Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Mabenk yalivyo mengi kwanini uteseke na ulalamike. Fedha zako utafute kwa tabu alafu bado usumbuliwe ni ujinga huo. Hiyo bank wahudume wake wanapenda kuona wateja wamejazana ndani bila kujali kuwapotezea muda na wao nadhani huona raha kwa wateja kujazana ndani.