzi na mwongozo wa elimu ya mpiga kura vimeeleza vizuri tu namna uchaguzi utakavyokuwa, sasa kuna watu ambao wanapenda kuingia mgogoro na vyombo vya usalama wameanzisha mkakati kwenda kuchukua fomu kwa mbwembwe wakiwa na mabodaboda na vurugu za kila aina.
Kanuni tumezisoma na kuzielewa wazi kabisa, we unaenda kuchukua fomu umejaza wavuta bangi tu ambao hawajajiandikisha halafu baadae uje useme umeibiwa kura.
Mkakati wenu Chadema umeshabainika.