Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Naunga mkono hojaWajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaWajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
Hii bank niliachana nayo nilipomalizana na bumu la chuo. Hivi kweli unaenda kupanga foleni kuhakiki taarifa zako kwenye bank ya NMB kwenye nchi yenye banks lukuki?Kati ya benki zenye uswahili mwingi na huduma za chini Na RIBA kubwa basi huwezi kuacha kuitaja NMB
Hili zoezi lao la uhakiki ni uhuni mtupu,
Na wanatakiwa kuwalipa wateja hata nauli na posho ya usumbufu..
Ebo😳Maswali yao sasa
Umeoa?
Kipato chako kwa mwaka!?
Umewahi kujihusisha na siasa?
usipo hakiki wanafanyaje? ngoja nikatoe hela zote ili kama wakifunga zibaki kwenye simu.muda wa kukaa kwenye foleni hauko.kama wameshindwa kufanya digal verification basi watuache.Zoezi la uhakiki wa taarifa bank ya NMB ni kero kwakweli, foleni ni ndefu kila branch, watendaji hawajipanga, inchukua hadi dk 20 kwa mtu mmoja kuhudumiwa na wahudumu kwa kila branch ni mmoja.
Mara waseme mtandao unasumbua kwahyo mshine inachelewa.
Nimezunguka NMB branch zote Dodoma, msururu wa foleni ni mrefu, uwe umekula umeshiba n uwe n nguvu za kusimama ili kusibiri foleni yako ifike.
Wajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
Equity Bank mashine hio haina mbambambaNMB na CRDB ni bank za waswahili, zinaendeshwa kiswahili sana.
Hamia Equity Bank au ABSA Bank, utakuja kunishukuru.
kama mkoa ulipo hakuna equity, hamia hata NBC Bank
Equity Bank mashine hio haina mbambamba
Na watumishi wengi wanateke advantage hiyo kudoji kazi 🤣Tatizo la wabongo ni deadline 🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwasubiri siku ziishe ndio mwende kuhuisha taarifa zenu.
Ni muda sana ,. Nilienda kuchukua statement mwezi wA Tano wakasema inabidi tuhakiki kwanza taarifa ndio tuhudumiwe. Muda huo haukuwa msongamano kama kipindi hiki.Imetangazwa lini hiyo taarifa ya uhakiki?
Kwan wewe ndio mteja wao au wao ndio wateja wako?Katika siku nimetamani kuhamisha hela zangu zote toka NMB ni leo. Siku nzima nimeshinda nasubiria kuhakiki hizo taarifa. Jioni nafika nyumbani, inaingia sms muda umeongezwa mpaka 30/09/2024 😥😥😥😥😥😥
CRDB pia kadi unaomba juu kwa juu wewe mwenyewe tu utasema kadi utaichukulia tawi gani .Kuna benki inaitwa Equity hawa jamaa wako mbele sana ya muda hasa hasa upande wa teknolojia nakumbuka kuna wakati nilpata changamoto ya kadi yangu hasa hasa kuhusu kuhuisha taarifa sikulazimika kufika kwenye tawi lao mambo yote yalifanyika online tu, Nilitamani hata niwape ya soda.
NMB sio vibaya mkaenda kupata semina elekezi pale Equity ili kusudi mjiimarishe kiteknolojia zama za kupanga foleni ndefuuu kupata huduma ni ushamba sana
Unaboresha taarifa za kwenye akaunti yako. Eg. Makaazi, kazi, kipato e.t.c. na huwa na agizo la bank kuu. Kuna baadhi ya wateja wanatakiwa kuboresha kila baada ya miaka mitano, wengine mitatu na wengine mmoja tu. Inategea...kila ukiwa assessed km high risk customer ndio unatakiwa uhakiki kila mwaka..mfano kwa wanasiasaHela yangu nikahakiki? No way