Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama wewe vilebomba kivipi?
Bukyanagandi,Mambo ya uchonganishi yanapo letwa na watu wasomi kama wewe hapo ndipo mnaniachaga njia panda!!!
Hivi Nyerere huyu tu ndiye wa kulahumiwa tu au hata baadhi ya wahumini wenu walichangia sana katika kuwasaliti, kuvunja jumuhia zenu we unafikiri kwa nini walikimbiria kuvunja jumuhiya
mkose umoja iwe rahisi kuwasambaratisha ndicho kilicho tokea - ring leaders waliotumika kufanikisha hilo walikuwa ni akina nani? - Waislaam wenzenu!!!
Narudia kusema ilikuwaje wengi wa mababa na mababu zenu waliwekwa kizuizini ilikuwaje wengine walisalimike kama kweli lenu lilikuwa moja i.e mnaelewana kwa kile ambacho mnakitaka katika Tanganyika uhuru, mnashindwa kuiga mfano wa Jenna aliye kuwa rafiki wa karibu wa Mahatma Ghandi wote walisoma Uingereza katika fani ya sheria lakini lilipo kuja suala ya India kupata uhuru kutoka kwa Waingereza alihakikisha anaweka haki za Waislaam mbele regardless ya urafiki wake na Ghandi, bila shaka Mzee Mshemu ndicho kilikuwa maanani kwake muda wote lakini kwa bahati mbaya baadhi yenu hamkuelewa mkatumiwa kwenye zomea zomea ili mmalize kisiasa na mlifanikiwa sana maana akufa kisiasa tu bali mlisababishia atangulie mbele ya haki kabla ya wakati wake kufika - nilipo soma stori yake nilisikitika sana na kukasirika.
Having said that ndiyo maana nawambieni - msiwe mnamulahumu Nyerere peke yake ambaye alikuwa hajui kusoma hata juzuu moja ya Quran, hapa tulisimuliwa zahama zilizo mkuta mzee wa watu Sheikh Mshume Keite(nimesahau jina lake) huyo ndiye alikuwa mpiganaji wa kweli wa haki za Waislaan na wala hakuwa na mpango wa kuigehuza Tanganyika kuwa a Islamic Republic waloikuwa wanayasema hayo walikuwa wanapotosha watu kimakusudi kwa lengo maalumu, Mzee Mshume aliona mbali kwamba mambo yanavyo kwenda si ajabu waislaam wahachwa nyuma na ni kweli - je mlifanya nini? mkaenda mkajikusanya kwenda nyumbani kwake Kariakoo mkamzomea, mkamkashifu eti anatetea udini - yaani mkatumia mob saikiloje ya TANU Youth league kumdhoofisha mzee wa watu kwa kumsingizia vitu ambavyo hakuwa na mpango navyo kasakamwa wee mpaka akafa kwa ugonjwa wa moyo - mkatumiwa kujimaliza wenyewe alafu mnakuja kulahumu watu baki!!!
Mzee Mshume mambo aliyo kuwa anawaonya Waislaam wenzake vile vile na chama cha TANU ndiyo yamekuja kuwapata baadae - hivi sasa mnafanya juhudi gani hata za kumkumbuka unabii wake? - hakuna!
Narudia kuwakumbusheni kwamba jitathimini wenyewe bila ya kutamfuta mchawi ni nani. Nayasema haya kwa nia njema tu kama kuna watu nimewakwaza samahani.
Jambo zito kufa tu haya mengi ya kawaida sana coz hukatwi mikono wala miguuJob seeker mnafarijiana sana haya mambo sio mepesi kama mnavyotiririka.
Walemavu nao ni watu.Wewe kama hukusoma SAYANSI utasubiri sana kazi za ukarani safari hii ni kwa walemavu wa viungo kama vipi kajiburuze na bodaboda.Vidume wako Mtwara kwenye gesi asilia.
ahaha,kazi ipo.Sasa fatilia majina ya waliopotelewa hivyo vyeti ndio ujue nchi hii imeharibiwa na kina nani?
...we fanakazi weee mwisho wa siku mshahara nakulipa Mimi,..ripoti zote unareta kwangu.Hapondipo utaona hesabu si kitu.Bora hao maskini wasioiibia nchi yao kuliko wewe KARANI unayejiita mara mhasibu ooh sijui boharia mara hro badili tabia mahakama ya mafisadi imeundwa kwa ajili yenu
Bukyanagandi,
Nakuomba ndugu yangu hebu andika tena.
Umesema mengi lakini sijaweza kuelewa.
hahaaa huyu mama ndio afisa rasilimali pale NSSF ambaye alisimamishwa juzi kwa uchunguzi anaitwa Chiku, anatakiwa ahojiwe kisha afungwe ni kwa nini aliajiri vihiyo wengi hivyo??
[/Q![]()
Duh ila nssf wenye vilemba kama huyu wengi sana, labda ilikuwa moja ya sifa zilizowapa ajira.hahaaa huyu mama ndio afisa rasilimali pale NSSF ambaye alisimamishwa juzi kwa uchunguzi anaitwa Chiku, anatakiwa ahojiwe kisha afungwe ni kwa nini aliajiri vihiyo wengi hivyo??
![]()
ndivyo wasemavyo watuDuh ila nssf wenye vilemba kama huyu wengi sana, labda ilikuwa moja ya sifa zilizowapa ajira.
Mkuu kwa kukadiria namba zitakua zimefika tarakimu ngap?Yaani hapo mtu unasoma namba zinaisha unaanza kuzisoma tena.....mpaka zinaisha.....aliyetunga huu wimbo nae aliwaza sana.Hongera zake!!!
Siyo masikini wa kutupwa tu ni wapiga mitungi wa kufa...Kwa uzoefu wangu watu wengi wanaojiita wanamahesabu/engeneers ndo masikini wa kutupwa. Badili mtizamo.
Chinchilla,ndivyo wasemavyo watu
kama unawaza hivyo hauwezi endelea na mjadalaMkuu hakuna mambo mengi ni ujanjaujanja tu ili watu waibe.Hizi kazi ni za std seven waliojiendeleza kwa zile course zao za NABE na Lower and Higher Standard GA, sijui kama unazikumbuka au kuzifahamu