Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
kumbafu kabisa utafikiria hiv vi tuition centers za hapa mjiniWanapenda kuwaona mmejazana nje na ndani kuwaringishia washindani wao
Yaani… tatizo hii ni financial institutions ambayo tunategemea wako advanced kimifumo. Wana kila kitu cha kuwafanya wawe na mifumo adavanced, kama si kuajiri basi waaoutsource kwa muda!🤣🤣Mbona tunashangaa?
We mgeni bongo?
Pesa zina kaharufu ka pekee watu watajua tu zilipo. Pesa ni tofauti na makaratasi mengineUnafuata nini benki ni wasumbufu sana ukipata tatizo la ghafla na pesa zipo benki utalia weka pesa ndani mahali pa siri inakuwa siri yako mwenyewe asijue mtu yeyote na kwenye simu
Umesema kweli halafu unakuta mshahara unapitia kwao na una mkopo ili uwalipe lazima mshahara upitie kwao, wanafungaje account yangu. Basi kuwpuka usumbufu huu kushindishwa njaa, kupoteza muda wa kufanya kazi mimi nitakwenda baada ya zoezi kuisha najua nao account yangu wanaihitaji sana tu.Spendi kupoteza muda Wangu bila sababu nitaenda foleni ikipungua,Hela zangu wao kufanya hivyo Wako kazini wanaingiza mshahara ngoja nami nipambane foleni ikipungua au wakiongeza muda nitahakikiwa
Washaniongezea muda hapa, juzi nilipita nje ya branch moja nikaona nyomi nikasepa zangu.Zoezi la uhakiki wa taarifa bank ya NMB ni kero kwakweli, foleni ni ndefu kila branch, watendaji hawajipanga, inchukua hadi dk 20 kwa mtu mmoja kuhudumiwa na wahudumu kwa kila branch ni mmoja.
Mara waseme mtandao unasumbua kwahyo mshine inachelewa.
Nimezunguka NMB branch zote Dodoma, msururu wa foleni ni mrefu, uwe umekula umeshiba n uwe n nguvu za kusimama ili kusibiri foleni yako ifike.
Wajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
Kwa watumishi wa Umma wa Serikali hawaepukiki na NMB, CRDB.NMB na CRDB ni bank za waswahili, zinaendeshwa kiswahili sana.
Hamia Equity Bank au ABSA Bank, utakuja kunishukuru.
kama mkoa ulipo hakuna equity, hamia hata NBC Bank
Wangetengeneza Online Portal watu tungejihudumia fast tu popote tulipo, lakini sasa ndio kama kawaida yetu wabongo, tuko nyuma ya ubunifu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hii nchi!
Kuhakiki taarifa mteja anatakiwa akapange foleni bank???
Leo kuna jamaa wa Equity nimemuuliza kwanini majirani wanawapangisha wateja foleni ili tu kuhakiki na kuupdate taarifa zao?Equity ni wakenya huwezi linganisha na watanzania hata siku moja,jamaa wapo mbali sana.
Duu hapa wanazingua sasa kwa nini waulize haya maswali personal hivi.Maswali yao sasa
Umeoa?
Kipato chako kwa mwaka!?
Umewahi kujihusisha na siasa?
Kwahiyo mfano miezi sita usipoenda kuhakiki na account inahela wanakupeleka mahakamani au hela inakua ya kwaoKama unapitishia mshahara utaenda tu. Baada ya trh 31 zinakuwa temporary closed ili watu wakahakiki. But kutakuwa na usumbufu tu ila permanent close haitatokea kwa account zenye pesa.
Ilichukua muda gani kupata kadi mpya iliyo renewed?Mi nashukuru kadi iliexpire hivyo ninaporenew wakanipigia two in one....sikutumia muda mrefu sana
mimi sijafanikiwa, nahisi kama watafunga account nianze kuhamishia pesa zangu CRDB wiki hiiZoezi la uhakiki wa taarifa bank ya NMB ni kero kwakweli, foleni ni ndefu kila branch, watendaji hawajipanga, inchukua hadi dk 20 kwa mtu mmoja kuhudumiwa na wahudumu kwa kila branch ni mmoja.
Mara waseme mtandao unasumbua kwahyo mshine inachelewa.
Nimezunguka NMB branch zote Dodoma, msururu wa foleni ni mrefu, uwe umekula umeshiba n uwe n nguvu za kusimama ili kusibiri foleni yako ifike.
Wajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
Masaa manneIlichukua muda gani kupata kadi mpya iliyo renewed?